Nahitaji kumpima DNA za Mtoto, Naomba kufahamu taratibu za upimaji

Nahitaji kumpima DNA za Mtoto, Naomba kufahamu taratibu za upimaji

INTRODUCTION
Mimi ni mwanaume
Nina miaka 33
Ni mtumishi wa Halmashauri moja wapo nchini
Nina mabinti wawili wa kwanza miaka 8 na wapili miaka mi3.

SCENARIO
Binti wa kwanza. Huyu ni mtoto wangu pure, yaani kila kitu ni Mimi. Ni copy ya sura na vitu vingi sanaa.

Binti wa pili.
Huyu ndio nahisi kuna TATIZO. Kifupi Kuna mambo mengi sanaa yametokea ambayo yanatia mashaka.

Watoto wangu kila mmoja na mama yake. Mwanamke wa mtoto wa pili ni mwanamke mwenye mdomo sanaaa. Na ukitaka siku yako iharibike "Hebu uongelee baba wa huyu mtoto ni nani?"

Hapo mwanzo alipozaliwa nilikataa mimba.
Ila baada ya wazazi nao kuingilia kati ilibidi nimkubali mtoto. Ila sasa Kuna mambo yanaendelea NDIO yananipa utata. Nahitaji kujua ukweli mapema.

Nimeandaa laki 6 kwa zoezi la upimaji DNA
1. Je inatosha?
2. Na procedure ni zipi?

THE PROBLEM.
Moyo wangu umegoma kabisaa kuwa na amani na huyu mtoto wa pili. Before it's to late nahitaji kupata ukweli.

#YNWA
Zinaanzia kwa afisa ustawi wa jamii.
Wewe ni mpumbavu kwelikweli tena mpumbavu haswa. Ukishapima hiyo DNA ndo itakuwaje? Huoni kuwa utamhukumu mtu asiyehusika na UZINZI WENU?
 
Hakuna changamoto yoyote.
Mwanzo nilimkubali na kumuhudumia kama wangu.
Na hata mwezi wa 12 (wakati wa likizo) alikuwa kwangu.

Changamoto ni mdomo wa mama ake.
Kuna mambo huwa anaongea akiwa na jazba YANANIPA MASHAKA SANAA..!! na kunirudisha mwanzo kabisaa nilipokataa Mimba.

#YNWA
Maneno gani hayo?!
 
In Africa , Fatherhood is social and not Biological. By Prof. Kabudi
 
Zinaanzia kwa afisa ustawi wa jamii.
Wewe ni mpumbavu kwelikweli tena mpumbavu haswa. Ukishapima hiyo DNA ndo itakuwaje? Huoni kuwa utamhukumu mtu asiyehusika na UZINZI WENU?
Amen usiye MPUMBAVU.

#YNWA
 
Hata huyo wa kwanza utakuta sio wa kwako, mara nyingi mwanamke akiwa mjamzito na wewe ukawa unachangia changia protein ni kama kupalilia mbegu, utafanana na mtoto hata kama si baba.
Braza huyu wa kwanza ni purely wangu.
Yaani tunafanana sura, maongezi, kupenda kusoma kifupi NI WANGU.

#YNWA
 
Mpinga ndoa kaingizwa chaka na wahuni, kweli nimeamini wahuni sio watu wazuri
Hakuna chaka lolote nililoingizwa.
Isitoshe tokea mimba nilikua na "dauti" ila wazazi walinilazimisha kukubali.
Ila kwa maneno anayoongea mama ake YANANIPA MASHAKA SANAA na KUNIRUDISHA NYUMA SANAAAA

#YNWA
 
Ukikuta wote siyo wako utafanya nini?
Wa kwanza ni wangu purely.
Ila huyu wa pili banaa MASHAKA MENGI.
Tena hayajaanzia hapa, yameanza na mimba kwahiyo hata nikipewa majibu SIO WANGU, itakuwa "Nilitegemea"

#YNWA
 
Maneno gani hayo?!
Mwanamke ana maneno mengi sanaaa.
Kukubali tu mimba ilikua mbinde.
Ila mmmh huyu mwanamke ana mdomo.

Huwa nawazaga "Hapa tu ni mtoto ametuunganisha ila yuko hivi, je ningemuoa INGEKUAJE HUMO NDANI!?"

Ana mdomo nyie huyu mwanamke.

#YNWA
 
Mwanamke ana maneno mengi sanaaa.
Kukubali tu mimba ilikua mbinde.
Ila mmmh huyu mwanamke ana mdomo.

Huwa nawazaga "Hapa tu ni mtoto ametuunganisha ila yuko hivi, je ningemuoa INGEKUAJE HUMO NDANI!?"

Ana mdomo nyie huyu mwanamke.

#YNWA
Pole
 
Kama unatimiza wajibu karma ni DNA aisee hizi za kwetu hapa kuna tetesi kua ni batili kuepuka watoto wa mtaani.
Kuna bro alisingiziwa mtoto ila hakua na hiyana alitimiza wajibu tu bila lawama. Yule binti alikua anaendelea kuchepuka na baba halisi wa mtoto.
Siku ya siku mambo yalimuendea kombo akafumaniwa, mtoto alipokua hakuwa anafanana na baba msingiziwaji, mwisho wa siku kwa aibu akakiri mwenyewe tu.

Nae alikua na kidomodomo balaa.
 
Mwanaume halisi ni baba, na ubaba haupatikani kwa kuzalisha bali kulea.
 
Huu Mimi naita uchochezi....Please acheni kutia mafuta panapowaka
Na ndio ukweli.

Mwanamke akiamua kuzaa Nje maana yake huyo Mwanamume ambaye amembebea mimba mpaka akazalia na wewe upo upendo wao ni mkubwa sana. Wako connected kiroho.

Watamficha mtoto usijue lakini wao watakuwa wanawasiliana vizuri tu.
 
We ndio unatengeneza tatizo.
Mi niliambiwa " niache, kwanza mtoto sio wako"
Live.
Nilichofanya mwanamke kabaki kulia mpk leo.
Hao akili zao wanajua wenyewe, we lea watoto hiyo DNA itabadilisha nini?
Akileta ujinga mpe makofi tu anyamaze.
DNA unatafuta sononi tu .
Usilete mrejesho tushakushauri hapa.
Mmh! Sijui kwanini wanaume wa kiafrika mnahendekez uzinzi kiasi hiki hadi kwenye ndoa.
 
Back
Top Bottom