Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Kifupi mmekutana vibofu watupu, wakati unamwona mwezi mchanga naye anakuona fala na anataka kukubebesha furushi. Mbwa kala mbwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu tuna mambo alooduh aiseee
My man alikuwa na akili sana tulidate mda mrefu kidogo na katika kipindi hicho hakutaka mtoto na mimi sikuwa tyari kuwa na mtoto ambaye hatakiwi kwa wakati huo japo kuna kipindi nilitaka sana kuwa na mtoto na ningeweza kutega mimba ila niliangalia mrengo wa mwenzangu.Kiukweli watoto wanateseka sana kisa tamaa za watu.
Ndo ume umepiga mara moja? Acha kamba Bro!!!tukiwa kwenye tendo, Hadi nivute taswira ya mwanamke mwingine ndipo nikojoe
Ashauriane na genye zakeFurushi.
Never say no to Pisi 😆Astaghafillurah
Wamekuskia wanakuja wenye avatar za midolinaweza nikaenda dakika 50 bila kukojoa tukiwa kwenye tendo,
Kwahiyo ndio ule muendelezo wa kutoshauri wazinzi? 🤣🤣🤣Ashauriane na genye zake
nalogoff
kamkosoa sana demu wa watu mpka huruma 😥Never say no to Pisi 😆
Hayo ni Matokeo ya tendo la ndoa pambana kulea.Kwa masikitiko makubwa, mchana huu Nimepokea taarifa ya "nahisi Ni mimba"
Ujuwe Nilikuwa nachukulia simple nikimuona mtu anashtushwa na taarifa Kama hii lakini leo nahisi kichwa kimewaka Moto na nimekosa utulivu Hadi kwa Mara ya kwanza nimetamani kunywa pombe.
Sijawahi kumpenda Bali Ni nyege ndiyo zimenikutanisha naye for one night, tukapima UKIMWI, tukafanya mapenzi.
Sababu zinazonifanya niumize kichwa Ni kwamba;
1. Ni single maza alafu hakuniambia mapema
2. Hana muonekanao unaonivutia na muda wote niliokaa naye hajawahi kuwa na mazungumzo yenye tija au maswali critical, Jambo linalonifanya nidhani kwamba Hana akili au future yeyote.
3. Anapafahamu ninapofanyia kazi hivyo nikizingua anaweza kunichoea kwa muajiri
4. Hanivutii, Hadi nivute taswira ya mwanamke mwingine ndipo nikojoe.
5. Umri kanizidi miaka miwili
Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali. Ila kutoa mimba nahisi itakuwa Hatia itakayonisumbua muda mrefu.
Sometimes people Learn on mistakes.My man alikuwa na akili sana tulidate mda mrefu kidogo na katika kipindi hicho hakutaka mtoto na mimi sikuwa tyari kuwa na mtoto ambaye hatakiwi kwa wakati huo japo kuna kipindi nilitaka sana kuwa na mtoto na ningeweza kutega mimba ila niliangalia mrengo wa mwenzangu.
Tulikuja kuoana nikiwa na 28 years na ati 30 tukapata mtoto wetu maana baada ya ndoa kifatacho ni watoto.
Ni kweli kuna bahati mbaya ila nyingi zinaletwa na uzembe wa pande zote mwanamke hajali na mwanaume anaona ni kazi ya mwanamke kujilinda matokeo yake mimba zisizotarajiwa.Mnatesa bure watoto acha uzembe
Anasahau kuwa ni yeye alimvua chupi kwa bashasha zotekamkosoa sana demu wa watu mpka huruma 😥
Hata yeye anakuona wewe mjinga kama unavyomona yeye😀Kwa masikitiko makubwa, mchana huu Nimepokea taarifa ya "nahisi Ni mimba"
Ujuwe Nilikuwa nachukulia simple nikimuona mtu anashtushwa na taarifa Kama hii lakini leo nahisi kichwa kimewaka Moto na nimekosa utulivu Hadi kwa Mara ya kwanza nimetamani kunywa pombe.
Sijawahi kumpenda Bali Ni nyege ndiyo zimenikutanisha naye for one night, tukapima UKIMWI, tukatomb***
Sababu zinazonifanya niumize kichwa Ni kwamba;
1. Ni single maza alafu hakuniambia mapema
2. Ana sura mbovu, rangi siipendi, Hana shape na muda wote niliokaa naye hajawahi kuwa na mazungumzo yenye tija au maswali critical, Jambo linalonifanya nidhani kwamba Hana akili au future yeyote.
3. Anapafahamu ninapofanyia kazi hivyo nikizingua anaweza kunichoea kwa muajiri
4. Kutokana na uwembamba wake uliokithiri, Hana ladha yeyote, naweza nikaenda dakika 50 bila kukojoa tukiwa kwenye tendo, Hadi nivute taswira ya mwanamke mwingine ndipo nikojoe.
5. Umri kanizidi miaka miwili
Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali. Ila kutoa mimba nahisi itakuwa Hatia itakayonisumbua muda mrefu.
Sasa nitakua na akili timamu kweli kuomba ushauri jf?Kwahiyo ndio ule muendelezo wa kutoshauri wazinzi? 🤣🤣🤣
Likikukuta nawe hatutakushauri.