Nahitaji kujua sehemu ama taasisi zinazotoa mafunzo ya matumizi sahihi ya silaha

Nahitaji kujua sehemu ama taasisi zinazotoa mafunzo ya matumizi sahihi ya silaha

Acha ujinga wewe,
Kama haujui hiyo sehemu kaa kimya ila wanaojua wachangie ili pia wasiojua wapate kujua.

Hayo masiasa yenu yanawachanganya hadi inapelekea kila mada mnaona ni mabishano tu.
Hovyo kabisa wewe.
Kwamba wewe ndio umeumia kuliko mleta mada? Halafu siasa ndio zinazowaburuza nyinyi kwenye nchi , usijifanye haikuhusu
 
Back
Top Bottom