mkalusanga
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 369
- 446
Zipo cctv ikifungwa hata mtu ukiingia huwez tambua kama kuna cctv cam ndaniHozo sikuhizi hazisaidii sana
Kwa polisi wetu Hawa iyo case imeshahitimishwa. Hatuna sharlock Holmes hapa bongoNimesikiliza kwa juu juu hii habari ya "housegirl" kumuua mtoto Kimara lakini kwa hisia tu nahisi huyu housegirl ni muhanga wa jambo ambalo linaweza kuwa limejificha.
1. Jambo hili linaweza kuwa limefanywa na mtu kwa wivu tu wa kuionea wivu familia. Ukitazama familia inavyoonekana haikosekani binadamu wa kuionea wivu.
2. Yawezekana baba ana mchepuko unaoweza kuona labda mtoto ni kikwazo kwa mambo mengi kwake
3. Huyo mtu aliyemleta housegirl ni nani? na ana mahusiano gani na familia hiyo.
4. Wakati hawana housegirl, ni nani waliyemuacha kuangalia nyumba pamoja na kijana, maana nimemsikia mama akisema hakuwa na housegirl. hapa nataka kusema inawezekana kuna watu waliwaachia uangalizi wa nyumba na walifaidika na jambo hilo, ujio wa housegirl mpya ukakata faida iliyokuwa inapatikana na binadamu kila mtu ana akili zake jinsi ya kutatua tatizo.
5. House girl aliyeondoka aliondoka kwa sababu zipi na yuko wapi?
6. Katika majirani na marafiki wa familia nao wahusishwe.
7. Huyo housegirl anayedaiwa kuuwa afuatiliwe alikotoka alikuwa mtu wa aina gani?
Maana yangu ni kama kuna mtu amefanya uamuzi wa kipuuzi kumuua mtoto kwa sababu ya kipuuzi tu ndogo, tuwaombe vyombo vya uchunguzi wamtafute huyo mtu mpaka apatikane na tusimbebeshe "housegirl" kama siye yeye aliyetenda.
Swali, huyo mama wa jirani anaaccess na CCTV za nyumba nyingine? Na mbona wenye mtoto wanadai zina siku mbili hazifanyikazi?Aisee yanaibuka mengi sana kuhusiana na hili tukio. Hata mimi nilijiuliza sana binti wa kazi akae siku mbili aue mtoto labda awe kichaa kabisa. Pia polisi wakishirikiana na TCRA wafuatilie kuna "voice note" inasambaa mtandaoni kuna mama anasema yeye ni jirani na hiyo familia na ameona kwenye CCTV binti wa kazi akimnyonga mtoto. Polisi wamuhoji huyo mama maana hapa naona wachangiaji wanasema baba wa mtoto kasema CCTV haifanyi kazi/ilizimwa siku mbili kabla. Sasa huyo mama aliona kwenye CCTV ipi?
Halafu kama kweli vile?😎😎Naomba kwa Wanaokumbuka juzi juzi hapa kuna mtu Alileta Story ya yeye kuzaa na Dr. Na Alidai mke wake Kamzalia Watoto wa Kike tuu ila huyo Dr Kamzalia mtoto wa Kiume na Kapewa Baba Mwingine Asije kuwa ndo huyu Mdau wa Humu Ndani Kafanya yake Make Alielezea Kwa Uchungu Sana Mliosoma kumbukeni.
Very good.Huyo house girl alililetewa na dereva taxi anakofanya kazi huyo mwanamke ni dereva taxi aliyemzoea yeye mwenyewe akamwambia ninatafuta house girl yule dereva akamwambia kule kijijin kuna mtoto wa kaka angu yupo tu nyumbani ndyo ukafanywa mpango akaja.Ila mm nina shaka huyo house hajafanya hilo tukio
Naomba kwa Wanaokumbuka juzi juzi hapa kuna mtu Alileta Story ya yeye kuzaa na Dr. Na Alidai mke wake Kamzalia Watoto wa Kike tuu ila huyo Dr Kamzalia mtoto wa Kiume na Kapewa Baba Mwingine Asije kuwa ndo huyu Mdau wa Humu Ndani Kafanya yake Make Alielezea Kwa Uchungu Sana Mliosoma kumbukeni.
Swali, huyo mama wa jirani anaaccess na CCTV za nyumba nyingine? Na mbona wenye mtoto wanadai zina siku mbili hazifanyikazi?
