Weee kuongeza kilo nimtiti mkubwa kupungua ni ishu yakujipambania kwanguvu zako mwenyewe ila kuongezeka nimpaka mwili ukubal wenyewe ukute mtu anamastress au unaroho yakinyongo nakwambia hata ujilazimishe kuvimbiwa huongezekiMbona kuongezeka simple sana...
Mbona kwenye thread hii hapo chini ulisema ulikuwa unaenda gym na kukimbia?Khabari zenu,
Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.
Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.
Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.
Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).
Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.
Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.
Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.
Uzi na picha.
View attachment 2646189
Ungemwambia ale nini sasa!asile wanga ale nini!!?Acha kula wanga aina zote (wali, ugali, chapati, maandazi, vitumbua, mihogo, viazi, chipsi, sambusa etc). In short vitu vyote vinavyotokana na ngano, sembe au grains
Acha kula sukari (usitumie sukari kwenye chai au maziwa.)
Acha kunywa pombe, soda, energy drinks, juice etc. Kunywa maji tu.
Usivute sigara
Ukifanya haya ndani ya wiki utakuwa na kilo 70.
Kinachounenepesha mwili ni wanga na sukari. It Mwili wa binadamu haukuumbwa kutumia wanga. Ndio maana ukila wanga insulin inazalishwa kwenda kuitoa sukari ile kwenye damu na kuibadilisha kuwa mafuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya we jamaa ni Dr kweli 🤣🤣🤣pata uji wa lishe wenye karanga mbegu za maboga mahindi ya njano ulezi mtama kidogo soya uweke prestige blue band ,maziwa fresh,asali pata na kipande cha mkate na yai la kukanga asubui saa nne pata kitu chochote kama mtori,punguza kidogo matembezi kwa mguu ..mchana kula kawaida weka na juice ya embe saakumi pata nusu lita ya chai ya maziwa saa moja na nusu pata msosi wako kawaida .miezi mitatu utanambia
huyo si mnene apo anapaswa kuwamba huo mwili kwa mazoezi makali sana si unaona chuchu zimeshakuwa konzi izoPunguza kipimo cha chakula, uwe unakunywa na maji ya vugu vugu yenye limao
kwa nini ndugu🤣Oya we jamaa ni Dr kweli 🤣🤣🤣
waoh! Asante sàna boss kwa huu muongozo,nitafanya hivyopata uji wa lishe wenye karanga mbegu za maboga mahindi ya njano ulezi mtama kidogo soya uweke prestige blue band ,maziwa fresh,asali pata na kipande cha mkate na yai la kukanga asubui saa nne pata kitu chochote kama mtori,punguza kidogo matembezi kwa mguu ..mchana kula kawaida weka na juice ya embe saakumi pata nusu lita ya chai ya maziwa saa moja na nusu pata msosi wako kawaida .miezi mitatu utanambia
Dah naona unataka awe pipa😀kwa nini ndugu🤣
hiyo akipata lazima kilo zipande na kunawiri juuDah naona unataka awe pipa😀
angalizo huo mchanganyiko ni mkali sana ni vyema ukawa unafanya na mazoezi ya kuruka kamba baada ya kutumia kwa mwezi ili kuepuka hatari ya kupata kitambiYah,Niko kwenye ratiba ya uji wa lishe,kuna mdau pia alinishauri hilo
Acha kula mchana,na usiku kula kiduuuuuuchu,asubuhi kunuwa maji ya asali na ndimu au limao,kama hujapungua Rudi Tena hapa
Sawa mkuu,shukraniangalizo huo mchanganyiko ni mkali sana ni vyema ukawa unafanya na mazoezi ya kuruka kamba baada ya kutumia kwa mwezi ili kuepuka hatari ya kupata kitambi
pia meza dawa za minyoo aina zote kabla