Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu kama kweli hivi 😂ana asili ya kaubishi au anasemaje yeye mwenyeweWewe shida ipo.kwako inaelekea ukienda kwenu ni kula kulala na kuchezea simu kuna uzi.ulisema upendi kabisa kuamshwa kwenda kanisani wewe bado mtoto ukumbuke
Nje ya hiyo una asili ya kiburi mbishi na utaki kukubalina na ukweli
mbona limewezekana kwangu😅yani itokee tu hamuelewani bila sababu? Sidhani kama hili linawezekana
mkuu mwambie waiter alete 10 arudishe 9, ntalipia, umesema point sana.Wewe shida ipo.kwako inaelekea ukienda kwenu ni kula kulala na kuchezea simu kuna uzi.ulisema upendi kabisa kuamshwa kwenda kanisani wewe bado mtoto ukumbuke
Nje ya hiyo una asili ya kiburi mbishi na utaki kukubalina na ukweli
hii imekaa kihisia zaidi, au ni huu ujana ujana foolish age??😅Wazazi nao wanazinguaga basi tu ndio vile washakua wakubwa kwetu so tunajitahidi kuishi humo kwenye nidhamu
Kama sababu za ugomvi wenu ni kupishana mitazamo mfano mama anataka uende kanisani wewe hutaki,hataki utembee usiku basi jitahidi kumsikiliza anayotaka yeye...muhimu hayana madhara kwako
unafosi liwezekane, ukishakuwa unaishi kwa utegemezi wa mzazi na bado nio home boy unakula kwa shikamoo unapaswa kuishi kwa kufuata misingi ya wazazi tofauti na hapo utaharibu.mbona limewezekana kwangu😅
ndio mkuu, nnachoshukuru sijawahi kumtusi mzazi, heshima ipoJitahidi kufunga mdomo wako
Nimekua nikipata changamoto kwenye mahusiano na mzazi, kuna kuwa hamna maelewano kati yetu, tunagombana sana, hatuwezi kukaa sehemu moja tukazungumza usitokee ugomvi kati yetu.... na kinachonishangaza zaidi, nikijaribu kuangalia sababu sielewi, hii hali imekua ikiendelea kwa mda mrefu sasa na inanipa mawazo kwa kweli.....
Sasa hii hali imenipelekea kukwepa kwenda nyumbani kwa miaka karibia mitatu sasa, nipo chuo, na nikiwa likizo najiweka mbali na mzazi.... mfano mwaka jana ilitokea mzozo kwelikweli, nilikua nimefunga chuo nikagoma kufikia kwa mama alipokua kikazi, kwasababu hakuweza kua nyumbani kwa muda huo, tuligombana sana mpaka ikafikia hatua ya yeye kunikaripia 'usipokuja kuniona wewe sio mwanangu' basi ikabidi niende kishingo upande ila sikua na amani....
Tumeendelea kuishi hivi hivi kwa kulumbana mpaka hivi sasa, bado ugomvi unatokea mara kwa mara, hivi sasa tumefunga chuo nimebaki huku huku chuo kufanyia field, imekua mzozo kweli kweli mara aniambie simpendi ndo maana sitaki kwenda kumuona, leo tumezozana anadhani naishi na binti huku nimempa mimba, anataka aje kuona nnapoishi....
Najua mtaona kama kuna maovu yangu naficha, ndio maana nagombana na mzazi, nakubali kuna makosa nimefanya nikagombana na mzazi lakini tuliyamaliza, ila hii hali ni tofauti, nikiwa karibu na mzazi nahisi vibaya, sijui kwanini, natamani tu nijiweke mbali nae.... hii hali inanitesa sana, na nikifikiria huyu ndo mzazi pekee niliyebaki nae, naumia zaidi, natamani kuithibiti hii hali, ila inajirudia....
Najua humu kuna watu wazima mmeshapita ujana na changamoto zake, hebu nishaurini kwa mtazamo wenu nifanyeje ili kurudisha mahusiano na mzazi....
nimehisi hivyo piaKuna shida ya kiroho hapo
Kihisia zaidi kwasababu mmekuwa mkirumbana mara kwa mara...kwa hiyo hapo source/mzizi ya unavyojisikia kuhusu mzazi wako ni ugomvi wa mara kwa mara...kukosa amanihii imekaa kihisia zaidi, au ni huu ujana ujana foolish age??😅
Hapo kwenye hisia. Nadhani kuna kitu hujakiweka wazi kwenye maelezo yako na ndicho kinafanya uhisi hivyo ndiyo maana wachangiaji wengine wamekuuliza kama unavuta bangi kwasababu haiwezi tu kuwa eti hujiskii kukaa karibu nae. Kama na wewe hujui tatizo ni nini basi mwenye tatizo ni wewe na sio mzazi wako. Jitafakarihayo yote kawaida tushayasuluhisha,
hii imekaa kihisia zaidi sielewi sababu
ndio mkuu ndo najaribu kupelelezaHapo kwenye hisia. Nadhani kuna kitu hujakiweka wazi kwenye maelezo yako na ndicho kinafanya uhisi hivyo ndiyo maana wachangiaji wengine wamekuuliza kama unavuta bangi kwasababu haiwezi tu kuwa eti hujiskii kukaa karibu nae. Kama na wewe hujui tatizo ni nini basi mwenye tatizo ni wewe na sio mzazi wako. Jitafakari
Kwani bangi ina shida gani?Hapo kwenye hisia. Nadhani kuna kitu hujakiweka wazi kwenye maelezo yako na ndicho kinafanya uhisi hivyo ndiyo maana wachangiaji wengine wamekuuliza kama unavuta bangi kwasababu haiwezi tu kuwa eti hujiskii kukaa karibu nae. Kama na wewe hujui tatizo ni nini basi mwenye tatizo ni wewe na sio mzazi wako. Jitafakari
Amini usiamini ndio nikwambiaAfu kama kweli hivi 😂ana asili ya kaubishi au anasemaje yeye mwenyewe
Ahahahhah analetamkuu mwambie waiter alete 10 arudishe 9, ntalipia, umesema point sana.