Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

wewe unamdanganya kabisa ushauri wa hovyo huu ulioutoa japo ni haki yako kutoa naomi
Hako kadada hakajawahi kuwa na ushauri mzuri ht cku Moja kwa mtu yyte yule, [emoji3] hakajielewi kanashaur kwa kutumia mihemko tu sio akili na hekima
 
Jamani I can't tag everyone..lakin thanks... honestly Niko vibaya.. vibaya Sana..nshalia mpaka machoz yameisha sasa nacheka Kama mjinga[emoji85]. Maswali Ni mengi..

jamani Mimi Ni msafi sijisifii... kitandan namkimbiza mbali kabisa [emoji85] pesa Sina yes nliacha kazi sababu alinipa option ya yeye au kazi na Mimi nikasema nakutaka wewe baba Sweetie....

Ni msomi[emoji41]Nina jiwe langu moja japo halinsaidii lakin poa tuu...

Sina mdomo..napenda love everywhere Everytime....Yan mahaba kwny kila hatua, asubuhi mpaka tulale Ila ndo ye hawez anaona disturbance...

Yawezekana kweli Kuna mahala nilimkosea..Ila nyie..I remember one night na sitokaa niisahau..nlimuomba Sana aniambie Nini nifanye ili tuwe sawa. The more namuomba ndio the more ananidharau.. Yan alinishusha mpaka level ya mwisho ya ubinadamu...akanitukaaana na kunisimanga .

But it's okay... Kuna aliesema why naeleza mambo ya ndoa [emoji4][emoji4]sharing with you doesn't make me lose a thing...Wala hatujuani... Huwez jua comments zitaeza save one lost soul.....nyie nampenda baba sweetie [emoji23]
Faithfully...
Mama sweetie..
Nawapenda
Poleee my cisy...kama umefanya yote hayo na bado jamaa haeleweki, maybe anapitia magumu anashindwa kukwambia, hebu lia na Mungu wako aokoe ndoa yako, ipeleke ndoa yako kwa Mungu...mrudishe mumeo katika mstari wa kumjua Mungu,something is wrong na bila kukifahamu mtazidi kupotea, anza kubadilika, anza kuabudu kwa kumaanisha, ongea na Mungu kila unapohisi kufanya hivyo, lia sana mbele zake, angalia wapi ulikosea, kama aliona unafaa kuolewa kwanini hayo? Sema na Mungu dada, hakikisha mumeo anamjua Mungu, hakikisha anasali tena kwa kumaanisha, sio rahisi na itachukua mda ila majibu utayaona, zaidi usiache kumuombea, endelea kua na subira na huruma juu yake, angalia wapi ulienda tofauti nae..

Update ndoa yako ( fanya vitu vipya , like new dishes, kama alishazoea usiku ni wali samaki ,try new dishes, sometimes muombe mpike pamoja, try new outfit , ikibidi likizo peleka watoto kwa bibi, mpate mda wawili tuuu,maybe anamiss ile kua wawili..
Make him feel special)....

Jipende,tafuta new hobbies, like kusoma hata vitabu, movies,football( karibu timu la taifa yanga[emoji28][emoji28][emoji28])...just be happy ma...life is too short to stress yourself, wakati unapambana kumpa furaha, usijisahau na wewe...

Muheshimu sana mumeo,.stop complaining, maybe hiyo fact ya kuacha kazi unaizungumzia sana kwake kama unavyoielezea hapa, like unajuta kwa vile maisha yamekua, kutoka kupaka lotion hadi kupaka Vaseline...ni kwamba hapana pesa ya kununua lotion au umeamua tuu? Maybe majukumu yamemzidia anashindwa kukwambia, Kuna mdau ameshauri kuhusu kufanya ufugaji, hebu chakarika upate ya lotion kwanza mamito...I think hata kuku wanaweza kukuweka bize ukapunguza makasiriko na huyo kiumbe...

Make him miss home....zaidi ya yote , Mungu akupe nguvu dada...ukiona bado magumu na yanakuzidia ,wazazi na watumishi wa Mungu hapa ni mahala pao Sasa...ukimya ukizidi huleta mauti.....

Be blessed....
 
Poleee my cisy...kama umefanya yote hayo na bado jamaa haeleweki, maybe anapitia magumu anashindwa kukwambia, hebu lia na Mungu wako aokoe ndoa yako, ipeleke ndoa yako kwa Mungu...mrudishe mumeo katika mstari wa kumjua Mungu,something is wrong na bila kukifahamu mtazidi kupotea, anza kubadilika, anza kuabudu kwa kumaanisha, ongea na Mungu kila unapohisi kufanya hivyo, lia sana mbele zake, angalia wapi ulikosea, kama aliona unafaa kuolewa kwanini hayo? Sema na Mungu dada, hakikisha mumeo anamjua Mungu, hakikisha anasali tena kwa kumaanisha, sio rahisi na itachukua mda ila majibu utayaona, zaidi usiache kumuombea, endelea kua na subira na huruma juu yake, angalia wapi ulienda tofauti nae..

