Nahisi maumivu baada ya kugundua viashiria vya Usaliti

asante sana. Nakiri kwamba sitarudia tena
 
H
😄 🤣 😂 Dating isn't real bro!!!

View: https://youtube.com/shorts/eR0wFjE_aNY?si=EbjdgpPpFf0a4K4M
 
Pole ndugu yangu.Hasira zimechangiwa pia na huo msoto wa kiuchumi unaopitia.Huwa hatufanyi hivyo wanaume.Hiyo siyo sifa ya mwanaume anayejiamini.Kwanini usingemuacha kwa siri kama alivyotaka kufanya Yusufu wa biblia kwa mariamu baada ya kugundua ana mimba.Umejiumiza moyo bure.nilidhani ungemshukuru Mungu kukuonyesha hayo uliyoyaona kwa sababu amekuepusha na mengine. Ila pia umri wako linaweza kuwa tatizo jingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…