A Father
JF-Expert Member
- Nov 11, 2012
- 1,219
- 380
sijajuaUmejitangaza vizuri muanzisha 'sred' *sijuajua kama umelijua hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijajuaUmejitangaza vizuri muanzisha 'sred' *sijuajua kama umelijua hilo
😂Vizuri
Kuna wanaume wana wazimu sana, why hawapo selective? Hawajui kukataa?
No wonder haka Copa Cabana anadhani kila Ke hajuagi kusema no mbele ya hela.
What kind of advice do you want bro? She was fine when you got horny halafu aaa hii uje na sababu ya kusema ni ana sura mbaya ... Motherhood is beyond one's physical appearance so let her carry your baby and you be a man as you're supposed to be.. Provide for her & pay her the attention she deserves .. weka utoto kando, infact waswahili husema utu uzima unakuja na majukumu na si Kwa ngoma..90% ya komekti ni za kunipopoa[emoji17]
What kind of advice do you want bro? She was fine when you got horny halafu saa hii uje na sababu ya kusema ni ana sura mbaya ... Motherhood is beyond one's physical appearance so let her carry your baby and you be a man as you're supposed to be.. Provide for her & pay her the attention she deserves .. weka utoto kando, infact waswahili husema utu uzima unakuja na majukumu na si Kwa ngoma..
Beba hilo zigo lako ulilopewa na Mungu, unataka nani abebe na kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe.Kwa masikitiko makubwa, mchana huu Nimepokea taarifa ya "nahisi Ni mimba"
Ujuwe Nilikuwa nachukulia simple nikimuona mtu anashtushwa na taarifa Kama hii lakini leo nahisi kichwa kimewaka Moto na nimekosa utulivu Hadi kwa Mara ya kwanza nimetamani kunywa pombe.
Sijawahi kumpenda Bali Ni nyege ndiyo zimenikutanisha naye for one night, tukapima UKIMWI, tukafanya mapenzi
Sababu zinazonifanya niumize kichwa Ni kwamba;
1. Ni single maza alafu hakuniambia mapema
2. Hana muonekanao unaonivutia na muda wote niliokaa naye hajawahi kuwa na mazungumzo yenye tija au maswali critical, Jambo linalonifanya nidhani kwamba Hana akili au future yeyote.
3. Anapafahamu ninapofanyia kazi hivyo nikizingua anaweza kunichoea kwa muajiri
4. Hanivutii, Hadi nivute taswira ya mwanamke mwingine ndipo nikojoe.
5. Umri kanizidi miaka miwili
Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali. Ila kutoa mimba nahisi itakuwa Hatia itakayonisumbua muda mrefu.
Tumsaidie kumpa jina huyo mtoto wake ajaye.unataka upewe jina la dawa au? Shindwaa
Zaeni hapo, dry is always sweet. Na matunda yake myapokee
Mkuu njoo uniombe mimi ushauriSasa nitakua na akili timamu kweli kuomba ushauri jf?
Hasa mahusiano?
Jf ya sasa ni sawa na Soko la BUGURUNI
punguza kupupulika na wanawake kijana fanya vitu vya maana kwanza wanawake wapo TU.Ujuwe Nilikuwa nachukulia simple nikimuona mtu anashtushwa na taarifa Kama hii lakini leo nahisi kichwa kimewaka Moto na nimekosa utulivu Hadi kwa Mara ya kwanza nimetamani kunywa pombe.
Umemuita ni MPENZI wako halafu unajidai kumkataa kispoti? Ninyi vijana sampuli yenu ni wa kutandikwa viboko vingi sana na kifungo miezi sita gerezani, mlo wa uji mara moja kwa siku na kupatiwa elimu ya kujitambua kwa lazima.Kwa masikitiko makubwa, mchana huu Nimepokea taarifa ya "nahisi Ni mimba"
Ujuwe Nilikuwa nachukulia simple nikimuona mtu anashtushwa na taarifa Kama hii lakini leo nahisi kichwa kimewaka Moto na nimekosa utulivu Hadi kwa Mara ya kwanza nimetamani kunywa pombe.
Sijawahi kumpenda Bali Ni nyege ndiyo zimenikutanisha naye for one night, tukapima UKIMWI, tukafanya mapenzi
Sababu zinazonifanya niumize kichwa Ni kwamba;
1. Ni single maza alafu hakuniambia mapema
2. Hana muonekanao unaonivutia na muda wote niliokaa naye hajawahi kuwa na mazungumzo yenye tija au maswali critical, Jambo linalonifanya nidhani kwamba Hana akili au future yeyote.
3. Anapafahamu ninapofanyia kazi hivyo nikizingua anaweza kunichoea kwa muajiri
4. Hanivutii, Hadi nivute taswira ya mwanamke mwingine ndipo nikojoe.
5. Umri kanizidi miaka miwili
Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali. Ila kutoa mimba nahisi itakuwa Hatia itakayonisumbua muda mrefu.
Sikuandika hivyo. Mods wamehaririUmemuita ni MPENZI wako halafu unajidai kumkataa kispoti?Ninyi vijana sampuli yenu ni wa kutandikwa viboko vingi sana na kifungo miezi sita gerezani,mlo wa uji mara moja kwa siku na kupatiwa elimu ya kujitambua kwa lazimaSikuandi
Sawa, ahsanteHii kama hadithi hivi
Ila kama ni kweli; Yaani ukutane na mwanamke ukiwa na hali uliyo isema mkubaliane; mpande gari muende hospitali kupima , Mrudi nyumbani mkubaliane kufanya halfau utudanganye kwa kazi yote hiyo mmefanya mara moja?
Ulishindwa nini kununua Condom ya miatano hadi upoteze muda kuzunguka kote huko hadi hospitali kama ulikuwa humpendi?
Nafikiri uache kudanganya watu unampenda na endelea naye kwanza huyo amekomaa mawazo atakuwa msaada sana kwako kuliko hawa wa mwendo kasi