Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Kuna shekhe huko Zenji alioa kabinti baada ya siku kadhaa kakamtegeshea tigo. Alikarudisha kwa faster
 
Tafuta mbulula wenzako,uchezewe huko halafu mm unibanie hadi siku ya doa haiwezekani
 
Duh umri na dini vinakosesha mke!

Vipi Nikidanganya?
 
Mkuu, naona unajipigia promo kijanja[emoji12][emoji12]
 
Yaliyomo yamoooo ?
 
Nomazsama
 
ni vigumu kumpata .....sawa kuwa na king'amuzi kisicho na bando.....mwanaume hutamani kwanza......bila kuonja ni ngumu mnooo....
 
MAISHA NI UCHAGUZI..
NAWEE MWANAMKE UNAYEMKEJELI MSCHANA MWENZAKO, UMETOMBWAA NA WANAUME WANGAPI SO FAR LKN HAMNA NDOA ?????.




NADHAN KILA MTU AHESHIMU MISINGI YA SHERIA YAKE

Hapo Sasa! Ingekua kuonjwa ndio Ticket ya Ndoa basi akina Wema Sepetu, Wolper, Jokate Wangeshaolewa na Wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…