Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwingine anakujaga kufanya usafi geto,,one day namwambie tupige showtime,😆😆Duh umri na dini vinakosesha mke!
Nikidanganya?nnn
Minah, kwa hiyo unatutukana wote ??Wewe Binti endelea na Msimamo wako huohuo, Ila acha Kutafuta Mume Mtandaoni utapata wahuni tu humu, Wenye Hofu ya Mungu hawapo humu.
Asipokuelewa basi.Wewe Binti endelea na Msimamo wako huohuo, Ila acha Kutafuta Mume Mtandaoni utapata wahuni tu humu, Wenye Hofu ya Mungu hawapo humu.
Hili ndio lilikuwa lengo mojawapo la dini. Wagawe uwatawale, na wamefanikiwa sana.Muikristu hpn
Siku hizi kuna mababa wanaomba sex kwa binti zao mkuuAsie omba sex huyo mwanaume ni baba yako tu
Ok asantMwanzo alikuwa anajibu kila omment. Ila alipoona wadau wanataka kujua sex status yake amelegea. Huenda alijua hapa ni fb ambako watu hutuma na ya kutolea.
Si kweli, mwanamke akifika 35 kusema ndo anakua yuko hot? Kwa taarifa yako mwanamke anakuwa hot 18 mpaka around 30 tu. Huko kwingine hata hamu ya mwanaume hana.Angalia age gap, wewe utapofikisha umri wa miaka 35 yeye atakuwa na miaka 45, hapo anaanza kuishiwa nguvu za kiume wakati huo wewe ndio unaanza kukolea ukitamani ngono zsana, chukua mtu mwenye 25-26 ili muweze kukaa muda mrefu mkifurahia tendo la ndoa, wanawake wenzako wengi wanapitia hili tatizo kwa sasa la wanaume zao kushindwa kuwaridhisha kwa tendo la ndoa, wako wengi wenye shida hii, nisngependa binti yangu upitie hayo, chukua hatua hatua wakati unajiandaa kupata mchumba. 30 years anaanza vibaya uta enjoy muda mfupi
innalillahi wa inna ilayhi raaji'uunNenda kaolewe na James delicious