Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

punguza kula atleast mara 2 kwa siku au uwe na uwezo wa kuvumilia njaa ata cku nzima ili mwili utumie akiba ya chakula ulicho hifadhi mwilni,na ikiwezekana tafuta kazi ngumu uwe unafanya mfano kazi za kubeba zege hyo inaweza kukusaidia kupungua kwa urahisi.
 
Punguza kipimo cha chakula, uwe unakunywa na maji ya vugu vugu yenye limao
 
Mbona kuongezeka simple sana...
Weee kuongeza kilo nimtiti mkubwa kupungua ni ishu yakujipambania kwanguvu zako mwenyewe ila kuongezeka nimpaka mwili ukubal wenyewe ukute mtu anamastress au unaroho yakinyongo nakwambia hata ujilazimishe kuvimbiwa huongezeki
 
Mbona kwenye thread hii hapo chini ulisema ulikuwa unaenda gym na kukimbia?
 
Ungemwambia ale nini sasa!asile wanga ale nini!!?
 
Oya we jamaa ni Dr kweli 🤣🤣🤣
 
waoh! Asante sàna boss kwa huu muongozo,nitafanya hivyo
 
Kakope hela usuyoweza kulipa usipopungua niite mbwa
 
Ishi kama unaumwa kisukari fata mashart ya mgonjwa wa sukari vizur sana

Baada ya wiki 3 njoo unipe majibu
Niko paleeeee
 
Yah,Niko kwenye ratiba ya uji wa lishe,kuna mdau pia alinishauri hilo
angalizo huo mchanganyiko ni mkali sana ni vyema ukawa unafanya na mazoezi ya kuruka kamba baada ya kutumia kwa mwezi ili kuepuka hatari ya kupata kitambi

pia meza dawa za minyoo aina zote kabla
 
Dah kumbe wengi tuna struggle eeeh..
Mimi mwenyewe dah napiga tizi sana Sasa hivi...
Bro ni msosi uwezo nenepa bila kula... control misos hiyo
 
Acha kula mchana,na usiku kula kiduuuuuuchu,asubuhi kunuwa maji ya asali na ndimu au limao,kama hujapungua Rudi Tena hapa

Utamfanya apate vidonda vya tumbo sasa,,,,Acha kabisa vitu vyenye sukari,chocolate,soda,bia n.k,,,,Kula mchana ila wanga iwe kidogo tu mboga mboga na matunda kwa wingi,na jitahidi kabla ya kula unywe maji yatafanya ule chakula kidogo,pia ukiamka unywe maji ukipata ya uvugu vugu itakua vizuri,usiku usiguse chakula chenye wanga kabisa,,fanya hivo kama mwezi halafu kapime tena lazima upungue! Unaweza ukala hata mara5 na ukapungua inategemea na aina gani ya chakula unazokula N:B Ukinywa chai weka asali achana na sukari
 
Hii mada inanihusu kabisa,nimepunguza msosi jioni naoiga matunda tu na whisky
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…