Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Kwa sababu ni ndoa ya kiislam hakuna shida, hata kama hamjui kama YALIYOMO YAMO mnaeza oana tu, mikikuta sio mnatalikiana tu.

Ila upande wa pili huku kwenye pingu za maisha nadhani kutest mitambo ni muhimu kwa sababu safari ni ndefu.

Kila la kheri binti.
 

Maliza kwanza chuo uanze kutafta kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…