Nahisi binamu yangu ananitaka kimapenzi

Nahisi binamu yangu ananitaka kimapenzi

Yani badala ya kula mzigo unakuja kuuliza humu jamvini, madogo wa Dar mnakwama wapi wenzenu wanatafuta zali la mentali kama hilo hawaoni
 
Punguza nyege kijana,huyo anakujali Kama ndugu tu

Badili title ya Uzi andika" namtamani binamu"
 
Watoto wa kike hawawez kusema wanataka lakin mtoto wa kiume unaona kabisaa hii pisi inanitaka ni vile tu basi an kama alishawahi kugombana hadi na madem zangu na bado yuko close that measn huyu anataka yuyuuu[emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3061]
Anataka dyudu sio😂, kumbuka ni kama dadako huyo. Ukipiga ni kama umepiga nyumbani nani taboo!
 
Form six bn, hilo duka litaisha af huyo ni nduguyo ujue elimu ikusaidie kidog basi
 
Ndio madhara yakuwapa kazi watoto wa mama badala ya kuwaza unakuza vipi mtaji wa duka wewe unawaza ni jinsi gani ufilisi duka
Dah! Huyu dogo anakatisha sana tamaa kwa hii stori yake. Yaani mtu unakopa hela kwa riba, unaweka mzigo dukani ili biashara ikue, yeye anawaza ujinga tu!
 
Mwenzenu nina binamu yangu mmoja hivi tunalingana umri kidogo na mimi ni mtu wa kuondoka na kurudi kisomo baada ya kumaliza chuo nilirudi

Baada ya kurudi hom nikapewa pande la kusimamia duka sio kubwa sana ila lina compose mahitaji yote muhimu kuanzia vitafunwa n.k

Sasa wakati nikiwa pale dukan binamu huyu lazima aje kununua Vitafunwa pale mara nyingi ananiomba nimuongezee nyongeza addition au anatabia mfano ananunua vitu vya elfu 1 anaongezea moja anasema nimlipie mimi kila siku ananambia hivo ananunua anajipngezea ananiangalia kwa tabasamu anasema moja nimejiongeza utanilipia huko[emoji3526]

Sasa siku zinaenda zinaenda siku moja nikamzingua alimtuma mdogo upande wa kaka yake pesa haikutosha nikamrudisha baada ya dakika kama 2 yule mtoto alirudi na pesa imekamilika nikampa sukari aliokua akiitaka akilini nikaamini yule binamu atanichukia na hata taka kuniona tena [emoji57]

Zikapita siku 2 hajaja tena pale Dukan mtoto wa kiume nikaanza kuwaza eeeh nishaharibu u dugu [emoji17] ila nikawaza zikipita siku 3 hajaja basi na mimi napotezea[emoji2740]

Siku ya 3 akaja kapendeza kinoma kama kawaida anataka vitafunwa ila stori nilizowahi kuzipata turudi nyuma kidogo kulikua na mtoto wa kike mwingine ananikubali sanaa alikua nae anamazoea ya kuja dukan pale sasa akimkuta binamu yule alikua anammindi sana alifikili ni mpenz wangu kumbe ni cousin tu sasa akamwita nje akamuwashia moto cousin wangu sikujua waligombana nini lakin yule cousin alikuja kunambia yule dada ninar mkuta hapa ni mtu wako nikamjibu hapana kwa kuficha ukweli

Sasa sikutaka kumuuuliza sana na ilionekana yeye cousin kakasirika sana ukaribu wangu na wale watu lakin siku wale wadada wakaondoka

Na mimi hom nikabaki peke ang maza kaenda harusini Dsm cousin akaniletea chai asubuhi kazin bila kuomba na chakula cha mchana kesho piaa asubuhi akaniuliza chai umekunywa?[emoji3526] Mmmmmh hiii care ilinivuruga kabisaaaaaaaaaaa

Sasa turud kule baada ya kuacha kukasirika siku ya tatu kaja akaja tena siku ya 4 na simu yake anashindwa ku downliad applications kupitia unknown source APK FILE sasa akaniita nitoke nje ya duka nilipotoka nikawa naweka app kwa simu yake huku akiwa close sana [emoji3526][emoji3526] mtoto ananukia marashi mazuri sana siku moja nilimwambia unependeza akajibu Ahsante.

Sasa mimi najiuliza huyu cousin ni pisi kali sana wakulukungwa nyie mmepata picha gani hapaa [emoji17][emoji17][emoji17][emoji125] niko dilema
unajua ukiwa na mawazo mabaya ubongo unakupa mpangilio wa matukio yanayo support hiyo scenario yako..kama unajiamini shoot youre shot ila kama itakuwa anakuchukia kiingine itakua aibu kubwa ya mwaka...ila cousin mkuu? mimi nikifikiria ninaomuheshimu afu ni mue chupi duuh
 
unajua ukiwa na mawazo mabaya ubongo unakupa mpangilio wa matukio yanayo support hiyo scenario yako..kama unajiamini shoot youre shot ila kama itakuwa anakuchukia kiingine itakua aibu kubwa ya mwaka...ila cousin mkuu? mimi nikifikiria ninaomuheshimu afu ni mue chupi duuh
Na hapo amesema ana demu tayari, dogo bado anataka kula hadi home ground, dadeq 🤣🤣🤣
 
Yaani wewe umemaliza form six hujui hata kutongoza unasubiri utongozwe. Halafu tulia u-apply loan board ukasome chuo hao mademu watakuambukiza ngoma unafika chuo unaumwa siku ya graduation unakuwa umekonda hata joho alikai ukiingia kazini unaripoti unakufa
 
Yaani wewe umemaliza form six hujui hata kutongoza unasubiri utongozwe. Halafu tulia u-apply loan board ukasome chuo hao mademu watakuambukiza ngoma unafika chuo unaumwa siku ya graduation unakuwa umekonda hata joho alikai ukiingia kazini unaripoti unakufa
😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom