Sasa ni kikombe kimoja kila siku π₯²π₯² mimi nakunywa zaidi ya vikombe vinne na ni lazima iwe very strong π₯Ήπ₯Ήmkuu hutaki kuishi miaka mingi embu pitia hapa hivi. ..
BBC walishawai kuandika makala moja hivi kuwa wanywa kahawa huishi miaka mingi link hii hapa
Watu wanaokunywa kahawa wanaishi miaka mingi: Utafiti - BBC News Swahili
Utafiti huo uliochapishwa kwenye jarida na Annals of Internal Medicine, unasema kuwa unywaji wa kahawa unaweza kuongeza maisha ya mtu.www.bbc.com
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Watu wanaokunywaga coffee wanajionaga wako tofauti kinoma. Uwakute pale Mlimani City Grano Coffee yaani wanajionaga wametusua.
Ninaendelea kujaribu lakini ninashindwa.pia makala hii....
Haya ni maajabu 6 ya kahawa yanayowaduwaza wengi duniani - BBC News Swahili
Kwa mujibu wa Shirika la Kimataifa la Kahawa (ICO), hadi kufikia 2020/21, matumizi ya kahawa duniani yanakadiriwa kuwa zaidi ya mifuko milioni 167 ya kilo 60. Inatumika mara tatu zaidi ya chai, lakini unafahamu maajabu yake 6?www.bbc.com
nimalize kwa kusemaa jaribu kutafuta replacement ya kahawaa.. yan upunguze kunywa kahawa uanze kula chocolate... kupunguza addiction
jikongoje tu uache mama
Sina hakika na nguvu ila wanasema ni tiba na nzuri kiafyaThank you my love nitajaribu kunywa mara nyingi.
Inaongeza nguvu mwilini?
Kuna comments nimezipitia hapa nitazifamyia kazi.jitahidi uache kabla mambo hayajaanza kuwa mengi japo si rahisi kama umezoea.
binafsi nataka niache kula vyakula vyenye mafuta kabisa na nipunguze kula wanga
na madhara yake kiafya ni yapi?
Kwa ninavyojua having madharaβ¦.black pepper ni nzuri sana mwiliniMimi nilikuwa natengeneza viungo vya chai mwenyew Huwa naweka tangawiz na pilipil manga kidogo sahiz naona hali mbaya natumia pilipili manga nyingi na tangawiz kwenye chai Yani chai had iniwashe hasa ndo najielewa
Hiv Haina madhara kiafya?
nataka niache kabisa utaratibu wa mafuta nile mchemsho pure.Kuna comments nimezipitia hapa nitazifamyia kazi.
Unakula vyakula vyenye mafuta mengi au kidogo?
jitahidi ndugu yangu ingawa si kazi rahisi
Nakunywa zaidi ya mara nne Kwa siku.Unakunywa kiasi gani kwa siku au mara ngapi? Bila shaka wewe siyo mnywaji sugu kama unavyodhani. Kuna nchi inaitwa Finland nenda uone jinsi watu wanavyokunywa kahawa! Kuanzia asubuhi mpaka jioni kila siku. Tena siyo instant coffee bali ile iliyokaangwa na kusagwa. Na ni moja ya nchi zenye watu wanaoishi maisha marefu. Kwa ujumla ni kuwa kahawa haina madhara. Labda kama unachanganya na sukari nyingi! Jaribu kunywa kavukavu na utakuja kuona kahawa bila sukari ni nzuri kuliko yenye sukari.
shukrani mkuu
KabisaaSijawahi kusikia kuwa vina madhara, tangawizi au pilipili manga. Zaidi nimesikia wanasema ni vizuri kwa afya. Ni Bongo tu pilipili manga haitumiki kwa wingi lakini nchi za Asia na hata Ulaya, pilipili manga inatumika sana kwenye kupikia na ku-marinate nyama.
Tupe Elimu mkuuAngalia mazingira ya Finland then uje ufute ulichoandika
Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app