Nahama wilaya baada ya mtu niliyemzidi chuo kuwa kiongozi wa wilaya

Nahama wilaya baada ya mtu niliyemzidi chuo kuwa kiongozi wa wilaya

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu

Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Shida sio kuongozwa na kilaza [emoji117]shida una roho ya kinafki utaki kuona mwenzako anafanikiwa kukuzidi
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Safi usikubali akuongoze unaweza kufa bure jiondokee mwamba.
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Shtuka

Ukisikia nyuma geuka .......wa mwisho anakua wa kwanza...
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Mkuu hiyo ni wivu tu. Hayo ndiyo maisha kuwa na akili darasani haimaanishi utayapatia maisha na ndiyo maana mwalimu wako wa hisabati kafundisha na kufaulisha wengi ila huenda mpaka leo ni mwalimu na mmempita maendeleo.
Don't work hard but work smart
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Kama ndio hivyo basi maprofesa na walimu wote wangeihama hii nchi,maana wanafundisha watu vilaza halafu wanakuja kuwaongoza baadaye...
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Aliyekudanganya kufanya vizuri darasani ndio kuwa kiongozi bora mwambie akuambie ikweli. Uongozi ni karama wala sio lazima usomee au ufanye vzr class.
 
Uwezo wetu wa Akili unatofautiana .

Mtoa Mada, hata Mimi nakuzidi Akili Mbali sana.

Hata Ivo nakuheshimu kwakua wee ni mwanadam mwenzangu.

Kitu ambacho kingefanya nisikuheshim ni ama uwe mnoko, namambo ya ovyooo.


Mwanao alikua kilaza ndio, ila ni mwana au sio? Basi Mpe kampani, michongo yako itelezeeee kama mashine inapopata utelezi kama wa Demi
 
Siku izi ukilaza n kutokuwa na mipango ya hela sio akili za darasan acha uzoba kijana ww ndo unaonekana kilaza ss mana unaishi kwa mihangaiko
 
Uwezo wetu wa Akili unatofautiana .

Mtoa Mada, hata Mimi nakuzidi Akili Mbali sana.

Hata Ivo nakuheshimu kwakua wee ni mwanadam mwenzangu.

Kitu ambacho kingefanya nisikuheshim ni ama uwe mnoko, namambo ya ovyooo.


Mwanao alikua kilaza ndio, ila ni mwana au sio? Basi Mpe kampani, michongo yako itelezeeee kama mashine inapopata utelezi kama wa Demi
Utelezi upi sijakuelewa
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Wewe ulikuwa unaweza masomo darasani mwenzio anaweza siasa

Mwenzio siasa imempaisha na wewe hangaika na masomo yako ya darasani yakupaishe

Kila binadamu ana eneo lake la kupaa
 
Back
Top Bottom