Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Eti nini wewe 12 na 9 na 11 unataka kuabza kutubakia watotodah inauma cha ajabu nikashangaa gafla nyota ya kifungo cha maisha inaniandama gafla kuanzia mwaka 2021 yani vinamiminika vitoto vidogo kinakuja et ndo vinanipenda kingne kikamwambia mpaka mama yake et anishawishi nikioe kitoto kile 12 yrs dah mara kikatokea kingne cha 9 yrs mara tena cha 11 jamani nahc hapa kuna mchezo mchafu unaendelea ulimwengu wa roho mkuu
Kwanza wewe ni kijana mdogo sana.Habari wana JF
Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.
Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.
Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
Du!Punguza vigezo hao unaowaona kama ndo level zako kiuhalisia sio level zako
Punguza nyeto kenge wwπ
Jichanganye na watu acha kujifungia magetoni mwanaizaya mkubwa ww
Shiriki mijumuiko ya kijamiii ibada, michezo, usafi na vijiweni usikae kizembe bwege wewe
Kula manzi ya kawaida wakati unasaka huyo uliyejiumbia kichwani
Mbn umeguna
π atag location apewe pisimpasie mwana aishi, anaonekana ndezi tu π
Kwahiyo ni kenge+mwanaizaya+bwegeMbn umeguna
Unaenda wap tena?[emoji2218]
kutafta njia ya pm siioniUnaenda wap tena?
Miaka 24 unalalamika hivi kuhusu mahusiano?maybe am old fashioned.Habari wana JF
Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.
Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.
Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
Angalia usipotee, niko nakusubiri mlangoni kwa bashasha.kutafta njia ya pm siioni
nnishajipata tangu mwaka juzi mkuu imebidi nikanunua pikpik(sports bike) ya 7milion ndo najirusha nayo mda wote ikiniliwazaMiaka 24 unalalamika hivi kuhusu mahusiano?maybe am old fashioned.
Dogo relax huu muda unaohangaika kuwaza mapenzi jitafute katika kujitafuta utakutana na mtu wako tu ukijipata utazila hizo mbunye hadi uchoke.Relax