Nahisi nimekuwa mlevi wa Coffee, natamani kuacha

Huwa ana short temper, basi huwa mimi na Manyanza tunamchokoza akipandisha mori tunacheeka😂😂😂😂

Hivi Satoh Hirosh ni njere?moran
Hivi Manyanza ni mkaazi wa Dar? Najua wewe upo chuga.

Siku Mnione mpate kahawa kidogo wakuu. Kahawa ni Bora kwa afya. Bodi ya kahawa (TCB) soon itaanza kampeni ya kuhimiza unywaji wa kahawa hapa Dar es salaam,watakuwa na migahawa inayotembea ya kahawa.
 
Mm isio nasukari ndio napenda zaidi. ..naweza kunywa na kitu chochote. .kwangu max ni 2 cups na maji mengi yakunywa. .kunywa maji mengi nikm una dilute ilekahawa
Unafanya vema.

Kahawa inapaswa kunywewa pasi na sukari ili kupata ile taste halisi.
 
Haina madhara. Japo inashauriwa kubadilibadili viungo usile aina moja ya viungo kila siku. Kubadili ni muhimu. Lakini usitumie tu viungo vyenye nyongeza.
Huwa nakunywa asubuhi ila siku za kazi Huwa sinywi kilasiku mara moja moja ila jioni Huwa nakunywa ila shida ndo iyo kujaza tangawiz na black pepper
 
Unafanya vema.

Kahawa inapaswa kunywewa pasi na sukari ili kupata ile taste halisi.
Hivi inasaidia nn kitaalamu
Pwani niliuliza kwann Wazee wanakunywasana kahawa nikaambiwa wanatak wasilale waikeshee 😂😂
Ila kunakipind nilitak kupunguza uzito nikawa natumia nachanganya na limao na tangawiz aisee nilipungua balaa ila sijui inasaidia nn hasa mwilini
 
Alooooo…….Ninashukuru Kwa elimu nzuri uliyoitoa.

Ubarikiwe sana mkuu🤛🤛🤛
 
Mimi nalima kahawa usinizoee kijana wa kimaasai😆
Mimi ndiyo mteja wako Sasa pale mnadani Kama wewe ni mkulima. Nanunua na kuuza duniani. Nina wateja Russia,America,Canada, UK,Japan,south Korea,south Africa,German,na sehemu zingine.

Nina mashine za kuprocess Kama xeltron color sorter 9100-LEDS RTK na 12000 LEDS CTK,Pia nina coffee gravity table,destoner na heavy plant bulkin machine.
 
Alafu sijawahi kuiona kahawa yenyew pure Yani mbegu zake zenyew live sijawah ziona Wala kuzigusa naziona kwenye makopo n tv😂😂😂@sato Hirosh
 
Nifuate pm nikuambie inasaidia Nini mkuu.

Glenn nitakuwa bize kidogo kutoa somo la kahawa 😅😅😅..Uachage wivu Sasa na wewe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…