Nahama wilaya baada ya mtu niliyemzidi chuo kuwa kiongozi wa wilaya

Ungehama Nchi tulipoambiwa twende Burundi sasa hivi hizo ni mbwembwe tuu daah hivi matokeo ya chuo mnaishi nayo mtaani Bongo shida sana...
 

Kwahiyo unataka uongozwe na msomi sio! Hebu tuambie unapata faida ipi kuongozwa na msomi!!

Bhujiku ng'waka
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atar na nusu!
Huyu ni mimi kabisa!
 
Mkuu badili mawazo yako! Huyo ndiye wakufanya urafiki naye anaweza kukutengenezea fursa za maisha.Katika maisha kila mtu ana bahati yake.
Kuwa kilaza wa darasani siyo kuwa kilaza wa maisha.
 
Ungekuwa Genius ungejua kuws hiyo ni FURSA KWAKO.
 
Envy is common

Kimsingi ni common sana kwa watu wanaokufahamu kuwa makini siku zote na ndugu,jamaa na marafiki
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa unajuaje huko unakohamia huyo kiongozi wa huko siyo kilaza?
 
[emoji3][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]it's about whom you know best
 
😂😂😂Acha wivu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…