makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Nicheki PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Mideko mi ni ka kijana kadogo ka alfu mbili Nina miaka 25 naomba tuungane Kwa pamoja tudekezane.
Wahi milembeNina miaka 38...Niko single(nimeachana na mke wangu)....sivuti sigara na wala sinywi pombe...sijaajiliwa nimejiajili kwhy hela ya kula vizuri na matumizi madogo mdogo hainipigi chenga kwa kifupi sina njaa...uhakika wa mbunye upo yani simu moja tu naletewa mbunye mpka mlangoni kwa kifupi japo niko single ila uhakika wa mbunye si haba nnao mda wowote nikiwa na upwiru
Ila shida yangu kubwa pamoja na mahitaji yote ya muhimu ambao naweza kuyapata lakini najiona kabisa mda mwingi sina furaha.kama siku sina kazi ya kufanya basi nisipokaa kwenye tv au nisiposhika simu yangu hiyo siku itakua ya huzuni sana kwangu
Kwa siku naweza kutumia zaidi ya 10,000 peke yake kwa ajili ya bundle tu ili nijaribu kuitafuta furaha mtandaoni ila bundle likikata narudi kwenye huzuni...nimekua addicted na simu pamoja naTV yangu kwasababu ya kukosa furaha mpka nafikia hatua usiku nalala sa8 mapak sa10 na nnachokifanya cha maana sikioni...inafikia hatua asubuhi naweza kupanga nitatoka sa1 ila nikishika tu simu najikuta imefika sa4 bado sijatoka
Kuna mda niliamini labda furaha ya kweli pekee ipo ndani ya yesu kristu kwhy niliamua mda mwigi niutumie kumtafuta mungu kwhy nilifuta kila kitu kwny simu yangu kuanzia insta.x.tiktok na social media zote mpka jamiiiforums niliifuta lakini changamoto ikaja hata kusoma mistari miwili tu ya biblia kichwa kilikua hakitaki ni huzuni tu
Kwani watanzania wenzangu mnafanyaje kupata furaha kwenye haya maisha mbona mm mda wote nakua na huzuni au mm nina tatizo la afya ya akili au nimelogwa au mtu akiwa single kwa mda mrefu ndo anakua na hali hii ili kama ndo sababu niende kumpgia goti mke wangu arudi... naomba wataalumu wa afya ya akili mnisaidie ili niweze kuondokana na hii hali najiona naelekea kudata
Hatuwaoi mtazeekea kwa baba zenumwanaume wa umri wako anajitaji mke na familia kwa ujumla. Utahangaika sana lakini mke ndo suluhisho la matatizo yako.
Mtaiponda hii comment lkn ukweli ndo huo.
Na hivi ndivyo kataa ndoa watakavyoishi maisha yao huko mbeleni...
HeheheNjoo nikupe heka mbili uwe unafyeka mkuu
HeheheHatuwaoi mtazeekea kwa baba zenu
Nina miaka 38...Niko single(nimeachana na mke wangu)....sivuti sigara na wala sinywi pombe...sijaajiliwa nimejiajili kwhy hela ya kula vizuri na matumizi madogo mdogo hainipigi chenga kwa kifupi sina njaa...uhakika wa mbunye upo yani simu moja tu naletewa mbunye mpka mlangoni kwa kifupi japo niko single ila uhakika wa mbunye si haba nnao mda wowote nikiwa na upwiru
Ila shida yangu kubwa pamoja na mahitaji yote ya muhimu ambao naweza kuyapata lakini najiona kabisa mda mwingi sina furaha.kama siku sina kazi ya kufanya basi nisipokaa kwenye tv au nisiposhika simu yangu hiyo siku itakua ya huzuni sana kwangu
Kwa siku naweza kutumia zaidi ya 10,000 peke yake kwa ajili ya bundle tu ili nijaribu kuitafuta furaha mtandaoni ila bundle likikata narudi kwenye huzuni...nimekua addicted na simu pamoja naTV yangu kwasababu ya kukosa furaha mpka nafikia hatua usiku nalala sa8 mapak sa10 na nnachokifanya cha maana sikioni...inafikia hatua asubuhi naweza kupanga nitatoka sa1 ila nikishika tu simu najikuta imefika sa4 bado sijatoka
