Nahama wilaya baada ya mtu niliyemzidi chuo kuwa kiongozi wa wilaya

Nahama wilaya baada ya mtu niliyemzidi chuo kuwa kiongozi wa wilaya

Nilifanya utafiti nikagundua kuwa viongozi wengi ni wale vilaza. Kilaza darasani ila karama ya uongozi anayo. JPM alisema unaweza ukawa professor lakini sio mzalendo, kinachotakiwa ni mtu mwenye maono.
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Ugenius wako ungefnya upate hiyo nafasi sasa

Ww una akili za darasani na mwenzako ana akili za maisha
 
Wewe genius umebuni nini cha kuingiza sokoni?

Genius halafu unaenda panda Bus la aliefeli shule pia

Na huko unaenda utashukia guesthouse ya kilaza wanaokushinda hela we genius [emoji1] [emoji1787]
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Ukuu wa wilaya hauna tena mvuto wala hadhi, si ndio hao akina Sabaya?!
 
IMG-20230208-WA0083.jpg
 
Nilifanya utafiti nikagundua kuwa viongozi wengi ni wale vilaza. Kilaza darasani ila karama ya uongozi anayo. JPM alisema unaweza ukawa professor lakini sio mzalendo, kinachotakiwa ni mtu mwenye maono.
Kwahiyo rafiki yangu sabaya alikuwa na maono?
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Tatizo ulidhani kuwa ukimaliza shule/chuo elimu inaisha, kumbe wajanja wanaendelea kujielimisha katika nyanja mbalimbali, umeishaachwa.
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Ndio maisha haya, kila mtu mjanja katika nyanja fulani. Wote tunategemeana sio kudharauliana, na inaweza kuwa neema inakujia, wewe unaikimbia.
 
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu


Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
93DB9B79-2ADA-4FCF-ACFC-28E3B2B38FFA.jpeg

Kitakusaidia 🙏🏽
 
Back
Top Bottom