sasa ukitaka utamu ukubali na madhara yake pia. Ndio hapo kidume unaenda zako pharmacy unachukua zako azuma 500g halafu unaenda kwa wa kienyeji wa buza.Condom zinapunguza utamu
Mke yupo bize na usingizi.. ngoja wamsaidie kumwamshaMsichana wa kazi anamwamsha baba mwenye nyumba ili afagie?
Maajabu haya...
Hata mke hatakiwi kumwamsha mume eti afagie..
Nakugawasasa ukitaka utamu ukabali na madhara yake pia. Ndio hapo kidume unaenda zako pharmacy unachukua zako azuma 500g halafu unaenda kwa wa kienyeji wa buza.
Ukimaliza tu unajidunga dozi yako, hapo unalipiga bonge la suprise gono.
KaburiCha peke yako.........
AsanteeKaburi
Sasa kwani k nayo inaenda shule ndugu?Wewe ni mzembe na hujui wajibu wako. Kama house girl ambaye hajasoma, unamlipa mshahara anaweza kukuchukulia mume hapo hapo ndani ya nyumba.
Kwanini aamshwe?Mke yupo bize na usingizi.. ngoja wamsaidie kumwamsha
Kwa vile akili ya mwanaume iko kwenye kichwa cha mwanamke,Wewe ni mzembe na hujui wajibu wako. Kama house girl ambaye hajasoma, unamlipa mshahara anaweza kukuchukulia mume hapo hapo ndani ya nyumba.
Kama mada ilivyo...
Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.
Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
Hahahahaha...halafu wako full jotoHavitumiki k imevundikwa kwanini visiwe vitamu
Punguza kitambiKama mada ilivyo...
Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.
Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
SASA UACHE NDOA YA BOSS WAKO.Sawa tu
Bora muondoe Housegirl haraka yaisheKama mada ilivyo...
Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.
Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
Mwambie rafiki yako akitulize , kitakatika 😁😹Tulizana na mkeo😉
Huyu ndugu yangu huwa simuelewi kabisa!Mwambie rafiki yako akitulize , kitakatika 😁😹
😁😁😁Huyu ndugu yangu huwa simuelewi kabisa!
Lakini kwako ameniambia kafika Kigoma mwisho wa reli