Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Hii ni dalili ya Msongo wa Mawazo Depression ikokomaa unakuwa ugonjwa baadaye utajikita unapata tatizo la akili.

Kwa maelezo yako nimegundua kuwa uliulisha ubongo wako over ambitions, sasa zimefail.

Cha kufanya reset ubongo, jinsi ya kureset ubongo, futa kila kitu ikijipanga kutimiza, anza upya kwa malengo madogo madogo, mfano kupata kitapato cha kula na kulipia pango au huduma za kawaida.

Achana na biashara ya kusoma vitabu, tengeneza kitabu chako kichwani kuishi hicho.

Kaa na watu wenye wa kawaida wenye mitazamo chanya kuhusu maisha.

Kaa karibu na watoto wako shea kidogo ulicho nacho hata kama ni mawazo tu.

Jaribu kuwafikiria wenye hali ngumu za maisha kama walemavu, wazee, yatima, nk ujionee wewe ulivyo mbinafsi.
 
Tafuta mtu akufundishe hii Aya tuu kaka ngoja nikupe sababu.
Aya hii inazungumzia miale au mwanga wa Asubuhi. Kama vile mwanga unavyokuja kila siku na kuondoa Giza hii ni fasiri ya uwezo mkubwa wa Alah kuweza kuondoa kila hofu katika maisha yako. Na kuwa na mwanzo mpya kila siku. Kwa hiyo ondoa hofu na ujijengee matumaini mapya kila siku
nashukuru SANA... nitaitafuta...,🙏
 
Mimi ni kijana ambae nina mshukuru sana Mungu tokea nimezaliwa hadi hapa nilipofikia, watu wamenisaidia na bado wana nisaidia.

Kuna Muda huwa nina kufuru au kukana kutkukubaliana na uwepo wa Mungu😭 hii ni kutokana na asilimia kubwa ya matarajio yangu tokea nikiwa mdogo hayakuwahi kutimia.

Maisha yangu yamekuwa ya mitihani sana, kila nilichojaribu kuanzisha hakikuwahi kufika mwisho 😭😭😭 kwakweli nimeishi nikiwa na huzuni na furaha chache, mpaka hapa nilipofikia nina watoto wa 3 ambao ninawapenda mno.

Vipo vitu vichache ambavyo vinanitokea hivi sasa vinapelekea mimi kuhisi pengine siku zangu hapa Duniani zina karibia kuisha.

Hivi karibuni kichwa changu kimekuwa kizito mno kutoa maamuzi na ni kama kichwa kinanielemea, kimekuwa na maumivu fulani mithili ya kichwa kilicho toka kuuma!

Kwa taaluma mimi ni Mwandishi wa Habari ambaye napenda sana kusoma vitabu na asilimia kubwa ya vitu vingi nimejifunza kutokana na kusoma vitabu, lakini hivi karibuni nimepatwa na hali ya kutokuelewa kila ninacho kisoma.

Vitabu vyote ambavyo nilikuwa navipenda nikivisoma nahisi vinanichanganya, hata baadhi ya mada nilizokuwa nazipenda hapa JAMIIFORUMS nazo pia nimekuwa sizielewi.🥲

Nimepatwa na hofu hata nikikaa karibu na watu ninaowapenda sifurahii uwepo wao, nahisi kujitenga tu nikae peke yangu tu muda wote.

miaka ya nyuma nilikuwa na ndoto pengine za kuwa fulani nikawa naziishi ndoto hizo kwa kuzipambania kwa vitendo lakini siku bahatika kuishi maisha ya ndoto zangu.

siku hizi ni kama siioni future yangu kabisa... muda mwingine mpaka najiona kabisa kama napoteza tuu muda 😭😭😭😭

kama ninge kuwa simu hope ingekuwa kwenye flight mode ✈️🤣🤣🤣

Ikitokea hamjaniona hewani mwezi mzima mfululizo mjue siku zangu niliziona kabisa zinahesabika hivyo malaika mtoa roho atakuwa amesha fanya yake.

Sifikirii kabisa kujiua kwa aina yoyote ile japo kwenye maisha yangu udogoni mwanangu nilishawahi mara 2 kujaribu kujiua. 😭

Mara ya kwanza nilijaribu kunywa sumu haikuniua, hapo nilikuwa na miaka 9 au 10, mwaka mmoja baadae nilijaribu kujinyonga bahati mbaya kile kitanzi pia hakikuondoka na maisha yangu.

Hivyo nichukue fursa hii kuwaaga ndugu zangu wana JAMIIFORUMS ambao tumeishi wote humu ndani kama familia. Kuna member humu nimesaidiana nao bila hata kufahamiana nao big up sana.

Kuna wengine tumekuwa ndugu na hata nje ya JAMIIFORUMS tumekuwa tukionana kwakweli sina cha kuwalipa.​
Kama umewahi kuwa chawa wa ccm, jitafakari
 
Pia wewe ni mpenzi wa vitabu.... kuna mdau humu alipitia hali zaidi yako baada ya kifo cha wazazi ni kisa cha nyuma kidogo. Anasema alisoma kitabu cha The reptile room na sasa yupo comfortably kabisa..
Huyu anasoma vitambu vya kutusua maisha hapo ndio shida inaanza, sasa kwakuwa anaanza kuingia kwenye Sonoma atengeeneze kitabu chake kichachwani akiishi.
 
Pia wewe ni mpenzi wa vitabu.... kuna mdau humu alipitia hali zaidi yako baada ya kifo cha wazazi ni kisa cha nyuma kidogo. Anasema alisoma kitabu cha The reptile room na sasa yupo comfortably kabisa..
nitakitafuta hicho... pia
 
Hii ni dalili ya Msongo wa Mawazo Depression ikokomaa unakuwa ugonjwa baadaye utajikita unapata tatizo la akili.

