Nahitaji kumpima DNA za Mtoto, Naomba kufahamu taratibu za upimaji

Nahitaji kumpima DNA za Mtoto, Naomba kufahamu taratibu za upimaji

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
6,958
Reaction score
16,358
INTRODUCTION
Mimi ni mwanaume
Nina miaka 33
Ni mtumishi wa Halmashauri moja wapo nchini
Nina mabinti wawili wa kwanza miaka 8 na wapili miaka mi3.

SCENARIO
Binti wa kwanza. Huyu ni mtoto wangu pure, yaani kila kitu ni Mimi. Ni copy ya sura na vitu vingi sanaa.

Binti wa pili.
Huyu ndio nahisi kuna TATIZO. Kifupi Kuna mambo mengi sanaa yametokea ambayo yanatia mashaka.

Watoto wangu kila mmoja na mama yake. Mwanamke wa mtoto wa pili ni mwanamke mwenye mdomo sanaaa. Na ukitaka siku yako iharibike "Hebu uongelee baba wa huyu mtoto ni nani?"

Hapo mwanzo alipozaliwa nilikataa mimba.
Ila baada ya wazazi nao kuingilia kati ilibidi nimkubali mtoto. Ila sasa Kuna mambo yanaendelea NDIO yananipa utata. Nahitaji kujua ukweli mapema.

Nimeandaa laki 6 kwa zoezi la upimaji DNA
1. Je inatosha?
2. Na procedure ni zipi?

THE PROBLEM.
Moyo wangu umegoma kabisaa kuwa na amani na huyu mtoto wa pili. Before it's to late nahitaji kupata ukweli.

#YNWA
 
Kumbe hata wasiooa wana majanga kama ya waliooa? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Sicheki kwa ubaya...pole mkuu.
Hakuna changamoto yoyote.
Mwanzo nilimkubali na kumuhudumia kama wangu.
Na hata mwezi wa 12 (wakati wa likizo) alikuwa kwangu.

Changamoto ni mdomo wa mama ake.
Kuna mambo huwa anaongea akiwa na jazba YANANIPA MASHAKA SANAA..!! na kunirudisha mwanzo kabisaa nilipokataa Mimba.

#YNWA
 
Hakuna changamoto yoyote.
Mwanzo nilimkubali na kumuhudumia kama wangu.
Na hata mwezi wa 12 (wakati wa likizo) alikuwa kwangu.

Changamoto ni mdomo wa mama ake.
Kuna mambo huwa anaongea akiwa na jazba YANANIPA MASHAKA SANAA..!! na kunirudisha mwanzo kabisaa nilipokataa Momba.

#YNWA
Pole Kuna njia 2 ya kwanza mkiriadhiana manenda kwa mkemia mkuu wa serikali unaandika barua ya kuomba kupima DNA njia ya 2 kama Mama hataki unaenda mahakama ya wilaya unafungua kama shauri la kuomba upime DNA mama atapewa barua na mtapewa barua ya kwenda hospital inapofanya hizo ishu sema nasikia mara chache wanasema ukweli kuogopa watoto wa mitaani ila Sina hakika na hilo.
 
Mtafute afisa ustawi wa jamii maeneo ulipo, Ongea naye akuandalie barua (Japo huwa wagumu sana kukubali) Nenda mahakamani fungua shauri la kupima DNA nenda kwa mkemia mkuu na nyaraka na vielelezo fanya malipo (laki moja kwa test 1 kwa hiyo kwa test yako na mtoto ni laki 2) mtachukuliwa samples, utasubiri majibu.
 
INTRODUCTION:-
Mimi ni mwanaume
Nina miaka 33
Ni mtumishi wa Halmashauri moja wapo nchini
Nina mabinti wawili wa kwanza miaka 8 na wapili miaka mi3.

SCENARIO
Binti wa kwanza.
Huyu ni mtoto wangu pure, yaani kila kitu ni Mimi.
Ni copy ya sura na vitu vingi sanaa.

Binti wa pili.
Huyu ndio nahisi kuna TATIZO.
Kifupi Kuna mambo mengi sanaa yametokea ambayo yanatia mashaka.

Watoto wangu kila mmoja na mama ake.

Mwanamke wa mtoto wa pili ni mwanamke mwenye mdomo sanaaa.
Na ukitaka siku yako iharibike "Hebu uongelee baba wa huyu mtoto ni nani?"

Hapo mwanzo alipozaliwa nilikataa mimba.
Ila baada ya wazazi nao kuingilia kati ilibidi nimkubali mtoto.

Ila sasa Kuna mambo yanaendelea NDIO YANANIPA UTATA.

Nahitaji kujua ukweli mapemaaaaa.

Nimeandaa laki 6 kwa zoezi la upimaji DNA,
1. Je inatosha?
2. Na procedure ni zipi?

THE PROBLEM.
Moyo wangu umegoma kabisaa kuwa na amani na huyu mtoto wa pili.

Before it's to let nahitaji kupata ukweli.

#YNWA
Wewe una uhakika ni mtoto halali wa Baba yako,hebu kausha mkuu maisha yaendelee usitafute tatizo la kuchimbua chimbua,sio kila mtoto ufanane nao mkuu

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
 
Mtafute afisa ustawi wa jamii maeneo ulipo, Ongea naye akuandalie barua (Japo huwa wagumu sana kukubali) Nenda mahakamani fungua shauri la kupima DNA nenda kwa mkemia mkuu na nyaraka na vielelezo fanya malipo (laki moja kwa test 1 kwa hiyo kwa test yako na mtoto ni laki 2) mtachukuliwa samples, utasubiri majibu.
Hio email ikileta majibu unakua uko na nani? Yaani unaisoma alone? Si ndio kisa cha kuja kujifia au kuua mtu?
 
Back
Top Bottom