Nahitaji dawa ya kupunguza nguvu za kiume

Nahitaji dawa ya kupunguza nguvu za kiume

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Natafuta dawa ya kupunguza nguvu za kiume, ni hali ambayo inanisababishia changamoto kadhaa katika mahusiano yangu yote.

Naweza kupiga pump non-stop mpaka masaa manne mfululizo na mashine bado inakua na hasira kama nyati aliejeluiwa ila sasa mwenzangu anakua tayari ashachoka sana sometimes anafikia hatua ya kupata kiwewe na kuvaa chupi kichwani badala ya kiunoni.

Muda mwingine nafikiri kufanya threesome yaani mbususu zinapokezana kupelekewa moto kama substitution kwenye mechi ya soka ila naona hakuna mabinti wanaojiheshimu watakaokubali labda wale wanaouza mbususu kwenye kumbi za starehe kitu ambacho uchumi hauruhusu maana nasikia bei za kuondoka na wawili ni kubwa.

Nahitaji mwongozo wenu ndugu zangu., nini nifanye.
 
Futa huu uzi aisee mimi niliomba dawa nikaishia kupata ulcers yaani nguvu zimekata zote...hivi sasa hadi mwanamke ananilazmisha aiseee
 
Wakati makampuni ya CONDOM yanakaa vikao yapunguze idadi ya condoms kutoka tatu Hadi moja ktk pakiti moja maana wanaume wa siku hizi hawana uwezo wa kumaliza zote tatu,wewe unakuja na mpya unataka dawa upunguze nguvu!!! Kweli dunia haina usawa[emoji28][emoji28]
 
6768727_fbimg1519921639679_jpegb959c53e4f53adf1af6ae03c318ae746.jpg
 
Wakati makampuni ya CONDOM yanakaa vikao yapunguze idadi ya condoms kutoka tatu Hadi moja ktk pakiti moja maana wanaume wa siku hizi hawana uwezo wa kumaliza zote tatu,wewe unakuja na mpya unataka dawa upunguze nguvu!!! Kweli dunia haina usawa[emoji28][emoji28]
Haha mkuu umenichekesha kinyama kesho vipi una time na uko town ilulu mziki mnene by e fm Lazima tukashangae kdg dada zetu wa kimwera wakijaa uwanjani.nitakuwepo pembeni kdg bar flan mitaa ya magereza huku.
 
Tafuta kazi ya kufanya mkuu..kukaa iddle ni moja ya sababu ya mtu kuwa mfanya ngono mzuri..sie wengine tunalala nazo na hatuna hata time nazo kwa misongo ya mawazo inayoletwa majukum yanayotubana 24/7
Pamoja na kutafuta ajira ila pia najishughulisha na vibarua vidogo vidogo mtaani, kama una connection ya kazi yoyote halali tusaidiane mkuu
 
Hili jambo na mm linanisumbua katika muundo huu
Naunganisha round, naweza fika had tatu non stop
Uume unasimama hadi unaniletea maumivu
Show time ndio zimeshanishinda, labda usiku mzima

Msaada tafadhari[emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom