Nahama wilaya baada ya mtu niliyemzidi chuo kuwa kiongozi wa wilaya

Nahama wilaya baada ya mtu niliyemzidi chuo kuwa kiongozi wa wilaya

Wewe ulikuwa unaweza masomo darasani mwenzio anaweza siasa

Mwenzio siasa imempaisha na wewe hangaika na masomo yako ya darasani yakupaishe

Kila binadamu ana eneo lake la kupaa
Haurembi hata kidogo?Maisha ni shida sana.Nikifikiria basi tu!
 
Nyie ndio wabakaji, walawiti na wasagaji watarajiwa kuto kupenda mafanikio ya mwemzako unaweza fanya hata ubaya kwa watoto wake ACHA UCHAWI UNAAKILI ILA NYOTA YAKO YA KUNGUNI
 
Uwezo wetu wa Akili unatofautiana .

Mtoa Mada, hata Mimi nakuzidi Akili Mbali sana.

Hata Ivo nakuheshimu kwakua wee ni mwanadam mwenzangu.

Kitu ambacho kingefanya nisikuheshim ni ama uwe mnoko, namambo ya ovyooo.


Mwanao alikua kilaza ndio, ila ni mwana au sio? Basi Mpe kampani, michongo yako itelezeeee kama mashine inapopata utelezi kama wa Demi
Eti unanizidi akili kwa fake I'd 😃
 
Mkuu
Pole Sana, Umeumia Sana Ila Uamuzi Wako Wa Kuhama Siyo Mzuri
Maisha Hubadilika Kwahiyo Endelea Na Majukumu Hapo Hapo

Ukimaliza Chuo Kikuu Hujamaliza Maisha Yote
 
Kinachokusumbua ni wivu, sasa wewe ndio unaonekana KILAZA,
 
Ujiniasi wako unakusaidia nini kama unahama wilaya kisa mtu anaelipwa mshahara usiozidi 5m kwa mwezi.

Kama ww ni jiniasi basi tengeneza kipato ambacho hata mkuu wa wilaya akuheshimu mbali na hapo ww ni fala tu
 
Una roho mbaya sana na huko unapohamia atahamishiwa huko ili uzidi kuukimbiza ujinga wako
 
Maisha siyo kukariri notes za walimu. Ujue pia kugeuza kile kiasi ulichopata kutafuta fedha. Na bahati, tabia, vinachangia kuboresha maisha
 
Eti unanizidi akili kwa fake I'd 😃
Kweli niamini Mkuu, kwenye Intelligence , yaan ukizungumzia Akili kama Akili hiii ya Darasan, ulomzungumzia Kiongozi wako, Wala hunifikii .

Na hili tunaweza kulidhihirisha kwenye Professions tulizozisomea.

Hapa Cha Msingi, ni kupambania Kombe la Maisha tu , ukianza wazia akili yako, daahhh utajisumbua.


Relax !!.
 
Kama ulifaulu shule kwenye maisha umeshafeli sana
yani mwanangu sana awe kiongozi nikimbie badala ya kujadili natokaje hapa nilipo
Yani huo ni mwanzo wa koneksheni, madili kazi we jamaa vipi
Hapo unapisha na gari la mshahara
Otherwise uwe na maisha makubwa
Lakini kama ndiyo mwenzangu na mimi
Kuna ishu naisikilizia
we ni boya
 
Kweli niamini Mkuu, kwenye Intelligence , yaan ukizungumzia Akili kama Akili hiii ya Darasan, ulomzungumzia Kiongozi wako, Wala hunifikii .

Na hili tunaweza kulidhihirisha kwenye Professions tulizozisomea.

Hapa Cha Msingi, ni kupambania Kombe la Maisha tu , ukianza wazia akili yako, daahhh utajisumbua.


Relax !!.
Uko professional mkuu! Tuanzie hapo
 
Uko professional mkuu! Tuanzie hapo
Mkuu zingatia tu Hilo Mkuu , hata Mimi Kuna wanaonizidi Akili na wao wanazidiwa akili ukienda sana ndo unakutana na Akina Newton, Einstein,
Marie Curie, Tesla huyu mchawi kabisa, Lovelace, Akina Galileo , Pythagoras...

Endelea kujiona Unaakili !!.
 
Mkuu zingatia tu Hilo Mkuu , hata Mimi Kuna wanaonizidi Akili na wao wanazidiwa akili ukienda sana ndo unakutana na Akina Newton, Einstein,
Marie Curie, Tesla huyu mchawi kabisa, Lovelace, Akina Galileo , Pythagoras...

Endelea kujiona Unaakili !!.
👍
 
Back
Top Bottom