NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

Mshkaji wangu ana iphone 6s

Nadiriki kusema sijashuhudia simu inayoisha chaji kama hii ya jamaa.
Simu ni toleo la miaka 6 tunaelekea saba iliopita ikiwa na battery la 1715 mAh, ukichanganya na kuwa hata Apple hazizalishi tena huenda mshikaji kadaka refurbished au used hapa hapa battery life ishadrop unategemea itakaa na charge?
 
Natumia Iphone 7 plus, ila huu ni ukweli mchungu.
Kwanini sasa umeinunua kama haikidhi mahutaji yako?
Yani ni sawa ununue Lambourghini halafu uanze lalamika mbona ukiipotisha kwenye bumps inajigonga chini.
Kama wataka customization, kudownload nyimbo any how chukua android maana ndo selling point yake.
iOS na Android zikifanana kiutendaji basi itakuwa haina maana.
Last month nilianza jifunza kudesing UI nikaanza soma utofauti wa UI ya android na iOS, approach zao ni tofauti kabisa hata katika UI.
 
Elimu nzuri sana 📌
1. Hata samsung s22 na nyingine high end android phones hazina eearphone jack. Kama kawaida uwa akianza iPhone anapondwa hadi na samsung wenyewe nao baadae wanafuata.
Aliacha kuweka charger akapondwa nao wakafuata.
2. Unasema huwezi kufanya multi tasking kwenye iPhone, mkuu umewahi kuitumia au unasema tu?
3 Kuhusu apps, hivi ni bora kuwa na nguo chache lakini za maana au kuwa na bag la nguo nyingi hata ambazo hazina maana yani ukiivaa ukajitazama kwenye kioo unaivua. Ndivyo playstore ilivyo. Ina apps nyingi ambazo unaistall unakuta haifanyi hata walichosema inafanya unaiondoa. Kwasababu ni rahisi kuweka app playstore wakati istore wanamchakato serious.
4. Mwendo wa kustream ndio maana kuna maspotify na stations ziko kwenye mtandao.
5. Kuhusu kujailbreak, hata android kila toleo anakaza nati ili simu iwe ngumu kuroot. Android 11 au 12 sio sawa na android 6 hata kuroot si kawaida au rahisi. Ipe miaka 3 mbele utaona atakavyokaza kabisa.
6. Shida mkuu unasahau kuwa iPhone anatoa simu ambazo ni highend tu, ni kwa miaka ya hivi karibuni ambapo ametoa simu midrange hizi SE. So ukicompare simu zake highend compare na bei ya samsung ya mwaka huo.
Pia hata midrange anaweka processor ya highend. Mfano SE ya mwaka huu ina A15 bionic chip ambayo ndiyo chip yenye nguvu kwa sasa na ndio iko kwenye iPhone 13.
Natumia android kwa sasa, ila iOS ni habari nyingine.
Jinsi inavyofanya kazi, ilivyo smooth, vitu vinainteract, ecosystem ya apple, yani safi kabisa.
 
Mtu mwenye anaongelea simu za 2001 tafuta hela man
Mm sio iphone user na wala sijawahi kuzipenda ila mengi uliyoyataja apo yapo pia kwa android...mfano flagships nyingi za android sa hv hazina radio, hazina sd card expansion,hazina earphone jack(samsung wameenda mbali zaidi wametoa mpk kwny midranges zao), price ya Iphone 13 pro max na S22 ultra they match toe to toe,pia nimetumia highends nyingi za samsung hazina hzo radio...ifike mahali kila mtu abaki na OS yake anayoiamini sio hz useless attacks zisizo na msingi!

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
😂😂😂😂 ana utoto mwingi sana
Mult tasking
Unaandika sms huku unafanya hesabu kwa calculator huku unaangalia video huku unasoma PDF.....[emoji23][emoji23][emoji23]
I reserve my comment

No headphone jack
Hii ndio habari ya dunia kwa sasa sema ni vile haufahamu umezoea kutumia simu za kichovu
Simu zote za kampuni nguli kwenye Flagship zao wamemfuata Apple hawana hizo takata za mashimo

Wingi wa Apps
Tatizo huwa sio wingi wa App bali ni UBORA wa Apps
Appstore kuna apps zote MUHIMU na BORA Duniani
Playstore kuna app muhimu na mataka taka kibao

Multi user
Simu ni a very private thing, huu ushamba wa simu moja kutumia ukoo mzima ni USHAMBA..... not a big deal

Free internet
Unasifia UHALIFU hadharani kwamba ni sifa ya simu?
Huo ni udhaifu wa Simu na Os kwamba zina ruhusu watu kufanya uhalifu

No Memory card
Tunarudi pale pale, hii ni kutokana na kutumia low budget phones
Flagship zote za kibabe hazina hiyo takataka zimemfuata Apple

Bei ghali
Bado tupo pale pale, swala la bei ghali ni kutokana na level zako za kipato na simu unayotumia
Iphone kwa kiasi kikubwa wanatengeneza High-end phone ambazo zipo daraja moja na Flagship za manguli wa Android phones na bei wakati mwingine iphone anasubiri

Files
Huo ugumu unao usemea ni upi mkuu
Unaweza kutuma na kupokea file lolote na ukalifungua kwa Whatsap, Telegram, email, Messenger, Xender nk

No Radio Fm
Tupo pale pale
Flagship zote za kibabe zimemfuata Iphone hazina FM Radio

User interface
Haya mambo ya “kitoto kitoto” hayana nafasi kwenye simu classic

Always on
Watumiaji wa iphone muda wanaangalia kwenye saa ya mkononi sio unataka kuangalia saa unachomoa lisimu mfukoni kuangalia eti saa ngapi
Ikitokea ulazima wa kutumia simu si unakandamiza tu home button

Ringtones
Aliyekudanganya huwezi kuweka ringtones unazotaka ni nani?

