baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 548
- 1,799
Ndio inabidi mpunguze matamanio yenu au tafuta mtu ambaye UNAPENDA na una future nae hata likitokea lolote inakua sio tatizo sanaSitaki kuamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio inabidi mpunguze matamanio yenu au tafuta mtu ambaye UNAPENDA na una future nae hata likitokea lolote inakua sio tatizo sanaSitaki kuamini
Na jua na mvua ni bure[emoji1787] rudi kijijin lima watoto waleZaeni Elimu Ni Bure, Tanzania Imefunguka Sasa
Kuna wanaume wana wazimu sana, why hawapo selective? Hawajui kukataa?Aiseeee,
Kiukweli watoto wanateseka sana kisa tamaa za watu.Watu wanaendelea kuzaa bila plans imagine mtu anapata taarifa za mimba anakuwa hivi huyo mtoto je atakuja kuwa na maisha gani,sometime msizae watoto wa kuja kuteseka tu
Ahsante mkuu kwa ushauri mzuri. Naona wengine wananipopoa tuPole sana... Hauwezi pia kujua nini kusudi la MUNGU... Unaweza ukaikataa mimba lakini kama kweli ni yako Bado utakua na connection nayo kiroho... Kwahyo ubaya wa huyo dada unauona Leo... Jaribu kumfikiria huyo pia ni binadamu na ataishi katika hari gani akiwa na mimba yako na wewe ukiwa umemkataa. Chukulia dada yako au ndugu yako ndio yupo ktk hari iyo
Sometime wanapenda kuzingua waone unavyorukaruka. Single mother wengi wajanja wajanja na wanajua matumizi ya sindano.Kwa masikitiko makubwa, mchana huu Nimepokea taarifa ya "nahisi Ni mimba"
azo tafadhali. Ila kutoa mimba nahisi itakuwa Hatia itakayonisumbua muda mrefu.