Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaomega ndiyo wanaoanzisha nyuzi ili kuwastua wamegewaji na jamii kwa ujumlaNaona Kuna zone ya watu kumegewa siku hizi
Bwan ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu😅Hivi Zaburi 23 inasemaje...?
Na hii haliNyuzi za kumegwa zimekua nyingi sana au ndio msimu wake huu?
Wala itakuwa anauza barafuhahaha wee ni fundi friji na AC??
Avute mwingine, naye akizingua avute mwingine naye akizingua avute mwingine, kamwe hatapungukiwaBwan ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu😅
Mpaka najiuliza wanaume tunafeli wapi....anyway kwa sisi Waislamu Alhamdulillah mtu hafanyi uzembe maana hatukawii kumpunguzia majukumu na kumshusha cheoNyuzi za kumegwa zimekua nyingi sana au ndio msimu wake huu?
Mkuu afadhali ya huyo alisema wazi ana msaidizi wakeShauriana na huyu jamaa kwanza Leo nahis mke wangu analiwa huko alipoenda.
. Sasa waliooa wachunge sana maana nyuzi zinakuja kwa kasi ya 5G
Wabena hatuna hizi mambo za kuchepuka siyo wanawake wala wanaume.Kama ni mbena umeumia