Jailbrake
Ukiona unahangaika na jailbrake ujue iphone sio kaliba yako
Kanunue Tecno

Nimejibu kama mtani wa jadi [emoji23]
 
i cloud inakupa gb 5 bure na hii ndio wabongo wengi wameizoea, sasa vuta picha una files zako gb 200 huko, zitatosgha huko i cloud ? hata kama mtu kanunua space ya i cloud atalazimika tena kununua bando la laki 2 hapo kufanya backup tena itabidi asubirie hata masaa 7 ili kupandisha hizo gb 200..

ukiwa na memory card yako unahamisha fasta tu

Navutaje picha kwenye kitu kisicho na ukweli.

Gb 200 kwenye iCloud utakua unatunza nini?

Unaaaminisha gb 200 sawa na shilingi laki 2?

Je infinix au tecno zinaweza tunza file la gb 200. Akipoteza simu ana iback up vipi?
 
Navutaje picha kwenye kitu kisicho na ukweli.

Gb 200 kwenye iCloud utakua unatunza nini?

Unaaaminisha gb 200 sawa na shilingi laki 2?

Je infinix au tecno zinaweza tunza file la gb 200. Akipoteza simu ana iback up vipi?
Ana utoto mwingi na nani alimwambia kuwa ukiwa na iphone huwez ifadhi vitu Google drive au kwingine?
Na pia hata Android Google drive wanakuoa just 15gbs bure
 
Navutaje picha kwenye kitu kisicho na ukweli.
Gb 200 kwenye iCloud utakua unatunza nini?
Unaaaminisha gb 200 sawa na shilingi laki 2?
Je infinix au tecno zinaweza tunza file la gb 200. Akipoteza simu ana iback up vipi?
--Gb 200 kwa watu wanao record sana video sio kitu.
--Gb 1 sikuhizi ni zaidi ya buku, hio laki 2 kwa gb 200 huenda ni ndogo
--Zipo infinix na Tecno zenye gb 500
--Simu ikipotea bado files zako utazikuta kwenye memory card yako unayohamishia mafaili
Ana utoto mwingi na nani alimwambia kuwa ukiwa na iphone huwez ifadhi vitu Google drive au kwingine?
Na pia hata Android Google drive wanakuoa just 15gbs bure
Huko online kutunza mafaili kuna vikwazo vya gb, ukiwa na memory card yako hata ya gb 256 una hamisha tu
 
Ukiwaa na memory card yako unaweza kufanya back up kila wiki, ukimaliza kucopy files zako kwenye memory card unaitoa unaitunza hata kwenye bahasha..... hata simu ikiibiwa bado una memory card yako.
Nmekuuliza swali nitajie flagship ambayo imetoka within these 2 years yenye kusupport memory card? Usilete midrange smartphones
 
Nmekuuliza swali nitajie flagship ambayo imetoka within these 2 years yenye kusupport memory card? Usilete midrange smartphones
Sony Xperia 1 III ina GB 256 na pia ina tundu la memory card...

Android ni mbuga kubwa, sio kama iphone mkibanwa mnatoa macho tu kama panya aliebanwa na mlango

😎😎😎

KMK.jpg
 
Sony Xperia 1 III ina GB 256 na pia ina tundu la memory card...

Android ni mbuga kubwa, sio kama iphone mkibanwa mnatoa macho tu kama panya aliebanwa na mlango

😎😎😎

View attachment 2167590
Na by the way sony hata hayuko top 10 ya wanaongoza kuuza simu that means people don't give a fu*ck about memory sticks 🤣🤣🤣
By the way hizi simu za sony zina features za professional video cameras hivyo sishangai kuwa na memory card maana zimetengenezwa kwa ajili ya kutumika kushoot mivideo.
Hata wewe hujainunua, yale yale ya blackberry kusema iphone itafail coz haiwezi kaa na charge kumbe people dont give a fu*ck about charge.
Jiulize kwanini iPhone anatoa highend phones na bado yuko top 3 ya mauzo?
Wakati wenzake humo wamemix hata simu za lak 2
 
--Gb 200 kwa watu wanao record sana video sio kitu.
--Gb 1 sikuhizi ni zaidi ya buku, hio laki 2 kwa gb 200 huenda ni ndogo
--Zipo infinix na Tecno zenye gb 500
--Simu ikipotea bado files zako utazikuta kwenye memory card yako unayohamishia mafaili

Huko online kutunza mafaili kuna vikwazo vya gb, ukiwa na memory card yako hata ya gb 256 una hamisha tu
Ila hiyo memory ukiipoteza au ikaharibika data zako utazipataje kama unasema online kuna vikwazo wakati Apple wanatoa free iclouds 5gb ambayo kimsingi unachotakiwa kuwa nacho ni bundle na password, hata kama simu utakuwa huna au umneisahau nyumbani una access info zako kwa urahisi
 
Kwanini sasa umeinunua kama haikidhi mahutaji yako?
Yani ni sawa ununue Lambourghini halafu uanze lalamika mbona ukiipotisha kwenye bumps inajigonga chini.
Kama wataka customization, kudownload nyimbo any how chukua android maana ndo selling point yake.
iOS na Android zikifanana kiutendaji basi itakuwa haina maana.
Last month nilianza jifunza kudesing UI nikaanza soma utofauti wa UI ya android na iOS, approach zao ni tofauti kabisa hata katika UI.
Atakuwa amenunua kufuata mkumbo
 
Back
Top Bottom