Nahitaji kujua sehemu ama taasisi zinazotoa mafunzo ya matumizi sahihi ya silaha

Nahitaji kujua sehemu ama taasisi zinazotoa mafunzo ya matumizi sahihi ya silaha

Sio kila mwenye kutafuta et inamaana alipoteza...
Jela sio pazuri kwa vijana
 
Akili imekaa sawa 180 degrees kabisa,nitaenda
Zingatia kituo Mombasa Usawa wa Ofisi za Nida kwa nyuma kwa hio km una gari utazunguka na barabara kwa nyuma km unaelekea Mzambarauni utaona kota za Polisi kwa Mbele utaona Jengo limeandikwa Field Force Unit umefika sogea ofisini jielezee
 
Kuna mdau alisema Jela hakuna kukojoa ukiwa umesimama, usipige makofi km huna cha kuongea, ukichota maji ya kunywa hakikisha unaweza kuyamaliza kinyume chake utakua wife wa nyapara
Story inafundisha..
Wengine stress za maisha magumu
 
Story inafundisha..
Wengine stress za maisha magumu
Usisahau alisema ni nyumbani kwa chawa na kunguni na mnalala kimbanano hakuna kukunja miguu nyooka km rula

Unasikia sikia huku wanasema chawa chawa chawa sasa chawa halisi ukitaka kuwaona wanaonekanaje nenda Jela utawaona
 
Usisahau alisema ni nyumbani kwa chawa na kunguni na mnalala kimbanano hakuna kukunja miguu nyooka km rula

Unasikia sikia huku wanasema chawa chawa chawa sasa chawa halisi ukitaka kuwaona wanaonekanaje nenda Jela utawaona
Mdogo angu anakosa hata viatu.
Godoro ni la mama na baba wengine tunalalia sakafu..

Bora niingie machakani kutafuta cha kufanya
 
Back
Top Bottom