Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Haurembi hata kidogo?Maisha ni shida sana.Nikifikiria basi tu!Wewe ulikuwa unaweza masomo darasani mwenzio anaweza siasa
Mwenzio siasa imempaisha na wewe hangaika na masomo yako ya darasani yakupaishe
Kila binadamu ana eneo lake la kupaa
Nikiutaja nitawafaidisha wengi , kazi ya Grisi Si nikulainisha chuma?.Utelezi upi sijakuelewa
OkNikiutaja nitawafaidisha wengi , kazi ya Grisi Si nikulainisha chuma?.
Ewaaa😋
Eti unanizidi akili kwa fake I'd 😃Uwezo wetu wa Akili unatofautiana .
Mtoa Mada, hata Mimi nakuzidi Akili Mbali sana.
Hata Ivo nakuheshimu kwakua wee ni mwanadam mwenzangu.
Kitu ambacho kingefanya nisikuheshim ni ama uwe mnoko, namambo ya ovyooo.
Mwanao alikua kilaza ndio, ila ni mwana au sio? Basi Mpe kampani, michongo yako itelezeeee kama mashine inapopata utelezi kama wa Demi
Kweli niamini Mkuu, kwenye Intelligence , yaan ukizungumzia Akili kama Akili hiii ya Darasan, ulomzungumzia Kiongozi wako, Wala hunifikii .Eti unanizidi akili kwa fake I'd 😃
Uko professional mkuu! Tuanzie hapoKweli niamini Mkuu, kwenye Intelligence , yaan ukizungumzia Akili kama Akili hiii ya Darasan, ulomzungumzia Kiongozi wako, Wala hunifikii .
Na hili tunaweza kulidhihirisha kwenye Professions tulizozisomea.
Hapa Cha Msingi, ni kupambania Kombe la Maisha tu , ukianza wazia akili yako, daahhh utajisumbua.
Relax !!.
Uchokozi😎😎Watu tuliongozwa na mstaafu ziro brain lakini hatukuhama hili jiji la mafuriko na joto punguza wivu kijana
Mkuu zingatia tu Hilo Mkuu , hata Mimi Kuna wanaonizidi Akili na wao wanazidiwa akili ukienda sana ndo unakutana na Akina Newton, Einstein,Uko professional mkuu! Tuanzie hapo
👍Mkuu zingatia tu Hilo Mkuu , hata Mimi Kuna wanaonizidi Akili na wao wanazidiwa akili ukienda sana ndo unakutana na Akina Newton, Einstein,
Marie Curie, Tesla huyu mchawi kabisa, Lovelace, Akina Galileo , Pythagoras...
Endelea kujiona Unaakili !!.