Nahisi binamu yangu ananitaka kimapenzi

Nisikilize mimi kijana, Ondoka hapo Dilemma haraka na umtafune mwenzako.

Pasi kama ya Cousin kaka hatuombagi ushauri, huwa tunanyoosha halafu tunaleta mrejesho.

Jua huyo ni mkeo halali yako na yeye anajua fika wewe ni halali yake kwahiyo acha ujinga na umfanye mwenzio haraka iwezekanavyo.
Period!
 
Mimi story nzima ninacho kumbuka baada ya kusoma Ni binamu , duka na vitafunwa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Maandiko yanakataza uasherati si kwa mtu yeyote ,maandiko yanaruhusu kumuoa binamu
 
Kuna binamu mtoto wa baba mdogo au mama mdogo, huyo kikwetu tunamwita dada au kaka. ila binamu mtoto wa mjomba au mtoto wa shangazi, kikwetu kwetu tunaoa kabisa. sitataja kabila.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Ahsante sana kwa ushauri yaaan mazee kuna muda unawaza hiii cousin ni ndugu lakin ukiicheki yenyewe ni kama vile inasubiri tu uivute afu ukijufikiria na wewe una genye la maaaana liwalo na liwe baba ake[emoji3064][emoji1787]
 
Wakati wengine kila tukiamka tunawatafuta watu wa kuwatia midudu nyie mna chansi halafu mnazichezea ningekuwa ni mimi ningekuwa nimeshafungua thread yenye kichwa cha habari "JINSI NILIVYO MKAZA BINAMU"
 
Kuna binamu mtoto wa baba mdogo au mama mdogo, huyo kikwetu tunamwita dada au kaka. ila binamu mtoto wa mjomba au mtoto wa shangazi, kikwetu kwetu tunaoa kabisa. sitataja kabila.
Uyu wa kwangu wa shangazi mazeee[emoji3061][emoji3064]
 
Wakati wengine kila tukiamka tunawatafuta watu wa kuwatia midudu nyie mna chansi halafu mnazichezea ningekuwa ni mimi ningekuwa nimeshafungua thread yenye kichwa cha habari "JINSI NILIVYO MKAZA BINAMU"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3061][emoji3061][emoji3064] woooooooiiiiiiiiiiii mazeeeeew mi naona hapaaa kuna siku litakufa jitu
 
Kuna binamu mtoto wa baba mdogo au mama mdogo, huyo kikwetu tunamwita dada au kaka. ila binamu mtoto wa mjomba au mtoto wa shangazi, kikwetu kwetu tunaoa kabisa. sitataja kabila.
Mi mwenyewe nawaza apa naona ka.a binamu upande wa mama mdogo ndio jau ila hawa upande wa shangazi dadenya naona kama mali yangu vileeee[emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duh, kwani dada(binamu) anasemaje?
Watoto wa kike hawawez kusema wanataka lakin mtoto wa kiume unaona kabisaa hii pisi inanitaka ni vile tu basi an kama alishawahi kugombana hadi na madem zangu na bado yuko close that measn huyu anataka yuyuuu[emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3061]
 
Wewe ndio unamtaka, achana naye mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…