Nahitaji kujua sehemu ama taasisi zinazotoa mafunzo ya matumizi sahihi ya silaha

Nahitaji kujua sehemu ama taasisi zinazotoa mafunzo ya matumizi sahihi ya silaha

Nimekwambia Bank hivi una akili wewe ATM ndio Bank? Nimekwambia Bank sio ATM hakuna Bank inayolindwa na mlinzi askari wa kike km yupo basi amewekwa km Observer tu tena hapewi Silaha anakua tu km wahudumu wengine wa bank sio mlinzi likipigwa bomu analala chini km wateja wengine wa Bank hatopambana
Hivi kweli wewe unaendaha hata benk
Yaani hujawahi kuona askari wa kike benk?
 
Hivi kweli wewe unaendaha hata benk
Yaani hujawahi kuona askari wa kike benk?
Sio Bank tu mpaka Yard za Magari Shell kote nimefika mpaka Ikulu hukuti askari wa kike pale kabebeshwa Silaha eti analinda jiulize kwanini?

Elewa neno askari wa kike aliebeba Silaha wewe unasema wale watoa huduma waliovaa kiaskari ambao hawana tofauti na wafanyakazi wa eneo husika na ambao hawapewi Silaha si ndio?

Niambie nenda Bank X utakuta askari Wanawake wanalinda na Silaha sasa hivi naenda
 
Siku hizi Kila kitu kipo mtandaoni.Ni wewe tu kuandika unachotaka kukijua.lakini silaha inahitaji umakini sana la sivyo ukiwa sito mvumilivu unaweza kuuza Kila siku.Nunua electric shocker led flashlight self defence torch.Hii ni nzuri kukabiliana na Hawa wahuni wanaoteka hadharani
 
W
Sio Bank tu mpaka Yard za Magari Shell kote nimefika mpaka Ikulu hukuti askari wa kike pale kabebeshwa Silaha eti analinda jiulize kwanini?

Elewa neno askari wa kike aliebeba Silaha wewe unasema wale watoa huduma waliovaa kiaskari ambao hawana tofauti na wafanyakazi wa eneo husika na ambao hawapewi Silaha si ndio?

Niambie nenda Bank X utakuta askari Wanawake wanalinda na Silaha sasa hivi naenda
We jamaa aisee
Yaani unaona kulinda benk ni kazi ngumu eti
Nenda nmb, card, NBC, utawaona wanawake wakiwa zamu na bunduki wanalinda
Wanawake wanafanya escort ya shehena ya dhahabu kutoka Geita, wanalinda benk kuu,
Ije kuwa hizi benk ndogo
 
W

We jamaa aisee
Yaani unaona kulinda benk ni kazi ngumu eti
Nenda nmb, card, NBC, utawaona wanawake wakiwa zamu na bunduki wanalinda
Wanawake wanafanya escort ya shehena ya dhahabu kutoka Geita, wanalinda benk kuu,
Ije kuwa hizi benk ndogo
Hawapo huko kote ulipotaja hawawezi kufanya hio risk ya kuweka mlinzi wa kike mwenye Silaha ni big risk hata rais wako hivi kati ya wale anaotembea nao wanaotamba na mitutu ushawahi kumuona Mwanamke hata mmoja anajitutumua na bunduki mkononi? Sijasema hawawezi but ni big risk
 
Ume
Hawapo huko kote ulipotaja hawawezi kufanya hio risk ya kuweka mlinzi wa kike mwenye Silaha ni big risk hata rais wako hivi kati ya wale anaotembea nao wanaotamba na mitutu ushawahi kumuona Mwanamke hata mmoja anajitutumua na bunduki mkononi? Sijasema hawawezi but ni big risk
Umechagua ubishi
Fanya utafiti utawaona wanawake kwenye hivyo vitengo na wanatimiza majumu kama kawaida
 
Hii ni fursa ya watu wenye mafunzo ya kujilinda kuanza kutoa hizi short course za defensive fightings and protection.

Penye shida fursa huibuka,,,,watu wachukulie hii kama fursa!
 
Ume

Umechagua ubishi
Fanya utafiti utawaona wanawake kwenye hivyo vitengo na wanatimiza majumu kama kawaida
Sijasema hawawezi ila ni big risk kua makini pot unapoenda ku-report tukio hatumwi askari Mwanamke kwenda kumkamata mtuhumiwa ushawahi kujiuliza kwanini?
 
Jkt hukwenda eenh ulikimbia, sasa jitahidi uwe bonge km Tarimo sawa ndugu.
JKT unafundishwa matumizi ya aina zote Za silaha mkuu? Maana mimi wakati nahitimu kidato cha sita kwenda JKT ilikuwa imesitishwa
 
Siku hizi Kila kitu kipo mtandaoni.Ni wewe tu kuandika unachotaka kukijua.lakini silaha inahitaji umakini sana la sivyo ukiwa sito mvumilivu unaweza kuuza Kila siku.Nunua electric shocker led flashlight self defence torch.Hii ni nzuri kukabiliana na Hawa wahuni wanaoteka hadharani
Shida yangu ni certificate of competency on firearms use, na sio kingine
 
Labda polisi pekee ndio wanaotoa mafunzo
 
Acha ujinga wewe,
Kama haujui hiyo sehemu kaa kimya ili wanaojua wachangie pia wasiojua wapate kujua.

Hayo masiasa yenu yanawachanganya hadi inapelekea kila mada mnaona ni mabishano tu.
Hovyo kabisa wewe.
Chadema inamvuruga akili. [emoji23]
 
Nenda Tanganyika Arms Limited.

Nje ya mada: Unaweza niuliza chochote kuhusu kujilinda binafsi, matumizi ya silaha flani flani na nyenzo katika kujilinda na matukio ya kimafia.
Kujihami kimapigano ni mbinu na hizo mbinu lazima ujifunze na uzijue kuzitumia, wapi na kwa namna gani, uchague kutumia mbinu gani kulingana na tukio husika unalokutana nalo.

Kwa dokezo tuu: Kanuni ya kwanza unapotaka kujihami dhidi ya hatari yeyote ni ile ya kuwa wa kwanza kushambulia. Unapohisi hatari kuwa wa kwanza kushambulia ndio kanuni ya kwanza, iwe vitani, vibaka, watekaji vyovyote iwavyo hakikisha unakuwa wa kwanza ushambulia kwa namna flani.

Mfano: Naishi kwenye mtaa korofi, wenye umafia na ubandidu uliokithiri. Nimeishi hapa kwa miaka mingi, Vibaka wote labda wageni wanajua habari zangu hapa mtaani.
Ushauri: Kama wewe ni mtu wa kawaida na hujawahi kupaka msasa "kozi" yeyote ya ukakamavu na matumizi ya silaha basi jifunze hata kutumia "Pepper Spray". It works guys
Kwa Tanzania "Pepper Spray" utaipata wapi?
Kwa bahati mbaya Sana kupita kiasi hizo "Pepper Spray" huwa zinatumiwa na hao Watekaji ambao huzunguka huko mitaani kwa ajili ya kuwawinda watu wao wanaotaka kuwateka. Pepper spray zipo mikononi mwa Watekaji Wala hazipo mikononi mwa raia wa kawaida ambao ndio walengwa wakuu dhidi ya vitendo viovu vya kutekwa.
 
Back
Top Bottom