NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

Navizia kama kutakuwa na xiaomi mi 12 ultra niidake, maana mi 11 ultra mwaka jana ilifunika karibia takataka nyingi kwenye camera(Dxomark na Gsmarena ni mashahidi wa hili).

Umesahau Iphone mpaka leo hawajafanikiwa kuiondoa ile notch, tetesi zinasema Iphone 14 itakuwa na punch hole. Hawa majamaa washukuru tu wana mboyoyo mingi.
 
Samsung S22 itapata support kwa miaka minne na security patch kwa miaka mitano ka sikosei, Xiaomi 12 pro itapokea miaka mitatu na nahisi 12 ultra itapata zaidi ya hapo(kumbuka hiki ndio kigezo kikubwa cha watumiaji wa iphone kuwachapa watumiaji wa android).
 
You are really wasting your time.

Ukisoma bandiko lake mwanzo mpaka mwisho ni childish content.

Na most of them wanatumia either midrange au low end phones.

High end android phones hazina tofauti sana na iphone.
 
Ukiona hivyo ujue anatumua tecno. Angetumia s22 ultra asingeongea huu utoto.
 
Weusi wamefanya nini? Huwa nawashangaa sana watu kama wewe kidogo tu weusi this weusi that.

Hii battle ya android(samsung) v Ios inaanzia kwa watasha huko huko sisi huku hatugusi hata robo kwa hilo.
 

Mult tasking
Unaandika sms huku unafanya hesabu kwa calculator huku unaangalia video huku unasoma PDF.....[emoji23][emoji23][emoji23]
I reserve my comment

No headphone jack
Hii ndio habari ya dunia kwa sasa sema ni vile haufahamu umezoea kutumia simu za kichovu
Simu zote za kampuni nguli kwenye Flagship zao wamemfuata Apple hawana hizo takata za mashimo

Wingi wa Apps
Tatizo huwa sio wingi wa App bali ni UBORA wa Apps
Appstore kuna apps zote MUHIMU na BORA Duniani
Playstore kuna app muhimu na mataka taka kibao

Multi user
Simu ni a very private thing, huu ushamba wa simu moja kutumia ukoo mzima ni USHAMBA..... not a big deal

Free internet
Unasifia UHALIFU hadharani kwamba ni sifa ya simu?
Huo ni udhaifu wa Simu na Os kwamba zina ruhusu watu kufanya uhalifu

No Memory card
Tunarudi pale pale, hii ni kutokana na kutumia low budget phones
Flagship zote za kibabe hazina hiyo takataka zimemfuata Apple

Bei ghali
Bado tupo pale pale, swala la bei ghali ni kutokana na level zako za kipato na simu unayotumia
Iphone kwa kiasi kikubwa wanatengeneza High-end phone ambazo zipo daraja moja na Flagship za manguli wa Android phones na bei wakati mwingine iphone anasubiri

Files
Huo ugumu unao usemea ni upi mkuu
Unaweza kutuma na kupokea file lolote na ukalifungua kwa Whatsap, Telegram, email, Messenger, Xender nk

No Radio Fm
Tupo pale pale
Flagship zote za kibabe zimemfuata Iphone hazina FM Radio

User interface
Haya mambo ya “kitoto kitoto” hayana nafasi kwenye simu classic

Always on
Watumiaji wa iphone muda wanaangalia kwenye saa ya mkononi sio unataka kuangalia saa unachomoa lisimu mfukoni kuangalia eti saa ngapi
Ikitokea ulazima wa kutumia simu si unakandamiza tu home button

Ringtones
Aliyekudanganya huwezi kuweka ringtones unazotaka ni nani?

Jailbrake
Ukiona unahangaika na jailbrake ujue iphone sio kaliba yako
Kanunue Tecno

Nimejibu kama mtani wa jadi [emoji23]
 
Naona umeshafumua mshono wako wa uzazi. 😁
 
 
mi situmii iphone wala sitaki kuiona mbele yangu lakini kuna fact lazima tuzikubali.

1.iphone ndo simu pekee duniani ambayo huwezi badili imei.

2.ios iko optimized kuliko android, hili lazima tulikubali maana ukiachana na premium hardware, 2gb ram ya iphone 6s. ina run ios 15.4 very smooth.

mtoa mada amekurupuka, au ufahamu mdogo.
 
You have spoken my mind.
 
Watumiaji wa iPhone ni the entire ecosystem ndio inawafunga.
Kuna mtu alisema Apple I'm built this amazing product, and built services and other products around this amazing products.
Apple amekuwa kizipa support simu zake kwa miaka mingi, kama Samsung nao wameanza basi heko kwao.
 
Mshkaji wangu ana iphone 6s

Nadiriki kusema sijashuhudia simu inayoisha chaji kama hii ya jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…