Kuna mda niliamini labda furaha ya kweli pekee ipo ndani ya yesu kristu kwhy niliamua mda mwigi niutumie kumtafuta mungu kwhy nilifuta kila kitu kwny simu yangu kuanzia insta.x.tiktok na social media zote mpka jamiiiforums niliifuta lakini changamoto ikaja hata kusoma mistari miwili tu ya biblia kichwa kilikua hakitaki ni huzuni tu
Kwani watanzania wenzangu mnafanyaje kupata furaha kwenye haya maisha mbona mm mda wote nakua na huzuni au mm nina tatizo la afya ya akili au nimelogwa au mtu akiwa single kwa mda mrefu ndo anakua na hali hii ili kama ndo sababu niende kumpgia goti mke wangu arudi... naomba wataalumu wa afya ya akili mnisaidie ili niweze kuondokana na hii hali najiona naelekea kudata
Hali yakukosa furaha mara nyingi kunasababu nyuma yake ambayo wewe unajaribu kuipotezea na hali inaendelea bila kutatua hilo tatizo. Kaa chini tafakari utagundua Kuna kitu fulani Kila kikujia kinakuletea hali hiyo.Nina miaka 38...Niko single(nimeachana na mke wangu)....sivuti sigara na wala sinywi pombe...sijaajiliwa nimejiajili kwhy hela ya kula vizuri na matumizi madogo mdogo hainipigi chenga kwa kifupi sina njaa...uhakika wa mbunye upo yani simu moja tu naletewa mbunye mpka mlangoni kwa kifupi japo niko single ila uhakika wa mbunye si haba nnao mda wowote nikiwa na upwiru
Ila shida yangu kubwa pamoja na mahitaji yote ya muhimu ambao naweza kuyapata lakini najiona kabisa mda mwingi sina furaha.kama siku sina kazi ya kufanya basi nisipokaa kwenye tv au nisiposhika simu yangu hiyo siku itakua ya huzuni sana kwangu
Kwa siku naweza kutumia zaidi ya 10,000 peke yake kwa ajili ya bundle tu ili nijaribu kuitafuta furaha mtandaoni ila bundle likikata narudi kwenye huzuni...nimekua addicted na simu pamoja naTV yangu kwasababu ya kukosa furaha mpka nafikia hatua usiku nalala sa8 mapak sa10 na nnachokifanya cha maana sikioni...inafikia hatua asubuhi naweza kupanga nitatoka sa1 ila nikishika tu simu najikuta imefika sa4 bado sijatoka
Kuna mda niliamini labda furaha ya kweli pekee ipo ndani ya yesu kristu kwhy niliamua mda mwigi niutumie kumtafuta mungu kwhy nilifuta kila kitu kwny simu yangu kuanzia insta.x.tiktok na social media zote mpka jamiiiforums niliifuta lakini changamoto ikaja hata kusoma mistari miwili tu ya biblia kichwa kilikua hakitaki ni huzuni tu
Kwani watanzania wenzangu mnafanyaje kupata furaha kwenye haya maisha mbona mm mda wote nakua na huzuni au mm nina tatizo la afya ya akili au nimelogwa au mtu akiwa single kwa mda mrefu ndo anakua na hali hii ili kama ndo sababu niende kumpgia goti mke wangu arudi... naomba wataalumu wa afya ya akili mnisaidie ili niweze kuondokana na hii hali najiona naelekea kudata
Msiwatishe kataa ndoa tafadhali 😂mwanaume wa umri wako anajitaji mke na familia kwa ujumla. Utahangaika sana lakini mke ndo suluhisho la matatizo yako.
Mtaiponda hii comment lkn ukweli ndo huo.
Na hivi ndivyo kataa ndoa watakavyoishi maisha yao huko mbeleni...
Kataa ndoa watakuja na mistari ya kupinga ila huu ndio ukweli. Ndoa ina challenges sana ila kuna kitu special inakupa.mwanaume wa umri wako anajitaji mke na familia kwa ujumla. Utahangaika sana lakini mke ndo suluhisho la matatizo yako.