Kwa maelezo yako nimegundua kuwa uliulisha ubongo wako over ambitions, sasa zimefail.

Cha kufanya reset ubongo, jinsi ya kureset ubongo, futa kila kitu ikijipanga kutimiza, anza upya kwa malengo madogo madogo, mfano kupata kitapato cha kula na kulipia pango au huduma za kawaida.

Achana na biashara ya kusoma vitabu, tengeneza kitabu chako kichwani kuishi hicho.

Kaa na watu wenye wa kawaida wenye mitazamo chanya kuhusu maisha.

Kaa karibu na watoto wako shea kidogo ulicho nacho hata kama ni mawazo tu.

Jaribu kuwafikiria wenye hali ngumu za maisha kama walemavu, wazee, yatima, nk ujionee wewe ulivyo mbinafsi.
nitayaishi haya... shukrani sana ndugu yangu
 
Kwa Bongo ukimuona mtu anaongea peke yake usimcheke, ujuwe zamu yako bado.

Tatizo ni CCM tu.
kweli kabisa 😭....! watu wana hali ngumu sana... ni wachache sana tunao weza kuweka wazi matatizo yetu... most of them huwa wana kufa na mamivu yao moyoni😭😭😭
 
Kuna watu humu duniani wanapitia vipindi vigumu maishani na hawajui hatma yao, ndugu jaribu kutafuta mtaalamu wa saikolojia anaweza kukufanyia counselling inaweza kukusaidia, ikishindikana jikabidhi mikonono mwa Yesu Mfalme wa wafalme, yeye hajawahi kushindwa, atakubadilisha na kukuondoa kwenye hicho kifungo cha shetani.
shukrani sana ndugu yangu... nitaufanyia kazi ushauri wako
 
Mimi ni kijana ambae nina mshukuru sana Mungu tokea nimezaliwa hadi hapa nilipofikia, watu wamenisaidia na bado wana nisaidia.

Kuna Muda huwa nina kufuru au kukana kutkukubaliana na uwepo wa Mungu😭 hii ni kutokana na asilimia kubwa ya matarajio yangu tokea nikiwa mdogo hayakuwahi kutimia.

Maisha yangu yamekuwa ya mitihani sana, kila nilichojaribu kuanzisha hakikuwahi kufika mwisho 😭😭😭 kwakweli nimeishi nikiwa na huzuni na furaha chache, mpaka hapa nilipofikia nina watoto wa 3 ambao ninawapenda mno.

Vipo vitu vichache ambavyo vinanitokea hivi sasa vinapelekea mimi kuhisi pengine siku zangu hapa Duniani zina karibia kuisha.

Hivi karibuni kichwa changu kimekuwa kizito mno kutoa maamuzi na ni kama kichwa kinanielemea, kimekuwa na maumivu fulani mithili ya kichwa kilicho toka kuuma!

Kwa taaluma mimi ni Mwandishi wa Habari ambaye napenda sana kusoma vitabu na asilimia kubwa ya vitu vingi nimejifunza kutokana na kusoma vitabu, lakini hivi karibuni nimepatwa na hali ya kutokuelewa kila ninacho kisoma.

Vitabu vyote ambavyo nilikuwa navipenda nikivisoma nahisi vinanichanganya, hata baadhi ya mada nilizokuwa nazipenda hapa JAMIIFORUMS nazo pia nimekuwa sizielewi.🥲

Nimepatwa na hofu hata nikikaa karibu na watu ninaowapenda sifurahii uwepo wao, nahisi kujitenga tu nikae peke yangu tu muda wote.

miaka ya nyuma nilikuwa na ndoto pengine za kuwa fulani nikawa naziishi ndoto hizo kwa kuzipambania kwa vitendo lakini siku bahatika kuishi maisha ya ndoto zangu.

siku hizi ni kama siioni future yangu kabisa... muda mwingine mpaka najiona kabisa kama napoteza tuu muda 😭😭😭😭

kama ninge kuwa simu hope ingekuwa kwenye flight mode ✈️🤣🤣🤣

Ikitokea hamjaniona hewani mwezi mzima mfululizo mjue siku zangu niliziona kabisa zinahesabika hivyo malaika mtoa roho atakuwa amesha fanya yake.

Sifikirii kabisa kujiua kwa aina yoyote ile japo kwenye maisha yangu udogoni mwanangu nilishawahi mara 2 kujaribu kujiua. 😭

Mara ya kwanza nilijaribu kunywa sumu haikuniua, hapo nilikuwa na miaka 9 au 10, mwaka mmoja baadae nilijaribu kujinyonga bahati mbaya kile kitanzi pia hakikuondoka na maisha yangu.

Hivyo nichukue fursa hii kuwaaga ndugu zangu wana JAMIIFORUMS ambao tumeishi wote humu ndani kama familia. Kuna member humu nimesaidiana nao bila hata kufahamiana nao big up sana.

Kuna wengine tumekuwa ndugu na hata nje ya JAMIIFORUMS tumekuwa tukionana kwakweli sina cha kuwalipa.​
Hama Dar es Salaam.

Hamia Mwanza.
 
Unaweza uchumi ukakaa sawa vizuri tu na ukawaleta hao watoto halafu ghafla kibao kinageuka. Ulikuwa dunia gani wakati wa jiwe?
ipo hivyo mkuu... maisha huwa yana badilika sana... nahisi wenzetu hilo awalijui😭😭😭
 
Back
Top Bottom