Nahisi binamu yangu ananitaka kimapenzi

Yani badala ya kula mzigo unakuja kuuliza humu jamvini, madogo wa Dar mnakwama wapi wenzenu wanatafuta zali la mentali kama hilo hawaoni
 
Punguza nyege kijana,huyo anakujali Kama ndugu tu

Badili title ya Uzi andika" namtamani binamu"
 
Anataka dyudu sioπŸ˜‚, kumbuka ni kama dadako huyo. Ukipiga ni kama umepiga nyumbani nani taboo!
 
Form six bn, hilo duka litaisha af huyo ni nduguyo ujue elimu ikusaidie kidog basi
 
Ndio madhara yakuwapa kazi watoto wa mama badala ya kuwaza unakuza vipi mtaji wa duka wewe unawaza ni jinsi gani ufilisi duka
Dah! Huyu dogo anakatisha sana tamaa kwa hii stori yake. Yaani mtu unakopa hela kwa riba, unaweka mzigo dukani ili biashara ikue, yeye anawaza ujinga tu!
 
unajua ukiwa na mawazo mabaya ubongo unakupa mpangilio wa matukio yanayo support hiyo scenario yako..kama unajiamini shoot youre shot ila kama itakuwa anakuchukia kiingine itakua aibu kubwa ya mwaka...ila cousin mkuu? mimi nikifikiria ninaomuheshimu afu ni mue chupi duuh
 
Na hapo amesema ana demu tayari, dogo bado anataka kula hadi home ground, dadeq 🀣🀣🀣
 
Eti jamani.

Ule uzi umewafanya Wana wahangaike na nyuchi ilmradi na wao wahadisie
Mijitu itaenda baka vitoto vya watu wakidhani masikhara pia, Duh! Mwisho jela wakahadithie uzi wa dogo huko! 🀣 🀣 🀣
 
Yaani wewe umemaliza form six hujui hata kutongoza unasubiri utongozwe. Halafu tulia u-apply loan board ukasome chuo hao mademu watakuambukiza ngoma unafika chuo unaumwa siku ya graduation unakuwa umekonda hata joho alikai ukiingia kazini unaripoti unakufa
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…