Mtaiponda hii comment lkn ukweli ndo huo.
Na hivi ndivyo kataa ndoa watakavyoishi maisha yao huko mbeleni...
Umesha-move on kwenye breakup yako na wife?Hujajiwekea tu utaratibu mzuri wa maisha.
NA inawezekana hujapona trauma ya breakup vinginevyo ni maisha mazuri sana ya kuwa alone. Jifunze tu utapata suluhisho zuri.
Mimi binafsi naamka saa 11 asubuh.
Muda wangu wa kushika simu kuingia mitandaoni ni saa 10.30 am mpaka saa 11.30am.
Zaid ya hapo ni simu za kazi.
Saa 4.00pm mpaka 6pm ni gym. Nakula nondo zangu heavy weight nikirud home nkme choka sana ni kula na kulala mapemaa sana.
Huyo mke wako siyo anakufuatilia kwl? Km mlishindwana kumrudia ni kutafuta kifo cha haraka. Tafuta mwanamke mwingine oa acha ulofa be a real man. Wazee wetu walioa wanawake zaidi ya 4 acha ugoigoi au hujui maana ya mwanaume. Weka jike ndani lizalishe tena harakaharaka watoto ndio watakuwa furaha yako. Miaka 38 huna watoto wa kucheza nao are you serious? Be strong you are a man dunia inakutegemea. Km kulogwa tafuta wataalam acha ulofa nakuambia tena.Nina miaka 38...Niko single(nimeachana na mke wangu)....sivuti sigara na wala sinywi pombe...sijaajiliwa nimejiajili kwhy hela ya kula vizuri na matumizi madogo mdogo hainipigi chenga kwa kifupi sina njaa...uhakika wa mbunye upo yani simu moja tu naletewa mbunye mpka mlangoni kwa kifupi japo niko single ila uhakika wa mbunye si haba nnao mda wowote nikiwa na upwiru
Ila shida yangu kubwa pamoja na mahitaji yote ya muhimu ambao naweza kuyapata lakini najiona kabisa mda mwingi sina furaha.kama siku sina kazi ya kufanya basi nisipokaa kwenye tv au nisiposhika simu yangu hiyo siku itakua ya huzuni sana kwangu
Kwa siku naweza kutumia zaidi ya 10,000 peke yake kwa ajili ya bundle tu ili nijaribu kuitafuta furaha mtandaoni ila bundle likikata narudi kwenye huzuni...nimekua addicted na simu pamoja naTV yangu kwasababu ya kukosa furaha mpka nafikia hatua usiku nalala sa8 mapak sa10 na nnachokifanya cha maana sikioni...inafikia hatua asubuhi naweza kupanga nitatoka sa1 ila nikishika tu simu najikuta imefika sa4 bado sijatoka
Kuna mda niliamini labda furaha ya kweli pekee ipo ndani ya yesu kristu kwhy niliamua mda mwigi niutumie kumtafuta mungu kwhy nilifuta kila kitu kwny simu yangu kuanzia insta.x.tiktok na social media zote mpka jamiiiforums niliifuta lakini changamoto ikaja hata kusoma mistari miwili tu ya biblia kichwa kilikua hakitaki ni huzuni tu
Kwani watanzania wenzangu mnafanyaje kupata furaha kwenye haya maisha mbona mm mda wote nakua na huzuni au mm nina tatizo la afya ya akili au nimelogwa au mtu akiwa single kwa mda mrefu ndo anakua na hali hii ili kama ndo sababu niende kumpgia goti mke wangu arudi... naomba wataalumu wa afya ya akili mnisaidie ili niweze kuondokana na hii hali najiona naelekea kudata
japo sio completelly lakin hatua niliopo inaridhishaa kwakwel namshukuru MunguUmesha-move on kwenye breakup yako na wife?
Daah!! Kama bado hajamalizana na hilo suala ni ngumu kutulia kwasasa lakin akipata waru watamsaidia.Huyu buenda ana tatizo la kiakili, hajamalizana na talaka, akili haijatulia.