Nahisi nina bahati mbaya, au siyo fungu langu?

Asante ila mi nimuoga jaman..na vilecjui uongo walah
Hujui uongo wakati umewapanga? Hii dunia haiachi kushangaza, yaani wapo zaidi ya mmoja halafu unasema wewe ni muoga na hujui kusema uongo...wtf hakyanani!
 
Jibebe is the name. Maam utakuwa una attitudes sana sema mtamu. Hivyo hapendeki lakini hauachiki (nyege zikija)

Usikute huyo Bwana wa kuzugia na wewe anakuchukulia wa kuzugia
Sasa nifanyaje? Inawezekana maana naambiwaga mtam
 
Tafuta bwana mwingine wa tatu wa KUZUGIA lakini hakikisha ana pesa pia hana mkono wa BIRIKA. 😜

 
Hujui uongo wakati umewapanga? Hii dunia haiachi kushangaza, yaani wapo zaidi ya mmoja halafu unasema wewe ni muoga na hujui kusema uongo...wtf hakyanani!
Unanifanya najisikia vibaya ujue
 
Wakuniheshimisha nijione na mwanaume na yeye ajione ana mwanamke
Vp una jiheshimu? au ndio wale wanataka watu wa MAANA wakati wao wapo hovyo. Hiyo story ina onyesha jinsi unavyojua kuwapanga.
 
Aliyeninga gar ndiye ana mwanamke kazaa naye na bado wanamahusiano ila wanashindwana din huyu nayempenda hana mke
Sasa kama ana mke tambua yupo na mkewe karibu hivyo kupetpetiwa usitegemee kwa saana tafuta wa kwako acha tamaa
 
Mbona hujibu hoja zakuwa ww ni shoga?
 
Vp una jiheshimu? au ndio wale wanataka watu wa MAANA wakati wao wapo hovyo. Hiyo story ina onyesha jinsi unavyojua kuwapanga.
Najiheshim na ndo maana bila shaka wakanitongoza
 
Men dont pay for cheap woman.

Bana mapaja sura ya kimalaya ikutoke utapata wanaume wanaoleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…