X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
-
- #301
mimi ni muislam ila .. sina. ubaguzi wa dini...!Natamani uje PM ila niko na matatizo zaidi yako. Nakosa pia cha kucomment hapa .... naomba tuu nijue dini yako ninalo neno moja tuu litakalo kuondoa kwenye shida hii... nitarudi baadae!
hamna... hata ikitokea hivyo haiwezi kunifanya niwaze hivi🌹🤣🤣🤣Kuwa muwaz bro km tunda 🍏 lako Kuna mtu kapita nalo nduki
🤣🤣🤣🤣🤣Nenda Prince. Nenda mwanamfalme. Nasi safari yetu moja. Bila shaka hujamuachia mkeo mzigo mzito wa malezi. Angalau umeweka akiba ya ada ya miaka miwili mbele kwa kila mtoto. Nenda kaka. Nenda kiume
Shukuru ushauri na badrika ukiweza achana ns mitandao ya kijamii kwa muda.asante sana 🙏 kwa ushauri wako
thanks 🙏 i willIf you truely love your kids, then be strong!
Nitarudi baadaemimi ni muislam ila .. sina. ubaguzi wa dini...!
Unaweza kusoma Surah ad duha kwa utulivu na hisia? Soma kwa kuirudia rudia na kuielewa kisha unipe mrejeshomimi ni muislam ila .. sina. ubaguzi wa dini...!
gratitude inafanywaje hiyo mkuu...!Pole Sana .
Unabidi kufahamu tatizo lako limekaa katika AKILI
Ukiruhusu vitu ambavyo binadamu kavitengeneza viwe vikubwa kukuzidi wewe utaumia Sana
Umekosa balance katika maisha yako (stability)
Ukibadilisha Mindset utaanza kuona matokeo
Umeruhusu negative Energy kubwa Sana katika MAISHA yako.
Njia bora na nzuri ya kutoka ulipo ni kufanya maamuzi ya makusudi kupata therapy ya AKILI ili ukae sawa.
HAPA duniani kila MTU anakufa lakini sio kila MTU huwa anaishi.
Unaona upo karibu Sana na kifo kwasababu hauishi bado Ila unasukuma siku.
Ukiweza angalia haya mambo.
@ Mazingira yako unapendelea kukaa yawe mazuri and supportive
@ Watu unaombatana nao wawe positive
Unaweza usiamini ktk uwepo wa MUNGU Ila ktk maisha yetu huwa kuna supernatural power inayoongoza maisha YETU. Keep this on your mind.
Unapohisi hisia za huzuni tumia njia ya kufanya Gratitude , Gratitude huwa inaondoa mabaya yote na kukurudisha katika utulivu .
Pia waweza trace mzunguko wa maisha yako ktk haya mambo.
1 financial issues
2 Emotion and mind
3 Health
4 Family
5 spiritually
ntaendelea......
gratitude inafanywaje hiyo mkuu...!
upo shangazi yao... utanisaidia... 🙏🙏🙏 kwakweli nimepata ushauri ambao umenijenga ki fikra... naishukuru sana JAMIIFORUMSHaya hao watoto umwachie nani?
Kijana unawaza kufa badala uwaze maendeleo.
Usituangushe bana.
kwa bahati mbaya sijaisoma Dini kabisa😭😭😭Unaweza kusoma Surah ad duha kwa utulivu na hisia? Soma kwa kuirudia rudia na kuielewa kisha unipe mrejesho
nipe hiyo connection mkuu pengine nikibadili mazingira hali inaweza kuwa shwali...!Kaz za ulinz zina mishahra midogo sana ila Kuna sehem ukipata unakunja mpaka 600k monthly. Hapo focus kujenga kwanza kile kiwanja usiuze. Jenga hamishia familia pale..
Muwekee frem mkeo akae.. uhakikishe anawez kupata walau faida ya elf 5 kwa siku yeye binafsi. Alafu wewe ingia shamba kakomae na pori. Mana huko unaenda kujitoa kafara... Hali ya maisha kwa vijana tunafanana sana hasa tuliotoka kwenye umaskini mkubwa. Hasa mikoa ya kusini huku
So, hauko mwenyewe mkuu. Kuna mda nilikuwa nakunywa sana smart gin na kimbunga. Maisha yalikuwa magum Sanaa. Imagine nimekaa LINDO Zima digrii holder mm tu. Uzuri wa Zanzibar Kuna utalii, so fahari yangu ilikuwa kuongea nao kiingereza tu
gratitude inafanywaje hiyo mkuu...!
yap... kama huto jali naomba unitumie hiyo soft copy.... hata kwa WhatsApp zero759moja70794Gratitude maana yake ni shukrani.
