kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Ugenius wako ungefnya upate hiyo nafasi sasaAma hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu
Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Ukuu wa wilaya hauna tena mvuto wala hadhi, si ndio hao akina Sabaya?!Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu
Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Kili za maisha ni zipi?Ugenius wako ungefnya upate hiyo nafasi sasa
Ww una akili za darasani na mwenzako ana akili za maisha
Kwahiyo rafiki yangu sabaya alikuwa na maono?Nilifanya utafiti nikagundua kuwa viongozi wengi ni wale vilaza. Kilaza darasani ila karama ya uongozi anayo. JPM alisema unaweza ukawa professor lakini sio mzalendo, kinachotakiwa ni mtu mwenye maono.
Tatizo ulidhani kuwa ukimaliza shule/chuo elimu inaisha, kumbe wajanja wanaendelea kujielimisha katika nyanja mbalimbali, umeishaachwa.Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu
Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Ndio maisha haya, kila mtu mjanja katika nyanja fulani. Wote tunategemeana sio kudharauliana, na inaweza kuwa neema inakujia, wewe unaikimbia.Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu
Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Kamuulize uyo unomuita kilazaA
Kili za maisha ni zipi?
Ama hakika nipo wilaya x nikihustle na harakati mbalimbali za maisha ila juzi juzi wakati napitia mitandao ya kijamii hususanj whattsap nikaona status ya jamaa mmoja ambae niliyesoma nae chuo amepost kwamba amepangiwa kuwa kiongozi kwenye wilaya fulani kabla ya kuona hiyo huyu mwana kilaza wa chuo chetu alinitumia meseji kwamba amepata nafasi kuwa kiongozi wa wilaya duuuh ama hakika nilistaajabu ila nikampongeza kinafiki tu
Bwana we kweli jamaa amekuja kuripoti kwenye hii wilaya aisee nikaona is iwe kesi ngoja,kwahiyo hapa nipo mbioni kuhama wilaya kwende sehemu nyingine kwasasabu sipo tayari kuongozwa na kilaza mie mimi natural genius niongozwe na kilaza? Hapana
Utawekaje avatar ya mwanaume mwenzio?Wivu tu
Earling ni mumeo?View attachment 2511748
Kitakusaidia ππ½
Othman Mumeo?Earling ni mumeo?
NdiyoOthman Mumeo?