Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

kaka karibu kwenye fursa za madini ya dhahabu kuna teknolojia nzuri ya uchenjuaj wa dhahabu na kwa bei nafuu mm pia ni mtaalamu wa hizo teknolojia tuwasiliane kama utakua tayari napatikana kanda ya ziwa hasa geita 0659997074 au 0766927074
 
kaka karibu kwenye fursa za madini ya dhahabu kuna teknolojia nzuri ya uchenjuaj wa dhahabu na kwa bei nafuu mm pia ni mtaalamu wa hizo teknolojia tuwasiliane kama utakua tayari napatikana kanda ya ziwa hasa geita 0659997074 au 0766927074
Hio nasikia inabidi upite kwa Babu kwanza kuweka mambo sawa ukiingia kichwa kichwa lazima uliwe kichwa
 
kwa 500m?
 
Je,unafahamu Tooth Pick Kwa Kiswahili inaitwa "Kimbaka",Kuna muda nawashangaa sana BAKITA na haya Majina Yao!
Halafu hizo terms wanazifahamu wao tu kwenye kikundi chao na wamefanya siri yao, ila mtu akitaja kitu kwa kiingereza ndipo wanajitokeza kukosoa
 
Kwenye tasnia ya madini kunafursa nyingi sio kuchimba tu kama watu wanavyokariri ukisikia fursa ya madini anawaza kuchimba, ni sawa na tasnia ya kilimo sio lazima uwe mkulima unaweza ukauza pembejeo unaweza ukakodisha mashamba unaweza ukalangua mazao unaweza ukawa muuza mtaalam wa umwagiliaji unaweza ukawa mkodisha trekta za kulimia n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…