Kijana anapambana kuhakikisha mzazi mwenzake anakuwa single mother.Nimecheka sana aisee...
Akikua Baba yake halali atakuja kumchukua. Damu ya mtu haipotei bure. Hata umlee vipi mtoto atakuja kujua ukweli ndipo utajua kuwa nyanya ni matunda na pia ni mbogaNimesikitika Sana, Ila matendo ya Mungu yalivyo ya ajabu majibu ya huyo mtoto lazima yatoke ni wake,halafu huyo anaedhani ni wake ndio ukute si wake.....mi namshauri aachane na hizo Mambo mtoto ni baraka, huwezi jua atakufaa nn mbeleni
Dah braza una kauli za kinyonge sanaaa.Kijana anapambana kuhakikisha mzazi mwenzake anakuwa single mother.
Vijana wanakimbia majukumu balaa๐๐
Baba zetu walizaa nje
Mama zetu walizaa ndani
Cuba graduates wanaelewa๐
Mkuu acha kuzaa na wanawake wasiojielewa tafuta mke uoe.Nahitaji watoto wa4
2025 natafuta mwengine.
#YNWA
Hapa sikuungi mkono.Kijana anapambana kuhakikisha mzazi mwenzake anakuwa single mother.
Vijana wanakimbia majukumu balaa๐๐
Baba zetu walizaa nje
Mama zetu walizaa ndani
Cuba graduates wanaelewa๐
Huu Mimi naita uchochezi....Please acheni kutia mafuta panapowakaAkikua Baba yake halali atakuja kumchukua. Damu ya mtu haipotei bure. Hata umlee vipi mtoto atakuja kujua ukweli ndipo utajua kuwa nyanya ni matunda na pia ni mboga
DNA kibongo bongo unatakiwa kuombewa na Ustawi wa Jamii au Mahakama.INTRODUCTION
Mimi ni mwanaume
Nina miaka 33
Ni mtumishi wa Halmashauri moja wapo nchini
Nina mabinti wawili wa kwanza miaka 8 na wapili miaka mi3.
SCENARIO
Binti wa kwanza. Huyu ni mtoto wangu pure, yaani kila kitu ni Mimi. Ni copy ya sura na vitu vingi sanaa.
Binti wa pili.
Huyu ndio nahisi kuna TATIZO. Kifupi Kuna mambo mengi sanaa yametokea ambayo yanatia mashaka.
Watoto wangu kila mmoja na mama yake. Mwanamke wa mtoto wa pili ni mwanamke mwenye mdomo sanaaa. Na ukitaka siku yako iharibike "Hebu uongelee baba wa huyu mtoto ni nani?"
Hapo mwanzo alipozaliwa nilikataa mimba.
Ila baada ya wazazi nao kuingilia kati ilibidi nimkubali mtoto. Ila sasa Kuna mambo yanaendelea NDIO yananipa utata. Nahitaji kujua ukweli mapema.
Nimeandaa laki 6 kwa zoezi la upimaji DNA
1. Je inatosha?
2. Na procedure ni zipi?
THE PROBLEM.
Moyo wangu umegoma kabisaa kuwa na amani na huyu mtoto wa pili. Before it's to late nahitaji kupata ukweli.
#YNWA
Ushauri wangu usimuumize mtoto kama anakukubali na kukupendaHakuna changamoto yoyote.
Mwanzo nilimkubali na kumuhudumia kama wangu.
Na hata mwezi wa 12 (wakati wa likizo) alikuwa kwangu.
Changamoto ni mdomo wa mama ake.
Kuna mambo huwa anaongea akiwa na jazba YANANIPA MASHAKA SANAA..!! na kunirudisha mwanzo kabisaa nilipokataa Mimba.
#YNWA
Mpinga ndoa kaingizwa chaka na wahuni, kweli nimeamini wahuni sio watu wazuriINTRODUCTION
Mimi ni mwanaume
Nina miaka 33
Ni mtumishi wa Halmashauri moja wapo nchini
Nina mabinti wawili wa kwanza miaka 8 na wapili miaka mi3.
SCENARIO
Binti wa kwanza. Huyu ni mtoto wangu pure, yaani kila kitu ni Mimi. Ni copy ya sura na vitu vingi sanaa.
Binti wa pili.
Huyu ndio nahisi kuna TATIZO. Kifupi Kuna mambo mengi sanaa yametokea ambayo yanatia mashaka.
Watoto wangu kila mmoja na mama yake. Mwanamke wa mtoto wa pili ni mwanamke mwenye mdomo sanaaa. Na ukitaka siku yako iharibike "Hebu uongelee baba wa huyu mtoto ni nani?"
