Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

Ndo maana mkuu Mimi napenda wazo lijikite kwenye Technology,huko kuna pesa!
Mkuu nataka nianzie hapo kwenye vinywaji kwanza, Mungu akisaidia ikapokelewa vizuri sokon, nitahamia kwenye hio technologymu
Watu wana ideas ila hawawezi kuzitekeleza wawe matajiri wanasubiri mtu atangaze anatafuta idea wamuuzie 😅

Nchi za nje kuna platforms nyingi ambazo mtu mwenye wazo la ujasiriamali anawasilisha wazo kisha matajiri wanakubali kufinance wazo zima na watachukua faida kwa muda fulani kabla hajamuachia kampuni mwenye wazo.

Mfano Shark tank.

Ila bongo ni kuviziana Jamiiforums au siyo 😅😅 mabenki yanakopesha wasanii wanashindwa kudhamini ndoto za hawa wenye ideas
Mulemule umepiga🤣
 
Wazo lako ni zuri sana,uwe unatania au hautanii watu humu jukwaani ila tunahitaji mada za namna hii kila siku ili watu waweze Kujikomboa na Umaskini wa kutisha.

Mimi nakushauri wekeza katika sekta ya Madini,binafsi nipo kwenye sekta hii na naona faida yake.

Sekta ya Madini inaweza kuifanya hiyo 500m kuwa 5B ndani ya miaka 2 hadi 3.

Wazo la Kwanza tafuta maeneo yenye Madini ya Kimkakati (Critical Minerals)omba Leseni ya utafiti mkubwa au Uchimbaji mdogo,wekeza kiasi kidogo cha kutoa sampuli za kupeleka maabara,majibu yakitoka vizuri na miamba ikaonekana tafuta wabia kutoka Korea,China, Australia au Canada.

Madini ya Kimkakati ni kama;
Copper
Rare Earth Elements
Lithium
Nickel
Graphite.

Wazo la pili tafuta sehemu nzuri yenye uzalishaji wa Dhahabu,nunua Karasha 1 au 2, tengeneza vat leaching plant, tengeneza na elution plant kazi yako itakuwa kukusanya makinikia yenye ppm nzuri na kuozesha kwenye plant zako.

Karibu Katavi
 
Wazo lako ni zuri sana,uwe unatania au hautanii watu humu jukwaani ila tunahitaji mada za namna hii kila siku ili watu waweze Kujikomboa na Umaskini wa kutisha.

Mimi nakushauri wekeza katika sekta ya Madini,binafsi nipo kwenye sekta hii na naona faida yake.

Sekta ya Madini inaweza kuifanya hiyo 500m kuwa 5B ndani ya miaka 2 hadi 3.

Wazo la Kwanza tafuta maeneo yenye Madini ya Kimkakati (Critical Minerals)omba Leseni ya utafiti mkubwa au Uchimbaji mdogo,wekeza kiasi kidogo cha kutoa sampuli za kupeleka maabara,majibu yakitoka vizuri na miamba ikaonekana tafuta wabia kutoka Korea,China, Australia au Canada.

Madini ya Kimkakati ni kama;
Copper
Rare Earth Elements
Lithium
Nickel
Graphite.

Wazo la pili tafuta sehemu nzuri yenye uzalishaji wa Dhahabu,nunua Karasha 1 au 2, tengeneza vat leaching plant, tengeneza na elution plant kazi yako itakuwa kukusanya makinikia yenye ppm nzuri na kuozesha kwenye plant zako.

Karibu Katavi
Nina kampuni ya madini kijana ni pm tufanye kazi
 
Biashara ya information...njoo pm..hii siwezi kukuwekea hapa..na inahitaji vitu viwili...uwe na cycle ya watu na mtaji...mtaji unao ..ukija pm utajibu kuhusu cycle inayohitajika kama unayo...ntakueleza hiyo biashara
 
Yah kabsaa, afu mara nyingi ni kwenye issue za technology, kuna mbunge hapa tz aliwahi kusema kuwa hapa bongo mabilionea wetu wataishia kwenye uwekezaj wa vinywaji na vyakula na uchumi wa nyumba, ila technology agusi mtu😅😅
Kuna billionaire wetu mmoja alipohitaji kuwekeza kwenye technology, waziri alimjibu, wabongo muna mitaji ya juisi tu,.....
 
Biodiesel ni biashara rahisi sana na haihitaji hela nyingi sana ila inalipa
Unahitaji kukusanya mafuta ya kupikia yaliyotumika
Nafikiri unaweza kujua hii biashara
Vifaa vyake na mitungi au tank zake ni kama $15,000
Ila kuhusu upande wa gov sijui
 
Back
Top Bottom