Update ndoa yako ( fanya vitu vipya , like new dishes, kama alishazoea usiku ni wali samaki ,try new dishes, sometimes muombe mpike pamoja, try new outfit , ikibidi likizo peleka watoto kwa bibi, mpate mda wawili tuuu,maybe anamiss ile kua wawili..
Make him feel special)....

Jipende,tafuta new hobbies, like kusoma hata vitabu, movies,football( karibu timu la taifa yanga[emoji28][emoji28][emoji28])...just be happy ma...life is too short to stress yourself, wakati unapambana kumpa furaha, usijisahau na wewe...

Muheshimu sana mumeo,.stop complaining, maybe hiyo fact ya kuacha kazi unaizungumzia sana kwake kama unavyoielezea hapa, like unajuta kwa vile maisha yamekua, kutoka kupaka lotion hadi kupaka Vaseline...ni kwamba hapana pesa ya kununua lotion au umeamua tuu? Maybe majukumu yamemzidia anashindwa kukwambia, Kuna mdau ameshauri kuhusu kufanya ufugaji, hebu chakarika upate ya lotion kwanza mamito...I think hata kuku wanaweza kukuweka bize ukapunguza makasiriko na huyo kiumbe...

Make him miss home....zaidi ya yote , Mungu akupe nguvu dada...ukiona bado magumu na yanakuzidia ,wazazi na watumishi wa Mungu hapa ni mahala pao Sasa...ukimya ukizidi huleta mauti.....

Be blessed....
Amina baby Nana.. you are so sweet..God bless you abundantly
 
Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Una miaka mingapi kwenye ndoa?
 
ndoa tamu we mad max, oa uone
emoji39.png
tatizo Ni iz
Usingeleta uzi hapa
 
Pole ........lakin ndio mjifunze kupenda wa level zenu ............maana ni kama pozi zilikuwa nyingi harafu dizaini kama mwamba kagundua ukweli wewe ulikuwa pisi ya masela harafu Huna maajabu yeyote zaidi ya kudeka deka wakati njaa kali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fanya hicho mmeo anataka, atakuwa ni wale wahanga wa manyama.

Tulia tu ndoani mtaani siyo lelemama.
 
Fanya hicho mmeo anataka, atakuwa ni wale wahanga wa manyama.

Tulia tu ndoani mtaani siyo lelemama.
Hakumaanisha ninenepe...ilikua Ni moja tu ya kejeli zake... Angekua mhanga wa stake asingenipenda sababu nlikua hivi since then...
 
Jamani I can't tag everyone..lakin thanks... honestly Niko vibaya.. vibaya Sana..nshalia mpaka machoz yameisha sasa nacheka Kama mjinga[emoji85]. Maswali Ni mengi..

jamani Mimi Ni msafi sijisifii... kitandan namkimbiza mbali kabisa [emoji85] pesa Sina yes nliacha kazi sababu alinipa option ya yeye au kazi na Mimi nikasema nakutaka wewe baba Sweetie....

Ni msomi[emoji41]Nina jiwe langu moja japo halinsaidii lakin poa tuu...

Sina mdomo..napenda love everywhere Everytime....Yan mahaba kwny kila hatua, asubuhi mpaka tulale Ila ndo ye hawez anaona disturbance...

Yawezekana kweli Kuna mahala nilimkosea..Ila nyie..I remember one night na sitokaa niisahau..nlimuomba Sana aniambie Nini nifanye ili tuwe sawa. The more namuomba ndio the more ananidharau.. Yan alinishusha mpaka level ya mwisho ya ubinadamu...akanitukaaana na kunisimanga .

But it's okay... Kuna aliesema why naeleza mambo ya ndoa [emoji4][emoji4]sharing with you doesn't make me lose a thing...Wala hatujuani... Huwez jua comments zitaeza save one lost soul.....nyie nampenda baba sweetie [emoji23]
Faithfully...
Mama sweetie..
Nawapenda
Nimehuzunika mpendwa 😭
 
Pole sana kwa changamoto, ndoa si lelemama, vp kuna changes yoyote mpk sasa? Najua wakulungwa walikupa kinagaubaga kuhusu changamoto yako kama unaweza ongea utupe update
 
Huwa inaboa sana una kuwa na mwanamke ambaye haridhiki yani Kila kitu anataka kasoro roho tu.
 
Back
Top Bottom