Hapo mwanzo alipozaliwa nilikataa mimba.
Ila baada ya wazazi nao kuingilia kati ilibidi nimkubali mtoto. Ila sasa Kuna mambo yanaendelea NDIO yananipa utata. Nahitaji kujua ukweli mapema.
Nimeandaa laki 6 kwa zoezi la upimaji DNA
1. Je inatosha?
2. Na procedure ni zipi?
THE PROBLEM.
Moyo wangu umegoma kabisaa kuwa na amani na huyu mtoto wa pili. Before it's to late nahitaji kupata ukweli.
#YNWA
Hata huyo wa kwanza utakuta sio wa kwako, mara nyingi mwanamke akiwa mjamzito na wewe ukawa unachangia changia protein ni kama kupalilia mbegu, utafanana na mtoto hata kama si baba.Sikieni....
1. Mi sio muumini wa ndoa na wala siamini kwenye ndoa.
2. Kuwa na ndoa hakukufanyi usibambikiwe mtoto.
3. Mama wa mtoto wa kwanza ni mstaarabu na mtiifu kweli.
Na isitoshe mtoto wake nimefanana nae copy kabisaaaa
4. Mama wa mtoto wa pili ndio simuelewagi, kwanza ana mdomo balaaa na huwa anaongea maneno ambayo siyaelewi kabisaaaa.
5. Sina stress kabisa kwasababu tokea mimba huyu mwanamke sikumuelewa kabisaaa
6. Na sasa ndio zile hisia zangu zinajithibitisha kwa maneno yake.
7. Nachotaka ni ukweli tu nijue "JE NI MWANANGU?" Basi ili nimuhudumie nikijua ni wangu au sio.
#YNWA
Mkuu vipi kama huyo mtoto akishakua mkubwa halafu Mama yake akaja kumwambia kua huyo sio Baba yako mzazi?Oyaa Lea huyo mtoto atakuja kuwa mtu mkubwa sana Siku za baadae watoto wanaopitia changamoto kama hizo ni madini sana baadae atakuja kukulea huyo mpaka ushangae
Una adopt tu anakua wako mazima yanini kusumbua mtoto?Mkuu vipi kama huyo mtoto akishakua mkubwa halafu Mama yake akaja kumwambia kua huyo sio Baba yako mzazi?
Nani kasema?Dah braza una kauli za kinyonge sanaaa.
Kwahiyo watomban-e tu huko, kwakuwa wakileta watoto nyie mtalea.
#YNWA
Kama unataka kuufahamu ukweki ni jambo jema, nenda kapime.Sikieni....
1. Mi sio muumini wa ndoa na wala siamini kwenye ndoa.
2. Kuwa na ndoa hakukufanyi usibambikiwe mtoto.
3. Mama wa mtoto wa kwanza ni mstaarabu na mtiifu kweli.
Na isitoshe mtoto wake nimefanana nae copy kabisaaaa
4. Mama wa mtoto wa pili ndio simuelewagi, kwanza ana mdomo balaaa na huwa anaongea maneno ambayo siyaelewi kabisaaaa.
5. Sina stress kabisa kwasababu tokea mimba huyu mwanamke sikumuelewa kabisaaa
6. Na sasa ndio zile hisia zangu zinajithibitisha kwa maneno yake.
7. Nachotaka ni ukweli tu nijue "JE NI MWANANGU?" Basi ili nimuhudumie nikijua ni wangu au sio.
#YNWA
Hujaelewa swali langu!Una adopt tu anakua wako mazima yanini kusumbua mtoto?
Hayo mambo watu wamepita nayo loong time
Hujaelewa swali langu!
Utamlea mtoto mpaka awe mkubwa kisha aje kuambiwa na Mama yake kua wewe sio Baba yake halisi,huoni kua mtoto anaweza kuelekea kwa Baba yake mzazi? Huoni kua huyo mtoto anaweza kupunguza imani/upendo kwa Baba aliyemlea baada ya kujua kua he's not his biological father?
๐๐๐๐Atakuwa mpuuzi sana,wewe unaambiwa baba yako fulani na alikimbia malezi kama mbwakoko halafu ukubwani shobo za kazi gani???
We ndio unatengeneza tatizo.Hujaelewa swali langu!
Utamlea mtoto mpaka awe mkubwa kisha aje kuambiwa na Mama yake kua wewe sio Baba yake halisi,huoni kua mtoto anaweza kuelekea kwa Baba yake mzazi? Huoni kua huyo mtoto anaweza kupunguza imani/upendo kwa Baba aliyemlea baada ya kujua kua he's not his biological father?