raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Kwann tenaMie muislam huwa situmii iyo kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann tenaMie muislam huwa situmii iyo kitu
Bare in mind,Home Kwa wazazi ni Sumbawanga nilienda hadi Kwa mganga huko Namanyere ila niache pombe nikachanjwakabisa ila naona kama nazidisha
😊😊😊☺️☺️🍷🍷🍷🍹🍹🍹Unatakiwa upige kwanza kongoro la nguruwe kabla au baada ya kunywa hiyo kitu
🍺😁😊😊😊☺️☺️🍷🍷🍷🍹🍹🍹
Ukiwa mwanaume lazima ipige kitu☺️☺️😊😊☺️
Hilo nalijuwa na nimejishauri mara nyingi ila namfahamu na nyie wadau mkinishauri itanisaidia kidogoBare in mind,
Too much of anything is harmful
Jitahid uache au upunguze nacho ona umeelewa Tatizo lako ni rahisi kupata ufumbuzi..
Haya ndiyo matatizo ya kunywa konyagi....halafu dinner unakutana na mihogo... Ndiyo yanapelekea hiyo kituTangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma, walevi wenzangu nisaidieni!
Yap bila kusahau maji mengiUkiwa mwanaume lazima ipige kitu☺️☺️😊😊☺️
Pombe si nunuliwi mzee natumia pesa yangu mwenyewe tena hadi offer natoaFigo bye bye.
1... Achana kabisa na pombe kali.
2...KUNYWA MAJI SANA NA KULA CHAKULA CHA KUSHIBA (ugali mgumu na nyama yoyote)
3... Pombe za kununuliwa (bure) ni mbay. Achana nazo.
Toa ufafanuzi unapo sema Figo bye bye unamaanisha nini.....Figo bye bye.
1... Achana kabisa na pombe kali.
2...KUNYWA MAJI SANA NA KULA CHAKULA CHA KUSHIBA (ugali mgumu na nyama yoyote)
3... Pombe za kununuliwa (bure) ni mbay. Achana nazo.
Hili la maji mengi alizingatie sanaaaYap bila kusahau maji mengi
Mkuu unaweza kutupa maana ya mlevi..Walevi bana
Pombe inakukataa achana nayoTangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma, walevi wenzangu nisaidieni!
Pombe nakunywaMkuu unaweza kutupa maana ya mlevi..
Wengine wanaokunywa ni Kwa ajili ya relaxation so hawanywi kulewa Wala hawasumbui mtu wanajali familia na kazi na wanajitambua...
NB
"KAMA HUJAWAI KUTUMIA KILEVI CHOCHOTE BANGI,SIGARA,UGOLO,MBEGE,POMBE, POMBE KALI HAUJAWAI KUISHI"
Kwahyo waislamu mnaruhusiwa kunywa pombe na kulewa?Mie muislam huwa situmii iyo kitu