Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Namba yake ipo ofisi ya RC Arusha. Tembelea hapo.Naomba niunganishe nae mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba yake ipo ofisi ya RC Arusha. Tembelea hapo.Naomba niunganishe nae mkuu
Silaha unafikiri ni boda boda kwamba utaenda kijiweni uwaombe washikaji wakufundishe. Ikiwa hujui kaa kimya atashauriwa na wanaojua. Kwa ushauri mtoa mada aenda ofisi ya polisi wilaya akupatiwa utaratibu wa namna ya kupata mafunzo ya ubora wa matumizi ya silaha za moto. Na kuna malipo atalipia.Hadi leo hujui kutumia Silaha?
Itakuwa alimaanisha kutumia pangaSilaha unafikiri ni boda boda kwamba utaenda kijiweni uwaombe washikaji wakufundishe. Ikiwa hujui kaa kimya atashauriwa na wanaojua. Kwa ushauri mtoa mada aenda ofisi ya polisi wilaya akupatiwa utaratibu wa namna ya kupata mafunzo ya ubora wa matumizi ya silaha za moto. Na kuna malipo atalipia.
Wanatoa maana huwezi kupewa gun book kama huna cheti cha umahiri,na inasemekana unafanyiwa majaribio kabla yakukabidhiwaHivi watakuwa wanatoa certificate of competency kweli au wao ni kutoa tu mafunzo kisha mnaagana kienyeji na hasa kwa kuwapoza kwa kitu kidogo?
Sasa ukinunua halafu ukanyimwa kibali inakuwaje?Silaha hupewi mpaka upate kibali cha kumiliki. Ukinunua unaiacha dukani.