barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
HaiwezekaniHabar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.
Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Ila pia hakikisha hutamuomba ada na matumizi ya chuo.Hapo utafanikiwa kutunza heshima yakoHabar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.
Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Utathibitisha vipi?
๐Ukiona kimya ujue hana bikra
SwIla pia hakikisha hutamuomba ada na matumizi ya chuo.Hapo utafanikiwa kutunza heshima yako
AsantVigezo vyote ninavyo ila hapo kwenye No sex hadi ndo mtihani!
Kila la heri dada
Sisi wawili tunavyomsumbua....hafikishi watatu....atajitakia kufa kwa kihoro.....Huyo mwamba anawakusanya utafikiri anataka kuunda timu ya mpira. Kila kona utamsikia "njoo uwe mke wangu wa saba" [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Pole...Akikujibu unistue wife.
Ila wanaofikishaga mpaka wanne inabidi kugangamara hasa ikiwa ni pamoja na kula vizuri na mazoezi ya kutosha hasa enzi hizi. Nina braza alikuwa nao sita miaka ile aisee mpaka afya yake ilikuja kuwa mgogoro yaani. Halafu kamke kake kamwisho kadogo kazuri tu kama wewe halafu kakawa rika langu kabisa dah!Sisi wawili tunavyomsumbua....hafikishi watatu....atajitakia kufa kwa kihoro.....
Sasa bila kukugegeda nitajuaje kama una miundo mbinu ya viwango ninavyovihitaji, wewe pia utajuaje kama nina miundo mbinu ya standadi geji, matokeo yake tutachokana haraka sana kwa sababu kila mmoja atakutana na kitu ambacho hakukitarajia kwa mwenzakeKivipi
Mm mwenyeweUtathibitisha vipi?
Mungu akutangulia katka ndoto zako..ila atakukuta una usichana wako? maana huwezi kuweka masharti kwa mtu kama wewe mwenyewe hujafikia vigezo.Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.
Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.