Unaweza kuanza kwa kuandika katika daftari au dairy
Mambo uliyoyapitia yote mazuri then kabla ya kulala unashukuru
Na ukimaliza kushukuru anza kushukuru matatizo yako na mapito.
Nikuambie kupitia kushukuru utaona mwanga mkubwa Katika maisha hasa, kazi, Afya, pesa n.k
Usilalamike wewe shukuru.
Ila Kama kiingereza unaelewa unaweza soma hicho Kitabu kipo softy copy I can share with you
Tafuta mtu akufundishe hii Aya tuu kaka ngoja nikupe sababu.kwa bahati mbaya sijaisoma Dini kabisa😭😭😭
Naijua hiyo.Mimi ni kijana ambae nina mshukuru sana Mungu tokea nimezaliwa hadi hapa nilipofikia, watu wamenisaidia na bado wana nisaidia.
Kuna Muda huwa nina kufuru au kukana kutkukubaliana na uwepo wa Mungu😭 hii ni kutokana na asilimia kubwa ya matarajio yangu tokea nikiwa mdogo hayakuwahi kutimia.
Maisha yangu yamekuwa ya mitihani sana, kila nilichojaribu kuanzisha hakikuwahi kufika mwisho 😭😭😭 kwakweli nimeishi nikiwa na huzuni na furaha chache, mpaka hapa nilipofikia nina watoto wa 3 ambao ninawapenda mno.
Vipo vitu vichache ambavyo vinanitokea hivi sasa vinapelekea mimi kuhisi pengine siku zangu hapa Duniani zina karibia kuisha.
Hivi karibuni kichwa changu kimekuwa kizito mno kutoa maamuzi na ni kama kichwa kinanielemea, kimekuwa na maumivu fulani mithili ya kichwa kilicho toka kuuma!
Kwa taaluma mimi ni Mwandishi wa Habari ambaye napenda sana kusoma vitabu na asilimia kubwa ya vitu vingi nimejifunza kutokana na kusoma vitabu, lakini hivi karibuni nimepatwa na hali ya kutokuelewa kila ninacho kisoma.
Vitabu vyote ambavyo nilikuwa navipenda nikivisoma nahisi vinanichanganya, hata baadhi ya mada nilizokuwa nazipenda hapa JAMIIFORUMS nazo pia nimekuwa sizielewi.🥲
Nimepatwa na hofu hata nikikaa karibu na watu ninaowapenda sifurahii uwepo wao, nahisi kujitenga tu nikae peke yangu tu muda wote.
miaka ya nyuma nilikuwa na ndoto pengine za kuwa fulani nikawa naziishi ndoto hizo kwa kuzipambania kwa vitendo lakini siku bahatika kuishi maisha ya ndoto zangu.
siku hizi ni kama siioni future yangu kabisa... muda mwingine mpaka najiona kabisa kama napoteza tuu muda 😭😭😭😭
kama ninge kuwa simu hope ingekuwa kwenye flight mode ✈️🤣🤣🤣
Ikitokea hamjaniona hewani mwezi mzima mfululizo mjue siku zangu niliziona kabisa zinahesabika hivyo malaika mtoa roho atakuwa amesha fanya yake.
Sifikirii kabisa kujiua kwa aina yoyote ile japo kwenye maisha yangu udogoni mwanangu nilishawahi mara 2 kujaribu kujiua. 😭
Mara ya kwanza nilijaribu kunywa sumu haikuniua, hapo nilikuwa na miaka 9 au 10, mwaka mmoja baadae nilijaribu kujinyonga bahati mbaya kile kitanzi pia hakikuondoka na maisha yangu.
Hivyo nichukue fursa hii kuwaaga ndugu zangu wana JAMIIFORUMS ambao tumeishi wote humu ndani kama familia. Kuna member humu nimesaidiana nao bila hata kufahamiana nao big up sana.
Kuna wengine tumekuwa ndugu na hata nje ya JAMIIFORUMS tumekuwa tukionana kwakweli sina cha kuwalipa.
worry out... nitashukuru sanaNitakuelekeza inbox mkuu, ngoja nitulie kwanza.