Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali, mpenzi wangu ana mimba

Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali, mpenzi wangu ana mimba

Kifupi mmekutana vibofu watupu, wakati unamwona mwezi mchanga naye anakuona fala na anataka kukubebesha furushi. Mbwa kala mbwa
 
Kiukweli watoto wanateseka sana kisa tamaa za watu.
My man alikuwa na akili sana tulidate mda mrefu kidogo na katika kipindi hicho hakutaka mtoto na mimi sikuwa tyari kuwa na mtoto ambaye hatakiwi kwa wakati huo japo kuna kipindi nilitaka sana kuwa na mtoto na ningeweza kutega mimba ila niliangalia mrengo wa mwenzangu.

Tulikuja kuoana nikiwa na 28 years na ati 30 tukapata mtoto wetu maana baada ya ndoa kifatacho ni watoto.
Ni kweli kuna bahati mbaya ila nyingi zinaletwa na uzembe wa pande zote mwanamke hajali na mwanaume anaona ni kazi ya mwanamke kujilinda matokeo yake mimba zisizotarajiwa.Mnatesa bure watoto acha uzembe
 
Kwa masikitiko makubwa, mchana huu Nimepokea taarifa ya "nahisi Ni mimba"

Ujuwe Nilikuwa nachukulia simple nikimuona mtu anashtushwa na taarifa Kama hii lakini leo nahisi kichwa kimewaka Moto na nimekosa utulivu Hadi kwa Mara ya kwanza nimetamani kunywa pombe.

Sijawahi kumpenda Bali Ni nyege ndiyo zimenikutanisha naye for one night, tukapima UKIMWI, tukafanya mapenzi.

Sababu zinazonifanya niumize kichwa Ni kwamba;
1. Ni single maza alafu hakuniambia mapema
2. Hana muonekanao unaonivutia na muda wote niliokaa naye hajawahi kuwa na mazungumzo yenye tija au maswali critical, Jambo linalonifanya nidhani kwamba Hana akili au future yeyote.
3. Anapafahamu ninapofanyia kazi hivyo nikizingua anaweza kunichoea kwa muajiri

4. Hanivutii, Hadi nivute taswira ya mwanamke mwingine ndipo nikojoe.

5. Umri kanizidi miaka miwili

Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali. Ila kutoa mimba nahisi itakuwa Hatia itakayonisumbua muda mrefu.
Hayo ni Matokeo ya tendo la ndoa pambana kulea.

Umeyataka mwenyewe
 
Kwani kakwambia umuoe? Bado sijaona kinachokuvuruga!
 
My man alikuwa na akili sana tulidate mda mrefu kidogo na katika kipindi hicho hakutaka mtoto na mimi sikuwa tyari kuwa na mtoto ambaye hatakiwi kwa wakati huo japo kuna kipindi nilitaka sana kuwa na mtoto na ningeweza kutega mimba ila niliangalia mrengo wa mwenzangu.
Tulikuja kuoana nikiwa na 28 years na ati 30 tukapata mtoto wetu maana baada ya ndoa kifatacho ni watoto.
Ni kweli kuna bahati mbaya ila nyingi zinaletwa na uzembe wa pande zote mwanamke hajali na mwanaume anaona ni kazi ya mwanamke kujilinda matokeo yake mimba zisizotarajiwa.Mnatesa bure watoto acha uzembe
Sometimes people Learn on mistakes.

Binadamu wengine wanashingo ngumu sana na wamekataa kutumia akili.
 
Kwa masikitiko makubwa, mchana huu Nimepokea taarifa ya "nahisi Ni mimba"

Ujuwe Nilikuwa nachukulia simple nikimuona mtu anashtushwa na taarifa Kama hii lakini leo nahisi kichwa kimewaka Moto na nimekosa utulivu Hadi kwa Mara ya kwanza nimetamani kunywa pombe.

Sijawahi kumpenda Bali Ni nyege ndiyo zimenikutanisha naye for one night, tukapima UKIMWI, tukatomb***

Sababu zinazonifanya niumize kichwa Ni kwamba;
1. Ni single maza alafu hakuniambia mapema
2. Ana sura mbovu, rangi siipendi, Hana shape na muda wote niliokaa naye hajawahi kuwa na mazungumzo yenye tija au maswali critical, Jambo linalonifanya nidhani kwamba Hana akili au future yeyote.
3. Anapafahamu ninapofanyia kazi hivyo nikizingua anaweza kunichoea kwa muajiri

4. Kutokana na uwembamba wake uliokithiri, Hana ladha yeyote, naweza nikaenda dakika 50 bila kukojoa tukiwa kwenye tendo, Hadi nivute taswira ya mwanamke mwingine ndipo nikojoe.

5. Umri kanizidi miaka miwili

Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali. Ila kutoa mimba nahisi itakuwa Hatia itakayonisumbua muda mrefu.
Hata yeye anakuona wewe mjinga kama unavyomona yeye😀
 
Wakati mimi naona siku haziendi nmuone first born wangu october .kuna watu wana weweseka be calm man miezi 9 mingi sana utakua usha jipanga .mwichi uli uloweka mwenyewe wala uku shikiliwa afu usi mseme sana mama mtoto wako uyo[emoji81][emoji81]sawa baba kijacho
 
Back
Top Bottom