Nahisi binamu yangu ananitaka kimapenzi

Nyie acheni tu najua haya yanawapata wengi tu hahahhahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125] mi nimejitia kama mfano
 
Wewe ndiye unaemmendea nduguyo.Uandishi wako tu
 
Duuuuh mazeee si kamekuja kengine tena sahiiiiii kakali kuliko huyu cousin afu sasa haka ni katoto ka cousin sasaaaaa[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Hii furaha uliyonayo ungeing'ang'ania....ukimtia mimba utakuja tena huku.Kichwa cha chini ni kigeugeu sana
 
We dada wewe nisamehe [emoji3064][emoji125]
Sure am telling u,hata ukimwi ndo ivoivo...umepata mtu moyo unasita kusex nae bila ndom kichwa cha chini kinagoma kinataka kikaone live kizazi kilivyoumbwa.Ndugu yanguu! Baadae ndo utasikia afu moyo uligoma kabisa yaan.LATE!!!
 
Sure am telling u,hata ukimwi ndo ivoivo...umepata mtu moyo unasita kusex nae bila ndom kichwa cha chini kinagoma kinataka kikaone live kizazi kilivyoumbwa.Ndugu yanguu! Baadae ndo utasikia afu moyo uligoma kabisa yaan.LATE!!!
We dada uje PM uni dm namba yako ya whatsaap mimi kijana damu inachemka nimeandika hapa natambua wazi nitakua criticized so nataka kukuuliza vitu vingi zaidi whatsaaap
 
We dada uje PM uni dm namba yako ya whatsaap mimi kijana damu inachemka nimeandika hapa natambua wazi nitakua criticized so nataka kukuuliza vitu vingi zaidi whatsaaap
Sawa mkuu
 
Dogo, inaelekea una genye la kufa mtu, and soon unaenda kufilisi duka.
We dada uje PM uni dm namba yako ya whatsaap mimi kijana damu inachemka nimeandika hapa natambua wazi nitakua criticized so nataka kukuuliza vitu vingi zaidi whatsaaap
 
Dogo, inaelekea una genye la kufa mtu, and soon unaenda kufilisi duka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]genye la hatariiiiii mwanangu
 
🍻
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…