Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Mkuu wewe ni suicidal? Hilo ni tatizo la akili labda mshauri anaweza kukusaidia.
Unajua maisha ni kupambana usi give up wala kuback up.
Haijalishi nini unapitia pambana maana aliposema tutakula kwa jasho letu, believe me... hakutania
shukrani bado sijakata TAMAA japo sijioni kuwa hapo mbele mimi nitakuwa nani...!​
 
kiuchumi siwezi kusema nina tatizo kihivyo kwani nina jishughulisha... japo sina kipato kikubwa cha kumsaidia mwingine ila nina uwezo wa kula milo mitatu...!

kwakweli sielewi kwanini nimewaza hivyo...!​
Pole sana mkuu. Nimesoma maelezo yako na nadhani wewe unasumbuliwa na depression. Depression ni ugonjwa mbaya sana na uweza kumpata mtu yeyote japokuwa wewe inaonyesha unakuonea tangu ukiwa mdogo. Hii pengine ni kutokana na familia (kurithi) kwani kuna watu wako vulnerable kwa huu ugonjwa kuliko wengine. Kuna mtu mmoja nilisikia akihojiwa kuhusu huu ugonjwa akawa anasema aliupata na muda wote alikuwa anatamani kufa wakati aliwahi kuugua sana kansa na alikuwa anatamani kuendelea kuishi. Ugonjwa wa depression hufanya mtu kukata tamaa kabisa kabisa, kutokuwa na raha na hata vile vitu ambavyo alikuwa vinampa burudani anakuwa havipendi. Ushauri wangu kwako ni uende hospital inayoaminika uonane na dr bingwa umwelezee shida yako. Kuna dawa na therapies za kuweza kukuondoa kwenye hiyo hali na baadae ukawa na furaha kama zamani.
 
nifanye nini...?
 
ni kweli ila ina bidi tuzoee tuu kwani mwisho wa siku kila nafsi lazima ionje Umauti 😭😭😭
Uamini Mungu, usiamini Mungu, Kifo kitatia Timu tu,hata hii misemo ya sijui "Nafsi itaonja Umauti" ni misemo ya kujipa Moyo tu kifo kinakuja tu.
 
i know that i must, I can and I will but how....?
 
ndio wanadai healings is a process... hope nipo kwenye heal zone 😭😭😭
 
Nafikiri ni vizuri kufanya jata hiyo jogging kila siku, pia waone wataalam wa afya, ila hii dunia hakuna kukata tamaa, mapambano yaendelee tu! Pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…