Nahisi maumivu baada ya kugundua viashiria vya Usaliti

Mkuu
Umejidhalilisha sana aisee tafuta hela mkuu achana kupiga makofi wanawake huo sio ustaarabu na utaratibu kwa mwanaume.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa hiyo hapa unaomba ushauri ama umeamua kutung'ong'a? Demu wako ana tako?
 
Ayo ndo mapenzi ya sku izi sa sjui unaumia nn kwan ukujiandaa kiakili kabla ya kua nae

Tupende kujiaminisha kua mpenzi wangu anawapenzi zaidi ya wawili ili ikitokea isikuadhiri ila kujiaminisha uko pekeako ndo shida huwa inakuja apo
 
Manzi ya twn unataka kula mwenyewe mzeebaba..?? 🤣. Ongeza juhudi kwenye kusaka mapene, bila hivo, kuna uwezekano mkubwa tukio kama hili litajirudia siku za usoni.
 
Pole sanaa, karibu afisini kwetu tuone namna gani ya kukusaidia
 
Baada ya kujiridhisha kuwa anabanduliwa na mtu mwingine huwa na sababu ya kugombana naye na kumvunjia simu, ilitakiwa tu kuachana naye jumla, mbona pisi zipo za kumwaga tu unataka kujipa stress kwa kishimo hicho.
 
Hio simu ulioivunja vunja ulimnunilia wewe?
Pole sn, ila mwanamke kufanya usaliti haipendezi
 
Ukimvua unakuwa umempunguzia nini?
nakuwa nmemkojolesha vyakutosha kiufupi nakuwa nmemwagia shudu zangu zakuzidi kwahyo namjua nje ndani teh teh teh teh anakuwa takataka tu kwangu
 
Lipa simu kwanza ndio penzi liishe

Yaani kwanza hujamuoa huna haki ya kumpiga.. roho mbaya tu ukikamatwa na wewe upigwe
 
Baada ya Adam kutengana na Lilith, ilimchukua miaka 600 kumpata Hawa(Eva)...

Ili ufikie malengo inahitaji upate muda wa peke yako kujijenga.

Ukipata tena mwanamke kopindi hiki, yatakuwa yaleyale.

Haya mambo ya usaliti yapo tangia kuumbwa kwa ulimwengu. Yakupasa kuwa shupavu. Hata ukilia hakuna wa kukusaidia maana kila mtu anapitia haya ila tu hajagundua. Tafuta pesa kula maisha.
Maisha yanataka nini zaidi?
 
Ana kazi bosi na nilikuwa nae bega kwa bega kuhakikisha kwamba anapata kazi. Ndio maana haikuwa shida yeye kunisapoti wakati nimekwama.
😆Aliyesema mwanamke sio ndugu yako hakukosea
 
Usije kujidanganya mwanamke anakazi atatumia hela yake kaka, mwanamke ameumbwa kuhudumiwa na sio kuhudumia
Ni kujiendekeza tu na roho ya ubinafsi😂 mbona akiwa na mtoto anamlisha?
 
Inabidi aishi nayo hii...Imekaa kikubwa sana.
 
Kwa jiji la dar kupata mwanamke alietulia na mwanaumme 1 ni ngumuu sanaaa.
Labda uwe vizuri kiuchumi na hivyo uyo atakaetulia na ww umkute ni bikra vyenginevyo kugongewa hakukwepekii
Hahahahahaha wapo matajiri wanagongewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…