Sahihi kabisa!!1.Kabisa huyu mama amejua kiaje kwamba cctv zimemuonyesha house girl akimunyonga mtoto
2. Mkanganyiko wa cctv kufanya kazi kama huyo jirani anavyodai na uhalisia wa baba mwenye nyumba kusema cctv hazifanyi kazi muda mrefu sasa
3.Mtu wa kukufanyia tukio lazima awe anakujua kiundani siyo mtu wa siku mbili ambaye pia kama angekua amefanya hilo tukio asingetoa taarifa
4 Jumping to a conclusion tuanze na hypothesis hii
Housegirl hajaua
Then tuprove
Kuna changamoto kubwa sana kwenye hili suala ila kama mtoto sio wa kuzaliwa yani kwa yule baba na mama ni shidaa yani mama mkavu anahojiwaa utadhani sijui hakuna kilichotokea hata kama ni Dr kazoea majanga lakini hapana aisee yule mama kazidi. Dada inawezekana kweli kafanya kushindwa kukimbia sababu alishikwa na bumbuwazi haelewi afanye nini.Hata mimi nimewaza sana binti aje siku mbili amuue mtoto bila sababu za msingi halafu ampigie mama wa woto simu amueleze kwamba mwanae hapumui na kawa wabaridi halafu asitoroke? kuna kitu kimeficha hapa, weledi wa wapelelezi wetu utaibua jambo hapa.
Hata body language ya mama wakati anasimulia nayo inatia mashaka vilevile.
Halafu what if yule mtoto ni wa baba kazaa na mwanamke mwingine ndio akamleta hapo waishi wote na mkewe?
Mkuu hawezi kushikwa na bumbuwazi kama alidhamiria kuua, Pili maza ni wakutilia mashaka kama ulivyoelezaDada inawezekana kweli kafanya kushindwa kukimbia sababu alishikwa na bumbuwazi haelewi afanye nini.
Siku mbili ananyanyaswaje?Mara ya kwanza niliona taarifa kuwa tukio limeonekana kweny cctv ambazo housegirl hakuziona
Mama mwenye mtoto anasema zilikwua zimezimwa hapo ndo tuamini ukifuatilia zaidi Kuna kitu kikubwa
Anyway hapo kuna lile kabila ushaona kimaro Wana roho mbaya sana wanawekana kumnyanyasa huyo mfanyakazi
Paragraph 2: Damn !!! I had the very same feeling as I was following the news with regards to this issue (Body Language + Narration)!!! Let's hope the whole truth & nothing but the truth will be revealed and that someone else is responsible and not the otherway round.Hata mimi nimewaza sana binti aje siku mbili amuue mtoto bila sababu za msingi halafu ampigie mama wa woto simu amueleze kwamba mwanae hapumui na kawa wabaridi halafu asitoroke? kuna kitu kimefichwa hapa, weledi wa wapelelezi wetu utaibua jambo hapa.
Hata body language ya mama wakati anasimulia nayo inatia mashaka vilevile.
Halafu what if yule mtoto ni wa baba kazaa na mwanamke mwingine ndio akamleta hapo waishi wote na mkewe?
Na zimerikodi tukia...Kuna CCTV camera mzee.
Kweli kabisa, mie nilifikiria sana kuhusu jambo hilo na nilihisi kuwa huyo haouse girl hausiki na mauaji ya mtoto. Kwa maelezo ya wazazi wote walisema alipiga simu kuwa mtoto ana tatizo na alikaa mpk walipofikaKiiini cha tatizo kinaweza kuwa hapa.
House girl aliyeondoka upo uwezekano hakutendewa haki na hii familia kulipwa mshahara mdogo kwa kazi kubwa dharau matusi manyanyaso mengi etc sometimes alivunja vikombe hata kwa bahati mbaya mwenye nyumba akamlipisha hivyo akapandikiza mamluki akamtuma akafanye kazi hiyo.
Haiyumkiniki mtu akae siku mbili tu auwe mtoto alimkera nini ndani ya hizo siku mbili cha kumfanya amuue?
Hao majirani si ni wale wambea wa mjini anasikia kitu anakidaka na kukisambaza ni kama Zai wa KijiwenongwaAisee yanaibuka mengi sana kuhusiana na hili tukio. Hata mimi nilijiuliza sana binti wa kazi akae siku mbili aue mtoto labda awe kichaa kabisa. Pia polisi wakishirikiana na TCRA wafuatilie kuna "voice note" inasambaa mtandaoni kuna mama anasema yeye ni jirani na hiyo familia na ameona kwenye CCTV binti wa kazi akimnyonga mtoto. Polisi wamuhoji huyo mama maana hapa naona wachangiaji wanasema baba wa mtoto kasema CCTV haifanyi kazi/ilizimwa siku mbili kabla. Sasa huyo mama aliona kwenye CCTV ipi?