mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Chaputa ni nnNijibu hili swali
.unavuta bangi??au chaputa sana??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chaputa ni nnNijibu hili swali
.unavuta bangi??au chaputa sana??
Mungu akusaidie kwasababu kupoteza hisia na mzazi ni jambo baya. Linaweza kuonekana kawaida kwa sasa ila once mmoja wenu akawa hayupo tena, regret yake inakuwa kubwa na ya milelendio mkuu ndo najaribu kupeleleza
Kanavuta itakuwaNijibu hili swali
.unavuta bangi??au chaputa sana??
acha hizo mwananguKanavuta itakuwa
Na ndio chanzo cha ugomvi..
kijana acha utukutu...Nimekua nikipata changamoto kwenye mahusiano na mzazi, kuna kuwa hamna maelewano kati yetu, tunagombana sana, hatuwezi kukaa sehemu moja tukazungumza usitokee ugomvi kati yetu.... na kinachonishangaza zaidi, nikijaribu kuangalia sababu sielewi, hii hali imekua ikiendelea kwa mda mrefu sasa na inanipa mawazo kwa kweli.....
Sasa hii hali imenipelekea kukwepa kwenda nyumbani kwa miaka karibia mitatu sasa, nipo chuo, na nikiwa likizo najiweka mbali na mzazi.... mfano mwaka jana ilitokea mzozo kwelikweli, nilikua nimefunga chuo nikagoma kufikia kwa mama alipokua kikazi, kwasababu hakuweza kua nyumbani kwa muda huo, tuligombana sana mpaka ikafikia hatua ya yeye kunikaripia 'usipokuja kuniona wewe sio mwanangu' basi ikabidi niende kishingo upande ila sikua na amani....
Tumeendelea kuishi hivi hivi kwa kulumbana mpaka hivi sasa, bado ugomvi unatokea mara kwa mara, hivi sasa tumefunga chuo nimebaki huku huku chuo kufanyia field, imekua mzozo kweli kweli mara aniambie simpendi ndo maana sitaki kwenda kumuona, leo tumezozana anadhani naishi na binti huku nimempa mimba, anataka aje kuona nnapoishi....
Najua mtaona kama kuna maovu yangu naficha, ndio maana nagombana na mzazi, nakubali kuna makosa nimefanya nikagombana na mzazi lakini tuliyamaliza, ila hii hali ni tofauti, nikiwa karibu na mzazi nahisi vibaya, sijui kwanini, natamani tu nijiweke mbali nae.... hii hali inanitesa sana, na nikifikiria huyu ndo mzazi pekee niliyebaki nae, naumia zaidi, natamani kuithibiti hii hali, ila inajirudia....
Najua humu kuna watu wazima mmeshapita ujana na changamoto zake, hebu nishaurini kwa mtazamo wenu nifanyeje ili kurudisha mahusiano na mzazi....
tafta suluhisho mzee, generally ni vibayaUna tatizo linataka kufanana na mimi.
Nikiwa mbali tunakuwa na uhusiano mzuri na mama ila nikiwa home duu tunagombana sana bila sababu za msingi.Kwasasa nilishafanya maamuzi nitakaaa huku niliko ili tuendelee kuwa na uhusiano mzuri.
[emoji1][emoji1][emoji1]Kwani bangi ina shida gani?
Kwako yameisha ila bado ujachangehayo yote kawaida tushayasuluhisha,
hii imekaa kihisia zaidi sielewi sababu
😌😌 me nalalaacha hizo mwanangu
Hii ni ngumu hata humo makaziniHata kama atakwambia "Tembo anaweza kuruka angani" wewe mkubalie tu kua yupo sahihi,hutogombana nae tena na huo ndio utakua mwisho
Mimi nimempa tu ushauri,the rest it's up to him.Hii ni ngumu hata humo makazini
Wazee wanazingua sana.
Sawa mkuutafta suluhisho mzee, generally ni vibaya
Sema ukweli, wakubwa wakusaidie😂😂Tumeendelea kuishi hivi hivi kwa kulumbana mpaka hivi sasa, bado ugomvi unatokea mara kwa mara, hivi sasa tumefunga chuo nimebaki huku huku chuo kufanyia field, imekua mzozo kweli kweli mara aniambie simpendi ndo maana sitaki kwenda kumuona, leo tumezozana anadhani naishi na binti huku nimempa mimba, anataka aje kuona nnapoishi
jichanganye kama ujadeki choo cha barAhahahhah analeta
Unanikata siojichanganye kama ujadeki choo cha bar
Mdogo wako atak kusema ukweli na hapo kamaind kinomaSema ukweli, wakubwa wakusaidie😂😂