Nahama wilaya baada ya mtu niliyemzidi chuo kuwa kiongozi wa wilaya

Nahama wilaya baada ya mtu niliyemzidi chuo kuwa kiongozi wa wilaya

Sipati picha siku kilaza akishika wadhifa wa nchi
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Kwa ulivyoeleza hapo nahisi wewe ndio kilaza
 
Kama kweli wewe msomi, basi ulitakiwa ujitambue, Wasomi wanaojitambua, hupigania kuwa mtaalamu, badala ya kupigania uongozi.

Kwa wenzitu wasomi ndiyo, wanaotafiti madawa kuunda magari, Wasomi wa kwetu wanapishana nguvu, na watu wenye elimu ya kawaida tu, kutamani madaraka.
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Ndo maana hujawa kiongozi wa wilaya. Aliekwambia akili ya darasani inaongoza wilaya nani? Kwa liroho hilo utahama nchi maana kila wilaya utakayoenda utakuta uliemzidi darasani ni kiongozi na anakuamrisha. Safisha roho
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Ni wivu tu. Kama una akili kumzidi basi wewe ndo ungekuwa kiongozi, ila maadam kakuzidi akili basi wewe ndo kilaza
 
Kuna mtu alisema elimu ni kila unachobakia nacho baada ya kusoma shule. Kama wewe mlizoma pamoja and yeye kafanikiwa kuonesha uwezo wake hadi kuteuliwa naamini kama sio mkurugenzi basi ni dc. Na wewe ukaachwa basi wewe elimu yako haikusaidii na haitakusaidia
 
Na huku unakohamia utakutana na mimi nilipata div 4 ya 31 points kama kiongozi wako, na kwa hakika uji moto bakuli moto.
 
We jamaa una roho ya CHUKI,WIVU na unafiki uliokithiri ,ila umenipa funzo sio Kila ambaye yupo kwenye phone book yako anakuombea mema inabid uwe msiri kiasi ata kwenye status za WhatsApp
 
Nyie ndo watu mnaokuwaga na husda/ vijicho, ww mungu alikupa uwezo wa kujifunza mwenzakona yeye kapewa neema yake unaona kwnn? Mbna yeye alikua mpole wakat mpo chuo 😅
 
Chuki humchoma anayeihifadhi.

Mzee pambana kivyako.. Wivu umepitiliza... Kuna watu kibao tumesoma nao walikuwa hawajiwezi, sisi tumewasaidia mpaka kwenye pepa na wametusua na haitusumbui.. Ishi maisha yako tu mzee.
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Utoto raha sana.
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Atabebwa na mfumo wa kichama[emoji1241]
 
Sijasoma hta habari yenyewe,ila kichwa cha habari tu kinathibitisha UJINGA NA UPUMBAV ulonao
 
Uwezo wetu wa Akili unatofautiana .

Mtoa Mada, hata Mimi nakuzidi Akili Mbali sana.

Hata Ivo nakuheshimu kwakua wee ni mwanadam mwenzangu.

Kitu ambacho kingefanya nisikuheshim ni ama uwe mnoko, namambo ya ovyooo.


Mwanao alikua kilaza ndio, ila ni mwana au sio? Basi Mpe kampani, michongo yako itelezeeee kama mashine inapopata utelezi kama wa Demi
We kijamaa nyakati zingine waza vitu vya msingi Kila wakati unawaza ngono tu asa mambo ya utelezi yanatoka wapi
 
We kijamaa nyakati zingine waza vitu vya msingi Kila wakati unawaza ngono tu asa mambo ya utelezi yanatoka wapi
Daaah hahahah Et weee kijamaa.

Ila Binadam 😂😂,Mkuu nimeamua nichomekee mifano ya aina hiyo kwasababu ndio rahis kueleweka.
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Serikal ina akil sana nyie mliofaulu kwa "A" pambaneni mtaan wale waliopata "C" waachen wale mirija ya asal
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Mtoto wako akiwa rais wa nchi yako je utaihama nchi yako kwasababu huwezi kuongozwa na mtoto wako?
 
Back
Top Bottom