Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Unataka uhusiano bila kuliwa, are you serious? Unaweza nunua gari bila kulifanyia test kwanza?Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
USIPATE SHIDA hebu tengeneza mwanaume wa kwako mwenyewe halafu huyo ataweza kukusubiri hadi mfunge ndoa unajuwa kabisa biologia lazimaifanye kazi yake kila baada ya muda fulani wewe mpaka ndoa ifike unataka kupasua vibofu vya watu vijae mpaka vipasuke?Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Una uhakika wa kuishi bila kulilia matunzo kwa kipindi chote cha uchumba,,,usije kuanza kuita watu wabahili!Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
shida sio kukupa talaka shida ni kunipotezea muda wangu nasubiri trump ashinde wakati kashaburuzwa.C kwa sababu ya kuficha kitu Ila ni kwasababu zengine . Km Ila aweke wazi kipi hapendi kipi km nkikudanganya talaka zipo
Nipo Mimi hapa, sifa zote ulizotaja ninazo, kasoro Nina miaka 32Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Mimi nimekidhi vigezo vyote, na ninaweza kusubiri sex mpaka ndoa.Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
vp una bikra ya mnduk*?
Unaweza kukuta ana mtera ndio maanaHapo kwenye sex unaficha nini asikijue?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasikia hizo pingu zikifungwa hazifunguliwi, sema tu watu wanaamua kusepa kibishiKwa sababu ni ndoa ya kiislam hakuna shida, hata kama hamjui kama YALIYOMO YAMO mnaeza oana tu, mikikuta sio mnatalikiana tu.
Ila upande wa pili huku kwenye pingu za maisha nadhani kutest mitambo ni muhimu kwa sababu safari ni ndefu.
Kila la kheri binti.