Nafsi yangu inagoma kusafiri na treni ya SGR, napata hisia sio salama na ni suala la muda yatatokea ya kutokea

Nafsi yangu inagoma kusafiri na treni ya SGR, napata hisia sio salama na ni suala la muda yatatokea ya kutokea

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hii trend ni trend ya kasi na hivyo inahitaji tahadhari na umakini mkubwa lolote lisitokee ikiwa katika speed kali.

Binafsi sina imani na umakini wetu katika kuendesha hii treni na hizi zinazoitwa hujuma ndio kabisa zinanifanye nione usalama ni mdogo na ni swala la muda tu kabla la kutokea halijatokea unless treni hii iko operated kwa msaada wa waliotuuzia mpaka hapo baaadae.

Sina imani kabisa
 
Acheni uchawi na ramli chonganishi. Lakutokea litokee kwako na familia yako Watanzania tuna Imani na huduma za Serikali yetu
Mkuu,

Tatizo unaleta hisia katika jambo linalotakiwa kwenda kwa facts.

1. Ni fact kwamba treni linabumabuma sana bila sababu kuelezewa vizuri.

2. Ni fact kwamba uongozi wa shirika la reli uneshindwa kudhibiti matatizo haya na uneishia kulalamikia hujuma amba,o hazijathibitishwa

Kwa facts hizi mbili, watu wana haki ya kuhofia kwamba inawezekana kuna siku hizi treni zinaweza hata kugongana na kuleta maafa makubwa.
 
Hii trend ni trend ya kasi na hivyo inahitaji tahadhari na umakini mkubwa lolote lisitokee ikiwa katika speed kali.

Binafsi sina imani na umakini wetu katika kuendesha hii treni na hizi zinazoitwa hujuma ndio kabisa zinanifanye nione usalama ni mdogo na ni swala la muda tu kabla la kutokea halijatokea unless treni hii iko operated kwa msaada wa waliotuuzia mpaka hapo baaadae.

Sina imani kabisa
Watakupopoa wale machawa! Serikali ya hovyo sana hii! Mv Bukoba ilijaza sana ikazama. Sasa Kuna kivuko kinaenda Kome Sengerema kinajaza balaa! Sio mifugo, mazao, abiria nk mpaka kinaenda upande, hakuna anayejali! Nyerere aliwahi kudai uhuru wa Nini? Tungeanza Sasa kudai uhuru! Shenzi type!
 
Hii trend ni trend ya kasi na hivyo inahitaji tahadhari na umakini mkubwa lolote lisitokee ikiwa katika speed kali.

Binafsi sina imani na umakini wetu katika kuendesha hii treni na hizi zinazoitwa hujuma ndio kabisa zinanifanye nione usalama ni mdogo na ni swala la muda tu kabla la kutokea halijatokea unless treni hii iko operated kwa msaada wa waliotuuzia mpaka hapo baaadae.

Sina imani kabisa
exatly kwa speed ile na mikweche waliyoleta, kuna siku thousands will perish!

Up to 15 reported killed in Indian train collision​

 
Hii trend ni trend ya kasi na hivyo inahitaji tahadhari na umakini mkubwa lolote lisitokee ikiwa katika speed kali.

Binafsi sina imani na umakini wetu katika kuendesha hii treni na hizi zinazoitwa hujuma ndio kabisa zinanifanye nione usalama ni mdogo na ni swala la muda tu kabla la kutokea halijatokea unless treni hii iko operated kwa msaada wa waliotuuzia mpaka hapo baaadae.

Sina imani kabisa
awazalo ... ndilo litakalo mtokea..

ni muhimu zaidi kujiwazia mema 🐒
 
Back
Top Bottom